Walker Water
JF-Expert Member
- Aug 23, 2022
- 842
- 3,357
Maswali mengi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hilo tunalijua ila watu wanauliza:Jamani mimi nashindwa kuelewa, hivi hatujawai kuhesabiwa? Hii ni mara ya kwanza?
Karani hata akija kesho kutwa yeye atakua interested na watu waliolala tarehe 23...
Sio kweli, usifananishe zamani na sasa. Hii ni sensa ya kipekee usipange kukosa kwani utajipunja maendeleoWakati mwingine naona watanzania na serikali yenyewe tuna complicate mambo sana, hata kama mtu asipohesabiwa mwisho wa siku sioni kitakachoongezeka au kupungua kwenye mahitaji ya jamii yetu...
Kama ulisikia vizuri walisema, leo mapumziko ili watu waweze kuandaa vitu vyote muhimu na pia iwe rahisi kupata wale ambao walikua stendi tayar kusafiri.Mkuu hilo tunalijua ila watu wanauliza:-
1 kwa nini leo 23.08.2022 ikawa siku ya mapumziko?
2.Je hizi siku saba zinazotoka mfuko wa nyuma nazo zitakuja na mapumziko?
3 Je mimi niksema kesho au kesho kutwa siendi kazini kwa sababu ninamsubiri karani nihesabiwe nitakuwa nimekosea?
Kwelii kabisa kwa siku watu 25 hatarii sanaaJamani mimi nashindwa kuelewa, hivi hatujawai kuhesabiwa? Hii ni mara ya kwanza?
Karani hata akija kesho kutwa yeye atakua interested na watu waliolala tarehe 23...
Hili ni la mchongo zaidi ya lile...Kweli hili zoezi nataka nilifananishe na vitambulisho vya nida 🙂 sarakasi nyingi
Ahsante kwa ujumbeJamani mimi nashindwa kuelewa, hivi hatujawai kuhesabiwa? Hii ni mara ya kwanza?
Karani hata akija kesho kutwa yeye atakua interested na watu waliolala tarehe 23...
Hivi huko mliko vishikwambi havijapotea potea??Basi wangeongeza vishikwambi na makarani. Au wangepunguza maswali toka 100 ya Sasa na kubakia 3 tu.
Ili ndani ya dakika 10 kaya 5 zihesabiwe.
Mbwembwe nyingiiiii tu naonaWakati mwingine naona watanzania na serikali yenyewe tuna complicate mambo sana, hata kama mtu asipohesabiwa mwisho wa siku sioni kitakachoongezeka au kupungua kwenye mahitaji ya jamii yetu...
Jamani mimi nashindwa kuelewa, hivi hatujawai kuhesabiwa? Hii ni mara ya kwanza?
Karani hata akija kesho kutwa yeye atakua interested na watu waliolala tarehe 23...
Pepa la dk 40, mimi nakamilisja kilijibu kwa dk 30, halafu napata alama 90% nitakuwa nimefeli?Jamani mimi nashindwa kuelewa, hivi hatujawai kuhesabiwa? Hii ni mara ya kwanza?
Karani hata akija kesho kutwa yeye atakua interested na watu waliolala tarehe 23...
Mbona taarifa ilitoka kwamba sensa ni siku sita hadi saba, hivyo unapaswa kuweka kumbukumbu za watu waliolala usiku wa kuamkia tarehe 23.
Sio kweli, usifananishe zamani na sasa. Hii ni sensa ya kipekee usipange kukosa kwani utajipunja maendeleo
Hapo Mwanza ulikolala ndio watatoa taarifa zako kwa karaniUko sahihi, hebu nisaidie hili. Leo niko Mwanza kikazi na sijahesabiwa hapa, narudi alhamisi Dar ambako ndiko makazi yangu yalipo. Je sintokuwa na sifa ya kuhesabiwa huko Dar maana sikuamkia huko tarehe 23/8/22?
Wangekuwa wanatulipa ningeweka hiyo kumbukumbu hata kwa mwaka mzima ujao.Mbona taarifa ilitoka kwamba sensa ni siku sita hadi saba, hivyo unapaswa kuweka kumbukumbu za watu waliolala usiku wa kuamkia tarehe 23.
Bwana wee. Sensa kwa nchi zetu hizi hazina umuhimu wowote. Ni globalists tu wanataka random takwimu za kidunia. Maana inatarajiwa watu kufikia 8 B dunuani.Wakati mwingine naona watanzania na serikali yenyewe tuna complicate mambo sana, hata kama mtu asipohesabiwa mwisho wa siku sioni kitakachoongezeka au kupungua kwenye mahitaji ya jamii yetu...
Hapo Mwanza ulikolala ndio watatoa taarifa zako kwa karani
Guest ipi hiyoHapo Mwanza ulikolala ndio watatoa taarifa zako kwa karani
Huenda ni miongoni mwa chawa walioliandaa vibaya zoeziHata mimi nimeshangaa anakushambulia wakati zoezi lenyewe lina mapungufu.
😂😂 Kabisa ndugu.Huenda ni miongoni mwa chawa walioliandaa vibaya zoezi