Makato ya Mshahara kwa Daktari mpya Serikalini, bado tuna safari ndefu sana

Makato ya Mshahara kwa Daktari mpya Serikalini, bado tuna safari ndefu sana

Yani Mungu aweze kuumba mbingu na dunia, halafu amuumbe binadamu, then Mungu aombe pesa kwa binadamu? Na hizi pesa si ni Man made? Ukitumia common sense huoni hapo dini zote ni Utapeli mtupu?

Hivi vitabu kuna verse watu wameingiza project zao binafsi siyo kweli, Mungu hawezi kumtegemea binadamu wakati ana uwezo wa kusema iwe na ikawa.
Kuamini kwamba Mungu yupo japokuwa haonekani kwa macho kunahitajika Imani na kukubaliana na kilichoandikwa kwenye Biblia kwamba ni Neno la Mungu napo pia yataka imani.

Mimi sina namna nyingine ya kukufanya ukubali/uamini kwamba kilichoandikwa hapo juu kuhusu zaka ni Mungu mwenyewe kaagiza. Ila Ninachojua kwa uhakika ni kwamba ipo siku utakuja kufahamu kuwa hayo kweli ni maagizo ya Mungu, iwe ni kwenye maisha ya hapa duniani au ahera. Ila maombi yangu kwa Mungu ni kwamba akusaidie kuujua ukweli ukiwa hapa duniani, hiyo itakuwa ni faida kubwa kwako. Kinyume na hapo ukifika wakati sentensi kama hii inatamkwa........"laiti ningejuwa......" Hapo sasa inabaki majuto tu.
 
Hapo serikalini ulipo Kuna ...
Masijala wanapokea 300k
Mwanasheria 700k
Mwalimu 400k

Wewe 800k UNALIA?

#YNWA
Kwa ujumla mishahara haikidhi haja za wafanyakazi, si sahihi!Katiba mpya ili kuhakikisha wote hao wanalipwa vizuri na kupunguza za wanasiasa.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Kuamini kwamba Mungu yupo japokuwa haonekani kwa macho kunahitajika Imani na kukubaliana na kilichoandikwa kwenye Biblia kwamba ni Neno la Mungu napo pia yataka imani.

Mimi sina namna nyingine ya kukufanya ukubali/uamini kwamba kilichoandikwa hapo juu kuhusu zaka ni Mungu mwenyewe kaagiza. Ila Ninachojua kwa uhakika ni kwamba ipo siku utakuja kufahamu kuwa hayo kweli ni maagizo ya Mungu, iwe ni kwenye maisha ya hapa duniani au ahera. Ila maombi yangu kwa Mungu ni kwamba akusaidie kuujua ukweli ukiwa hapa duniani, hiyo itakuwa ni faida kubwa kwako. Kinyume na hapo ukifika wakati sentensi kama hii inatamkwa........"laiti ningejuwa......" Hapo sasa inabaki majuto tu.
Dini zinaenezwa kwa misingi ya kuwajaza hofu wajinga.

Jaribu kukaa na wanazuoni ambao theology imelala utaelewa dhahiri Kamba na fix tunazopigana na kujazana hofu, fear of unknown.

Mungu hawezi kuomba pesa kwa binadamu.
 
Kuna mtu anaingia bungeni anasinzia tu, akishtuka anagonga gonga meza kikao kikiisha anapokea posho, jioni unamkuta rainbow au bambalaga, then mwisho wa mwezi anakunja mara 10 ya hicho kipato. Amaa kweli dunia uwanja wa fujo
Mbaya zaidi nguruwe hao wanaodai anaupiga mwingi !!!

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
Hoja sio kua tajiri ,hoja ni kuweza angalau kuishi kama binadamu hapa dunian ,broo imagine huyu mwamba anayechukua hio jiwe 8 anafamilia na bafo tegemezi wako kibao sijui unanielewa lakini broo sijui unanielewa?
Nakupata na naelewa sana bruh
Sasa 800k wategemezi kibao unatoka nao wapi ukiachana na familia yako ambayo nayo pia inabidi uijenge kimkakati sio kuzaa zaa tu kama kumbikumbi 😀
 
Yes, mshahara hauendani na muda wa kusoma. Hata hivyo, angalau kwa madaktari na manesi serikali imejitahidi si haba. Tatizo linakuja pale ambapo nurse wa diploma anamzidi mwalimu wa degree basic salary. Yaani mtu kaishia form 4, Tena passmark za chini. Kasoma 3 years deploma. Anamzidi mshahara mtu aliyesoma zaidi ya miaka 5. Kuna haja ya kupanga upya mishahara ya watumishi wa umma. Criteria za high risk na muda wa kusoma, si kigezo peke Cha kupanga salary. Yaani walimu wanaowafanya kuwa watumishi, tunawalipa mishahara ya chini, eti kwa kigezo Cha wingi wao! Mahitaji ya uwingi yanasababishwa na wanafunzi kuongezeka Kila mwaka. Hivyo tamisemi waangalie kuwa wanafunzi wengi pia ni high risk kwa mwl. Leo walimu wengi ni wagonjwa wa macho, vidonda vya tumbo, pressure n.k ambavyo vyote hivi wamepatia kazini.
 
Kuna mtu anaingia bungeni anasinzia tu, akishtuka anagonga gonga meza kikao kikiisha anapokea posho, jioni unamkuta rainbow au bambalaga, then mwisho wa mwezi anakunja mara 10 ya hicho kipato. Amaa kweli dunia uwanja wa fujo
Kawekeza yule...acha apate maokoto...ngilimba wanazopitia na hela zinavyowatoka kpind cha uchaguz c mchezo..!!
 
Back
Top Bottom