Makanisa yanalipa sana! Pastor Tonny Kapola anunua eneo kwa dola milioni tatu Mwenge kwa ajili ya kujenga Kanisa

Pesa ndefu sana napata mashaka kama ni sadaka tu zimempa ukwasi wote huo.
Sadaka kwa waumini gani alio nao? siku hizi ni rahisi tu, unaongea nao, wanakubeba kifedha, mtalipana mdogo mdogo kwa mwaka mtu mmoja. Na wewe hubiri injili rahisi. Achana na mambo ya acha dhambi, sijui vaa vile, au tujiandae tuende mbinguni, HAPANA.
 
🤝
 
Huyo lakini ana daddy wake pia anaitwa Uebert Angel, gold mafia huko Zimbabwe.
 
Mtu pekee ambaye “labda” anapata sadaka nyingi ni Mwamposa.

Hawa wengine…… Wanajua wao.

Kanisa lina idara ya marketing we huogopi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…