Makazi ya Netanyahu yaliyopo Caesaria yashambuliwa kwa drone

Wewe unaamini kachero komando wa jeshi mkongwe anaweza kuwa anaishi kwenye makazi yake rasmi kipindi cha vita?
 
Tumuombee bibi awe salama inshaallah.
 
Hello kaislamist ka Buza! kaallah kenu ndiyo kamewadanganya mfanye hilo jaribio! na unajiburudisha na hizo taarifa ulizopewa? Ni kweli kumekuwa hilo jaribio. Sasa ni kwambie kitu!! ? Waingereza wana usemi " you are poking the bear" mmempa Netanyahu kila sababu ya kukamalizia kababu kenu KaAyatollah Ali Khamenei. Maana mwamba yuko salama hiyo drone yenu ya shahed ime fail
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…