Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Mkuu acha kujidanganya.Kwani Kapola kaanza kuwa mchungaji mwaka huu?
Huo mfano nimeutoa kwa ibada moja kumbuka sijahesabia matamasha ya injili na events nyingine zinazoingiza hela.
Unakumbuka Alex Msama?
Kuandaa Tamasha mashuhuri ina cost 100 to 200M.
Amefanya hiyo kazi kwa miama kibao. Alishafiriska.
Unatumia 300M kuandaa tamasha na watumishi maarufu au waimbaji lakini Return za michango na harambee zinaangukia kwenye 250M unakula hasara ya 50.
Jamaa ana kesi mpaka leo za madeni.
Kuwa realistic hutawaza hivyo.
Nikuombe tu mfahamu Prophet Bushiri then ukasome Makala ya Uchunguzi wa kiintelijensia " The Gold Mafia" ya Aljazeera.
Utaelewa na uache kupaniki.
Vijana mtaangamia kwa kukosa maarifa.
Hii makala itakupa insights pia kwa nini Vita ya Congo haiishi