Makanisa yanalipa sana! Pastor Tonny Kapola anunua eneo kwa dola milioni tatu Mwenge kwa ajili ya kujenga Kanisa

Hata mimi hili nimeshajiuliza sana. Mfano hakuna mkazi kutoka pale pale Kawe amewahi kutoa ushuhuda wa kupona. Wakienda Mbeya wanaopona wanatoka Dar au Moro, wakija Dar wanaopona wanatoka Mbeya au Songea
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
WANAPIGA HELA KWA SABABU

1. HAWALIPI KODI YOYOTE KWA SERIKALI HIVYO KIBUNDA CHOTE KINAINGIA MFUKONI

2. WATU WAKUBWA WANAWATUMIA KUTAKATISHA PESA ZAO WANASIASA PAMOJA NA WAUZA UNGA

NYONGEZA: Misikiti na Makanisa Hayalipi Kodi yoyote ile kwa Sirikali Hivyo watu washenzi hutumia huko kusafisha Pesa ZAO. 😁
 
Kuna mchungaji mmoja alikuwa na kanisa lake bongo, alikuwa mnigeria
Sasa kuna jamaa mmoja alikuwa anasali kwake kila nkiongea naye jamaa alikuwa anamsifia sana
Akitaka na mm nihidhurie,mm nkamwambia huyo mchungaji magumashi kwanza anauza ngada...jamaa akanijia juu sana
Kwani alimaliza miezi 2 alipigwa mshindo akakamatwa akakutwa na mzigo na jamaa wawili wazungu panda anajianda kuwaingiza ulaya
Yule jamaa sasa akantafuta akanipigia sim maneno kibao
Ohh ulijuuaje πŸ˜„
Nkamwambia watu mjini kitambo
Kumsoma mtu dk 0 tu
Yule mnigeria nahisi mpk leo yuko ngome πŸ˜„ waumini wote wamepot3anaaaa

Ova
 
Mipango tu ile utapeli

Ova
 
Lengo lao litakuwa limetomia, yaani kukutana kwa pamoja kumuabudu Mungu.

"Kwa kuwa walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao." - Mt. 18:20
Yohana 4:23
[23]Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.
But the hour cometh, and now is, when the true worshippers shall worship the Father in spirit and in truth: for the Father seeketh such to worship him.
 
Hongera, maana Kawe ni kubwa sana. Umefanya kazi kubwa sana ya kuchunguza watoa ushuhuda wote na kugundua hakuna hata mmoja anayetoka Kawe πŸ˜‚
 
Anzisha nawewe usinisahau hata kuwa Mzee kiongozi wa kanisa lako
 
Biashara ya Dini inalipa kinoma,

Ndo maana ROMAN CATHOLIC wanapesa kuliko Serikali yoyote Ile duniani

Roman Catholic wanamiliki Robo ya kipande Cha ardhi yote ya hii dunia
Wameizidi hata serikali ya TRUMP????
Sikuwahi sikia hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…