Wakabambee58
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 1,302
- 1,939
Hivi haijaisha tu? Au safari moja huanzisha nyingine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu mwenye Smartphone hapaswi kukosa shughuli ya kufanya, kwa mtu ambae hana smartphone labda...Utamkuta Prince Kunta nakadigrii kake ka sociology yuko yuko tu kwa shemeji yake waking'ang'ania remote na beki tatu kisa dada yake anamkingia kifua. Wakati uwani kuna eneo kubwa angalau angelima kabustani kambogamboga.
mbona unajipa shida kwenye raha?Hivi mimi ndo sijui kuzidisha??
kaya 577,000× 5(wastani wa wanakaya)=2,850,000
kwo kwa haraka tuna watu 2850000 tu??
Wanataka ujihangaishe wakukate tozoKukaa na kula nyumbani kwenu nalo limekua kosa, eeeh mabig haya
Msomi analala akisubiri ajira wakati asiyesoma anajiajiri. Huu ni uzumbukuku wa wasomi wetu.Haya kwenu nyie wasomi ambao ni kula kulala mmesikia hiyo
Ova
Hawa ukiwaondoa kwenye system ambako wanakula vya bure tena bila kufanya kazi yoyote hawawezi kuishi hata miezi sita, trust me. Hawa watoto wao wote hawakupitia kwenye shida. Kauli kama hizi wanazitoa kwa sababu ya kuvimbiwa. Watanzania bila kuamka na kushikisha adabu watu wa aina hii tusitegemee maisha kubadilika. Nchi ingekuwa na watu wakali watawala wenye kashfa na kiburi namna hii wasingethubutu kukejeli watu.aliyeshiba hamjui mwenye njaa
Yaani mi huwa naona watu nchi hii wana laana ya asili si bure ,Bongo bwana yaani ujinga umetujaa. Sasa tunafurahi kabisa mtu ana mastres anaendesha bajaj....wacha wafhungu watutawale
Kama ni hivyo hizo mali zote za nini jamani?! Au basiLaiti angelikuwa na mtoto hata mmoja, .... au basi!
Tuache visingizio. Kijana yeyote awe msomi au la anatakiwa ajishughulishe, awe tayari kufanya kazi yoyote. Kitu kinachosumbua vijana wasomi ni jinsi jamii inavyowatazama na kuwahukumu. Kusimama majukwani na kuwabeza wasomi ni kuwaongezea msongo wa mawazo. Kwa mtazamo chanya Makinda anataka vijana wasomi wasibweteke- siku hizi ni vijana wachache sana wanapata kazi inayoendana na kozi waliyosomea. Wajitume zaidi, wahangaike mitaani- wajifunze mambo mapya ili kujipatia kipato- si rahisi, lakini msemo wa kiswahili wa penye nia pana njia mara nyingi unafanikiwa. Kazi yoyote itakuongezea "networking "- utafahamiana na watu wengi kuliko kukaa nyumbani.Elimu ni funguo wa maisha, mlango wa maisha upo wapi?kwamba Elimu sio ufunguo wa ajira!!Hawa mbwa wakisha Shiba, wanaona watoto wa watu wenye degree zao lakini wanaendesha boda boda, kama punguani vile?
watoto wa wakubwa, wakimaliza shule tu, wanaletwa nafasi za ajira nyumbani, nafasi za wizarani, mashirika ya umma, taasisi, mtoto wa maskini anaambiwa akajiandikishe ajira portal!
Kwenye kundi la wabunge wa ea, waliochaguliwa, Kuna watoto wa vigogo, kwanza walikuwa nje kwenye balozi, walianza kazi wizarani baada ya kutoka vyuoni tu!
Yaani nikisikia Hawa wazee kizazi Cha Nyerere, Mwinyi, Mkapa, wanaongea hizi pumba, nahisi kutapika kabisa
Asiepata akapata matako huliaaa mbwataaaWengi wanabet na kucheza michezo ya bahati nasibu ndio ajira pekee waliyonayo kwa sasa hakuna anaependa kukaa bure mtu amesotea elimu zaidi ya miaka 15 usimchukulia poa you must show some respect to them, wamepambana kuitafuta elimu kwa jasho, shida na taabu angalau wameelimika..
...Anadhani tunapenda Kukaa Bure bila Kazi? Basi aruhusu Wasomi Watano TU tumfuate Ofisini Kwake Jumatatu atupe Ajira !!aliyeshiba hamjui mwenye njaa