Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Achana naye bwana mdogo tu huyo asikupe shida.Kumbe ni Mwalimu huyu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana naye bwana mdogo tu huyo asikupe shida.Kumbe ni Mwalimu huyu?
Ukienda kwenye biashara utajuta kuzaliwa. Huku kuna kodi, tozo na ada kibao. Bado fire tingisha, osha, efd, ada ya mazingira, brela, mwenge, tbs,tmda, heslb, nhif, nssf- bora mbaki huko huko serikaliniJamani kazi nyingine ni kutoa huduma kwa jamii ukitaka kuwa tajiri kama musk ingia kwenye biashara
Kuna vijiji maisha ni ghali kuliko huko DarRaha ya mshahara huo uishi kijijini ila Dar lazima uwe na mwili kugombania seat kweny daladala na mwendokasi.
La sivyo hamna kitu utasave zaidi ya kuvaa koti jeupe kama muuza butcher.
Bora vijijini hata thamani unakuwa nayo..Kuna vijiji maisha ni ghali kuliko huko Dar
Yaani take home ya karibu 850k unaona bado ni ndogo kwa Tanzania hiiKwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Yaani take home ya karibu 850k unaona bado ni ndogo kwa Tanzania hii 🫢Kwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Kuna sehemu inaitwa Ruanda Mbinga mkoa wa Ruvuma, bia 2500 na bidhaa nyingine kila unayoijuwa wewe basi ongeza 500 juu.Kuna vijiji maisha ni ghali kuliko huko Dar
Bora mjini mkuu unaweza kupiga deiwaka kwenye private kuboost mfuko.Bora vijijini hata thamani unakuwa nayo..
Hapa mjini ukikaa mpaka unastaafu ni madeni tu na cha maana hauna.
Mambo ya ajabu sana!Watu wengi tulikuwa tunadhani udaktari ni kazi yenye malipo makubwa hasa tulipokuwa tunasoma A level na O level
Kitu ambacho kilifanya hadi kuwadharau watu waliokuwa wanasoma combinations za arts na biashara
Ila uhalisia tunakuja kuujua wakati tushachelewa
TOSHEKENI NA MISHAHARA YENUNa sisi walinzi tunaolipwa 120,000/= tufanyaje......????
Hata nyie mnaolima wengi mmejaa umaskini mkubwa tu.Kama mjini kumekushinda karibu Ifakara tulime, nchi kubwa hii kuna mapori yanauzwa laki kwa heka 1. Karibu shamba.
Hakuna namna, ila kulia na kusaga meno tu.Na sisi walinzi tunaolipwa 120,000/= tufanyaje......????
Hoja sio kua tajiri ,hoja ni kuweza angalau kuishi kama binadamu hapa dunian ,broo imagine huyu mwamba anayechukua hio jiwe 8 anafamilia na bafo tegemezi wako kibao sijui unanielewa lakini broo sijui unanielewa?Jamani kazi nyingine ni kutoa huduma kwa jamii ukitaka kuwa tajiri kama musk ingia kwenye biashara
Unakuta kuna mfanyabiashara anaingiza zaidi ya mil 4 kwa mwezi anakwepa kodi hakatwi kodiSema wakuu kodi tunayo lipa Serikali ni kubwa sana. 290k Seriously?
Kwa hiyo waliotofautisha ni mbumbumbu si ndio?Sasa wote siwamesomea kilekile? Diploma au degree
Shida ni watu kutotembea…wakikaa mjini wanafikiri vijijini maisha ni mteremko…yani kuna kijiji nilikwenda kule Arusha aisee maisha yako juu bora ukaishi Dar na pia hata kulima ni ghari kweli kweli tofauti ukiwa uku mtu anaweza dhani kulima ni rahisi… kuna sehemu niliulizia kupanda maharage wakasema kukodi hekari moja laki moja na kulima heka kwa trekta ni laki bado debe la mbegu ya maharage ambayo ni inapanda robo heka ni 75 elfu…halafu mtu ana kaa anafikiri kijijini maisha rahisi akishindwa mjini anafikiri atakwenda kijijini kulima na atajirike…..Kuna sehemu inaitwa Ruanda Mbinga mkoa wa Ruvuma, bia 2500 na bidhaa nyingine kila unayoijuwa wewe basi ongeza 500 juu.
Hakuna daktari wa diploma.Kwani Mkopo ulilazimishwa kukopa?
Pili watu wanaangalia posho zaidi sio hizo salary
Mwisho Daktari wa degree au Diploma?