Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anataka anunue Brevis mwaka wa kwanza kazini.Hapo serikalini ulipo Kuna ...
Masijala wanapokea 300k
Mwanasheria 700k
Mwalimu 400k
Wewe 800k UNALIA?
#YNWA
Vunja vunja mpaka ipite laki nne. Ikumbukwe bajeti ni KWA mujibu wa take home.Wewe ni mpumbavu
Full stop!
Na shida ya utumwa huu wakishakumaliza nguvu zako zote za ujana let's say kwa miaka 30 au zaidi finally wanakudampo hawana tena mpango na wewe usubili kufa kwa stress tu na kuwapa lawama Watoto hawakujali kumbe wao wenyewe maisha yamewakazia.Ajira ni utumwa.Ndio maana mnaitwa watumishi
Sawa wanatoa huduma, wao maisha yao wanayaendeshaje kwa kulipwa kidogo? Au ndo ile wanapata thawabu za kwenda mbinguni?Jamani kazi nyingine ni kutoa huduma kwa jamii ukitaka kuwa tajiri kama musk ingia kwenye biashara
Pole sana Doctor. Na hapo umesahau kuweka ZAKA kama wewe ni Mkristo, ambayo ni 10% ya BASIC SALARY. Endapo ulikuwa hutoi zaka, anza kutoa ili uone baraka za Mungu zilivyo. Wakati wengine wanalia mshahara hautoshi, Mungu atabariki hicho kinachobaki na utashangaa unatoboa mwezi bila kukopa ili kujazia.Kwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Upo sahihi ila hao la saba hawafiki hata 500 kati ya watanzania zaidi ya milioni 60.Na sisi tunaolipwa laki tatu kwa mwezi tusemaje?
Tanzania issue siyo madaktari, Watanzania wote tunaishi kama mateka, tatizo ni Ccm.
Hapo kuna mtu kaishia la saba ana chukuwa take home million 14 kwa mwezi kwa kazi ya kugonga meza tu bungeni.
Kijana hicho kipato hapo juu ktk hali ya kawaida mbona kina muwezesha kuishi na kupata mahitaji yale muhimu vizuri tuuSawa wanatoa huduma, wao maisha yao wanayaendeshaje kwa kulipwa kidogo? Au ndo ile wanapata thawabu za kwenda mbinguni?
Huo mshahara ni mwingi sana, ni akili yako tu.Kwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Hakuna pesa ndogo,Kijana hicho kipato hapo juu ktk hali ya kawaida mbona kina muwezesha kuishi na kupata mahitaji yale muhimu vizuri tuu
Hakuna pesa nyingi wala chacheNdio maana una masters na bado unatumwa na wenye diploma!
Una akili za kipumbavu! Na umekoment upumbavu!
Full stop!
Yani Mungu aweze kuumba mbingu na dunia, halafu amuumbe binadamu, then Mungu aombe pesa kwa binadamu? Na hizi pesa si ni Man made? Ukitumia common sense huoni hapo dini zote ni Utapeli mtupu?Pole sana Doctor. Na hapo umesahau kuweka ZAKA kama wewe ni Mkristo, ambayo ni 10% ya BASIC SALARY. Endapo ulikuwa hutoi zaka, anza kutoa ili uone baraka za Mungu zilivyo. Wakati wengine wanalia mshahara hautoshi, Mungu awabariki hicho kinachobaki na utashangaa unatoboa mwezi bila kukopa ili kujazia.
Soma
Malaki 3:10-11
[10]Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema BWANA wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la.
[11]Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye, wala hataharibu mazao ya ardhi yenu; wala mzabibu wenu hautapukutisha matunda yake kabla ya wakati wake katika mashamba, asema BWANA wa majeshi.
Pamoja na hayo yote, wanaopanga mishahara wangeangalia namna ya kuwaongezea mishahara au hata posho. Wakiawapatia posho ya nyumba na usafiri na wakawalipia bima ya afya itakuwa jambo jema sana. Kazi za udaktari na kada ya afya kwa ujumla ni nyeti
Mwalimu wa Daraja E anapata basic salary ya 990kBora wewe, mwalimu wa degree mwenye basic salary 780,000 makato yake ni almost 300,000 anabaki na laki 5
Mtu analalamika wakati kakubali mwenyewe kuingia kwenye mfumo 😀 inabidi utulie mfumo ukuendesheHakuna pesa ndogo,
Ukiiheshimu pesa,nayo itakupa heshima mjini
Day light robberySema wakuu kodi tunayo lipa Serikali ni kubwa sana. 290k Seriously?
Watakatishaji pesa wengi hizi ndio aina ya kauli zao, ila 40 yao ikitimia unawaona wakifikishwa mahakama ya kisutu kuhusika na magenge ya uhalifu.Hakuna pesa nyingi wala chache
Ni akili yako tu