Makazi ya Netanyahu yaliyopo Caesaria yashambuliwa kwa drone

Nyie ndio wale baba amekufa linakuja jamaa kumchukua mama ako linakaa nae nyumba aliijenga babaako kwakua ni li askari magereza wewe unaliacha unalipa na funguo za gari ya babako kwa uoga
Limama lako inaweza kuwa limependa show ya askari likahonga kila kituna huwezi fanya lolote
 
Bibi lazima awindwe na magaidi maana anawashenyenta sana.
 
Hezbollah gave Israel full legitimacy to attack the office/residence of the Supreme Leader of Iran in Tehran .
 
The “Al-Hadath” Saudi TV channels reports that the target hit by the Hezbollah UAV in Caesarea was Benjamin Netanyahu’s private residence.

Netanyahu wasn’t there at the time. No one was injured in this incident.
 
Aise!
that is failure of israel security, wamechia drone kutoka Lebanon hadi nyumbani kwa Waziri Mkuu na ikashambulia makazi, bahati nzuri hakuwwpo.
Hili lilikuwa Jaribio kubwa la kumuua Nentanyahu.
 
Kwa hiyo Daudi kwenda kupambana na Goliath ilikuwa ni ujinga?

Vipi upinzani kupambana na CCM?

Au vipi vita vyovyote vilivyopiganwa dhidi ukoloni?
Kwani unadhani vita vya ukolon
Kwa hiyo Daudi kwenda kupambana na Goliath ilikuwa ni ujinga?

Vipi upinzani kupambana na CCM?

Au vipi vita vyovyote vilivyopiganwa dhidi ukoloni?
Unadhani ukoloni mlishinda?, wazungu waliamua tu kupunguza gharama na kutumia vibaraka kuchukua rasilimali kama kawaida na ndio maana wanaojifanya kuzuia huishia kufa
 
Kwani unadhani vita vya ukolon

Unadhani ukoloni mlishinda?, wazungu waliamua tu kupunguza gharama na kutumia vibaraka kuchukua rasilimali kama kawaida na ndio maana wanaojifanya kuzuia huishia kufa

Kumbe hawakushindwa? Mbona waliondoka vichwa chini?
 
Netanyau akamatwe akiwa hai apelekwe mahakama ya kimataifa kwa uhalifu wa kivita!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…