Makanisa yanalipa sana! Pastor Tonny Kapola anunua eneo kwa dola milioni tatu Mwenge kwa ajili ya kujenga Kanisa

Ni kweli. Tanzania kuna maeneo matatu yanalipa. 1. Dini eg unabii, utume nk. 2. Uganga wa kienyeji 3. Siasa za kuwa chawa wa CCM. Nimesahau na madawa ya kulevya.
 
Hawa wajasiliamalu wakubwa wa upako waanze kulipa kodi
 
Sidhani kama ni makusanyo ya sadaka peke yake, zingine labda amekopa bank au amepewa na wafadhili au marafiki wa nje ya nchi
 
Fatilia...hayo mabilion hayatokan na kanisa....au hujui mkuu!??
 
Kapola ana waumini vijana mashorabaro sio wa kutoa hata million pale.
Hawa uchungaji ni kichaka iga ufe.
Hio G wagon tu ununui kwa hela ya sadaka.
Acha masanja aendelee kuwaaminisha kilimo kinalipa
Kwa hiyo kitu gani kinalipa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…