Maketa: Tendo la ndoa kinyume cha maumbile ni chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika

KWA ASILI MWANAMKE ANA TUMIA MANENO MAKALI KUMUUMIZA MWENZIE
1.KIBAMIA
2.KINYUME NA MAUMBILE
3.HAMRIDHISHI
4. ANA MCHEPUKO

KAWAIDA UJASIRI WAO UKO MDOMONI, UDHAIFU UKO MOYONI.
NDIO MWANZO WA SAFARI ZILE ZA KUSHTUKIZA KWENYE MAKANISA YA MANABII NA MITUME, KUITAFUTA MIUJIZA NA UPAKO. NA HII NI BAADA YA DAWA ZA WAGANGA WA KIENYEJI KUSHINDWA.

NDOA ZINAKUFA KWA SBB:
1.JEURI
2.KIBURI
3.DHARAU
 
Nchi gani ya SADC, kuzibua mtaro ni kawaida
 
Tupe vielelezo vya hao the so called Scientist
 
Huyo anakwepa sababu za kiuchumi na vipato ambazo ndo sababu kuu......wanaume wamevurugwa kutokana na uchumi mbovu na hali duni za vipato, mengine yote ni geresha tu......ukitaka kujua fuatilia ni ndoa ngapi za matajiri au watu wenye vipato vikubwa ambazo zimevunjika. Utakuja kukuta ndoa nyingi zinazovunjika ni zile za wanyonge aka. choka mbaya.......​
 
Mbona hili la viungo bandai vya kungonoka ambavyo Vingine vinatumia umeme, kweli mkeo alisha zoe hivyo bado ana haja na ww??😭😭 pia na kuongezeka kwa mashoga mtaani wameyafunika!
 

Attachments

  • IMG-20220824-WA0021.jpg
    37.1 KB · Views: 16
Tatizo jamii imeamua kuwasikiliza wanawake kuliko wanaume na wanaume wameamua kukaa kimya mwanamke anafanya madudu yake anajificha kwenye suala la kuombana mzigo kinyume ili apoteze ushahidi.
 
Angesema Wanawake husingizia sababu hiyo.

Nazijua kesi za namna hiyo, wanawake wengi wakitaka kukuacha au kukudhalilisha wanatabia ya kusema umewaomba kinyume na maumbile.
Kweli kabisa mkuu na mimi nasimama na point yako wanajua wakisema hvyo wameuwa ndege wawili kwa wakati mmoja inakuwa rahisi kwao kusikilizwa.
 
Kama angefanya research ya akili kubwa angegundua kuwa makahaba yaliyoenda kujificha kwenye nyumba za ibaada ili kuolewa ndiyo chanzo kikuu.
Maana yakikosa ule uhuru wa kujirusha husingizia mme kumtaka kinyume na maumbile ili ndoa ivunjwe. Ikiisha vunjwa yanarudi jalalani kuendeleza uchafu wao wa awali.
Na pili ni ugumu wa maisha unaochagizwa na tozo lukuki zilizoidhinishwa na awamu hii ya sita
 
Huo utafiti sio sahihi kwa sababu wanawake wengi wakiingia kwenye mgogoro hadi kufikia kudaina talaka lakini kwakuwa ni ving'ang'anizi basi uamua kumdhalilisha mwanaume kwa madai kwamba kwa vile ameshamuaribu kwa kumtumia kinyume cha maumbile halafu anataka kumwacha.
 
Kumbe ukiweka v8 unapewa tope. Aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…