Makonda ajibu tuhuma za kumpiga risasi Tundu Lissu. Asema Lissu ana matatizo ya akili, aende Milembe

Ila bro haupo sawa sasa hayo maswal kuulizwa makonda kama nani? Makonda alikua mwenyekiti wa ulinz na usalama DSM sio DODOMA. Makonda alikua hana uwezo wa kutoa amri yoyote DOM cz sio area yake ya jurisdiction. Unaweza ukawa una maswali mazuri ila Makonda hausiki na majibu ya hayo maswal hata kidogo
 
Lisu ana matatizo ya akili, aende Mioembe. Hili siyo tusi, ni sifa.
 
Nakubali challenge. Kwa uono wako hafifu utadhani siko sawa. Maswali ya tukio hili yamekosa majibu kwa miaka 7 mpaka sasa. Pili, mtu anayekana hakuvamia clouds wakati CCTV camera ilionyesha tukio, muda na picha unamwamini vipi kwa kauli zake. Tatu nchi ya Marekani imewahi kuweka zuio la kuingia nchini humo kwa sababu huyu jamaa amewanyima watu haki ya kuishi,, mauaji,, (killing/asanitaion) amewahi kukanusha ? Natambua jambo hili uzito wake hata kulijadili ni humu. Lakini bado uhai hauna mbadala. Hatuna Tanzania nyingine. Be serious.
 

Jamaa muuaji na Lissu yuko sawa kwenye hili
 
Hata kulijadili ni humu na zito
 
Kwa kauli hizi inadhibitishabbl kuwa Huyu Dogo dogo shule hamna kabisa
Ni tz pekee watu kama Hawa wanaweza kuwa na vyeo vikubwa
 
Utetezi wake ulikuwa dhaifu na hapakuwa na waandishi makini. Yaani siku hiyo Lisu anapigwa risasi ni siku ambayo Hayati Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya Vito, viongozi wote walipaswa kuwa pale. Ni kweli inaingia akilini Rais ana kikao muhimu tena kinarushwa live, eti mkuu wa mkoa ambao ni mwenyeji yuko mnazi mmoja na shughuli yake? Hapo ndipo alipochemkia sasa. Na kwa nini ahangaike kuwajibia polisi kwa hoja dhaifu namna Ile!!! Ningekuwa yeye ningenyamaza kimya. Mtu mbunge anashanbuliwa kwenye makazi ya viongozi halafu yeye ndiye akaripoti polisi,ili wafanye uchunguzi!!! Mbona mtu anashtakiwa akijaribu kujiua?
 
Angetueleza na lile la Marekani kumpiga marufuku kukanyaga huko kwa sababu alidhulumu haki za watu kuishi! Kama ni kweli au si kweli?
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo
 

Attachments

  • IMG-20241117-WA0032.jpg
    118.5 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…