Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
Wanafungwa makapuku na wasio na koneksheni tuWatakatishaji pesa wengi hizi ndio aina ya kauli zao, ila 40 yao ikitimia unawaona wakifikishwa mahakama ya kisutu kuhusika na magenge ya uhalifu.
We ukitaka kula kula na wakubwa wenye mizizi mirefu