Makazi ya Netanyahu yaliyopo Caesaria yashambuliwa kwa drone

Kwa hio mkuu ausubuhi anatokea shimoni kuelekea ofisini 😂😂
Mbona maisha magumu sana haya...


By the way, ninachoona Iran inaweza kuratibu mauaji ya kiongozi yeyote wa Israel.
Na ndicho ambacho ninachokiona!

Tukio la mara ya kwanza lilimlenga mnadhimu mkuu wa jeshi.

Tukio la pili limemlenga Benjamin Netanyahu.

Kinachoonekana Hizbullah nao wanafanya msako wa kuwaondoa viongozi wa wakubwa wa Israel.

Changamoto ni hizi drones wanazozitumia ni tishio kwa Israel.
 
Hizi ndio habari anapenda Ritz



Earlier today Iran attempted to assassinate the Israeli prime minister.

This is the statement by the Turkish Foreign Ministry ☝🏼

Did a NATO member just express support for assassinating Israel's prime minister?
 
Wanaukumbi.

#BREAKING Kulingana na Hebrew Media, makazi ya kibinafsi ya Netanyahu huko Caesarea yalipigwa na ndege zisizo na rubani za kujitoa mhanga zilizozinduliwa na Hezbollah mapema leo.

Hatima na hali yake haijulikani kwa sasa. Lakini imethibitishwa kuwa alikuwa ndani ya makazi hayo wakati ndege zisizo na rubani zilipoipiga.

Ofisi ya Netanyahu inakataa kutoa maoni yake kuhusu aliko Waziri Mkuu wakati wa mgomo wa moja kwa moja kwenye makazi yake ya kibinafsi huko Kaisaria.

Ambulances zinaonekana mbele ya makazi yake pia.
=========================

View: https://x.com/warintel4u/status/1847556152197804499?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Ameshindwa kumua toka 1979 ndio ataweza leo
Ndugu yangu, jana siyo leo. Tusikariri vipimo kiasi hicho. Ndo maana huko nyuma hawakuweza kuishambulia Israel nyumbani kwake lakini leo Israel inaingiliwa mpaka chumbani kwake.
 
Kwa sababu viongozi wa Israel wanechagua hayo maisha acha wapambane.

Hivi hakuna majeruhi kwenye hio nyumba kweli, au jamaa hakuwa na familia hapo?
 
Kuanzia leo Netanyau hawezi kukaa hadharani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…