Lengo lao litakuwa limetimia, yaani kukutana kwa pamoja kumuabudu Mungu.Wataishia kwenye hema la kukutanikia tu, hawana maamuzi yoyote
Hata mimi hili nimeshajiuliza sana. Mfano hakuna mkazi kutoka pale pale Kawe amewahi kutoa ushuhuda wa kupona. Wakienda Mbeya wanaopona wanatoka Dar au Moro, wakija Dar wanaopona wanatoka Mbeya au SongeaNi biashara poa sana, maana wengi wetu bado wajinga,kama Mungu kakupa kipaji cha kuongea, upo charismatic, eloquent, una ka degree, na uelewa kidogo, fungua kanisa tu, watu kama Dokta Mwaka, Masoud Kipanya, Oskar Oskar, Sugu,wakifungua makanisa, mpunga nje nje,
Huwa nawasikiliza Kuhan Musa, na Mwamposa, nabaki natabasamu tu!
Tangu kipindi hicho, cha miaka ya, 90,mikutano ya injili ilipoanza pale Jangwani, Sijawahi kukutana na kilema, aliyepona ninaye mjua kitaa nilipokuwa naishi, wengi tunaowaona wakitupa magongo, na kunyooka viungo, kwa sababu moja au nyingine huwa sio wakazi wa kitaani eneo Hilo!
Ukiwa dar, utaaambiwa wametoka kigoma, kagera, mkutano ukienda singida, watoa ushuhuda, watatoka mtwara! Miujiza hii!
Kuna mchungaji mmoja alikuwa na kanisa lake bongo, alikuwa mnigeriaMkuu acha kujidanganya.
Unakumbuka Alex Msama?
Kuandaa Tamasha mashuhuri ina cost 100 to 200M.
Amefanya hiyo kazi kwa miama kibao. Alishafiriska.
Unatumia 300M kuandaa tamasha na watumishi maarufu au waimbaji lakini Return za michango na harambee zinaangukia kwenye 250M unakula hasara ya 50.
Jamaa ana kesi mpaka leo za madeni.
Kuwa realistic hutawaza hivyo.
Nikuombe tu mfahamu Prophet Bushiri then ukasome Makala ya Uchunguzi wa kiintelijensia " The Gold Mafia" ya Aljazeera.
Utaelewa na uache kupaniki.
Vijana mtaangamia kwa kukosa maarifa.
Hii makala itakupa insights pia kwa nini Vita ya Congo haiishi
Mipango tu ile utapeliHata mimi hili nimeshajiuliza sana. Mfano hakuna mkazi kutoka pale pale Kawe amewahi kutoa ushuhuda wa kupona. Wakienda Mbeya wanaopona wanatoka Dar au Moro, wakija Dar wanaopona wanatoka Mbeya au Songea
ππππππ
Uongo uko wapiUONGO
Umemaliza kila kitu mkuuπ€£Fungua na wewe uone kama utapata hata mtu na nusu
HΓ kuna mjinga mwenye hela, wajinga wachaΓ±ge bilion 10,?Acha ale mema wajinga ni wengi sana nchi hii!
Baimiashara ni after sadakaHuwa kuna mambo mengine pia. Sadaka tu haitoshi kufanya hayo yote. Wana biashara zao za siri.
Yohana 4:23Lengo lao litakuwa limetomia, yaani kukutana kwa pamoja kumuabudu Mungu.
"Kwa kuwa walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao." - Mt. 18:20
Hongera, maana Kawe ni kubwa sana. Umefanya kazi kubwa sana ya kuchunguza watoa ushuhuda wote na kugundua hakuna hata mmoja anayetoka Kawe πHata mimi hili nimeshajiuliza sana. Mfano hakuna mkazi kutoka pale pale Kawe amewahi kutoa ushuhuda wa kupona. Wakienda Mbeya wanaopona wanatoka Dar au Moro, wakija Dar wanaopona wanatoka Mbeya au Songea
ππππππ
Watatengeneza pesa sana huko baadaeSadaka kwa waumini gani alio nao? siku hizi ni rahisi tu, unaongea nao, wanakubeba kifedha, mtalipana mdogo mdogo kwa mwaka mtu mmoja. Na wewe hubiri injili rahisi. Achana na mambo ya acha dhambi, sijui vaa vile, au tujiandae tuende mbinguni, HAPANA.
Sawa mkuuCode za
Kindewa tu, sio rahisi kwa watoto wa mbwa kuzielewa
Anzisha nawewe usinisahau hata kuwa Mzee kiongozi wa kanisa lakoDogo alikuwa kajichokea, dini imebadilisha kabisa maisha yake. Ana tembelea Gari, Mercedes Benz G Guard ya zaidi ya bilioni moja.
Sasa kaja kivingine, anahama pale Millennium Tower Phase 2 na kuhamia rasmi Mwenge alikonunua eneo kwa mabilioni ya FEDHA, pale ilipokuwa Century Cinema.
Washikaji, tutafute upako ili tutoboe
Wameizidi hata serikali ya TRUMP????Biashara ya Dini inalipa kinoma,
Ndo maana ROMAN CATHOLIC wanapesa kuliko Serikali yoyote Ile duniani
Roman Catholic wanamiliki Robo ya kipande Cha ardhi yote ya hii dunia