ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Kumbee 😳👁Moshi ni dalili ya kuni ilishaungua kitambo sana, mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbee 😳👁Moshi ni dalili ya kuni ilishaungua kitambo sana, mkuu.
"Never tame with human"Kama ule wa Ruangwa. ???
Kwa moshi tu hawamuwezi 😂😂
Usimjaribu bwana Mungu wako! 😄
Ulale Unono 😃
Sahihi kabisa.Anwar Saadat aliuawa katikati ya msitu wa wanajeshi.Ulinzi ni wa Mungu tu boss, kuna viongozi duniani waliuwawa na walinzi wao
Binadamu hakulindi baba
Huna ubongo?Na Lissu anawindwa na nani?
OkMkuu wa Mkoa Paulo Makonda, amedai kwamba kuna watu 8 wamelipwa hela ndogo ya mil 6 za madafu ili kumuwinda.
Bali Hakusema wakishamuwinda na kumdaka watamfanya nini.
Ujumbe wake huu hapa
---
Nimepata taarifa hapa ya raia mwema tu kanitumia ujumbe ananiambia Mheshimiwa maliza mkutano usiku umeingia. Nikamwambia kwanini? Akasema unawindwa mno na hata hapo Arusha kuna watu nane na wamelipwa Milioni sita kwaajili ya kufanya maangamizi. Maliza mkutano nenda nyumbani.
Na tutamtaja sana maana kazi anazofanya tunazushuhudia maana hapoi. Mtu kama hapoi utaachaje kumtaja?Makonda ni bingwa wa content hapoi. Anataka muda wote mumtaje 😂
Sasa kaka kama marekan tu walimtuhumu kwa kuua na wamempiga burn maisha ,unategemea alioua huku mtaani wasimuweinde,yaan kabisa sabayo ambaye amelawiti wanaume na kuwaumiza ,mmoja ninamjua alimpiga na kitako cha bunduki pale kokoliko je ungekuwa ww ungeacha kumuwinda?? Hawa wasiingize serikali magu walimsaidia sana kuumiza watu.unajua kilicho mtoa makonda dar? Unajua ugomvi walioleteana na mdogo ake gsmMakonda alisema pia akiwa hapo ofisi ya mkoa (Arusha) akikupa huo ukuu wa mkoa kwa anavyowindwa utaurudisha kesho yake.
So his allegations shouldn't be taken lightly.
Jeshi lipo imara na waanze na mtuma ujumbe
Sijasema kama anawindwa kweli au la. Ila nimesema huwa anajua sana kucheza na akili za 'wajinga', na huwa anawapata wengi.Nani ambaye anaishi Tanzania ambaye hajui kwamba ukijifanya wewe ni mwamba wa kuwaumbua wabadhirifu ni lazima utatengenezewa kila aina ya uovu na hao hao wenzao ndani ya Chama. ?? 👁
Sisi wengine ni wahanga tunajua nini huwa kinafanywa hata ukianza kukosoa tu humo Chamani. 😳🙄
🤣🤣🤣🤣🤣Huyo hata ya kupiga debe bus zitajaza abiria vibaya. Hata km ulikuwa hutaki kusafiri utasafiri 😂
Kila mmoja 750,000/-Tutagawana mil 6...
Makonda anafikiri watu wote ni wapumbavu kama yeye.Hakuna cha kuwindwa wala nini ni michezo yake mwenyewe tu.
HUYU NI MPUUZI ANAYESIFIWA NA KUPENDWA NA WAPUUZI. ALIPOKUWA MSEMAJI PIA ALIONGEA HVAongezewe Ulinzi 🐼
Rais Mkapa alimpa Ulinzi maalumu shujaa Magufuli 😄
Babu Tale naye kasema anawindwa na Watu Wawili 😄H
HUYU NI MPUUZI ANAYESIFIWA NA KUPENDWA NA WAPUUZI. ALIPOKUWA MSEMAJI PIA ALIONGEA HV