Bashite ni maarafu kwa sababu ya msambwanda, kuteka watu, kuua na kudhulumu mali za watuMheshimiwa Makonda ni maarufu sana ndani ya Taifa letu. Ni maarufu ambaye ukitaja jina lake tu kila mtu anamfahamu .ndio maana unaona namna alivyoteka siasa za nchi hii wakati huu.
Kwa akili zako unaona Makonda ndo anajua?Bashe aache Kiburi na kujifanya anajua
Unasubiri Makonda apite uongee. Paralysed mifumoMigogoro mikubwa nchi hii inahusu ardhi. Polisi, Mahakama.
Ni hivi, kigogo anachukua ardhi yako, ardhi ya mama yako, ardhi ya yatima, mjane, analindwa na polisi, mahakama.
Unafanyaje?
KAMA ungejua serkali inatekeleza ilani ya chama ambacho ni ccm ungekaa kimya.Kuna sehemu nimesema chama kinapaswa kukaa kimya? Si umeona ulivyo na matatizo ya kuelewa?
Narudia tena, Makonda kama mtumishi wa Chama hana mamlaka yoyote ya kuwasimamisha watumishi wa Umma au kuwapigia simu majukwaani na kutaka maelezo yao na kuwapa amri.
Chama kinafanya hivyo kupitia vikao. Nyie endeleeni kuhalalisha ujinga kwakuwa ni wajinga ila msilazimishe watu kuamini na kuuishi ujinga wenu.
Elimu yako?Bashe hawezi fanya kazi ya Bashite most important Bashite au anyone else anaweza fanya kazi ya Bashe
Ukitafakari sana alichosema inamaana hata wapiga kura wake hawwawezi kumuuliza kitu acha sisi wananchiMheshimiwa Bashe Alikosea sana kutoa kauli ile hadharani na kuleta picha ya kama dharau kwa watu.ukiwa kiongozi unatakiwa utambue wapi uzungumze na wapi ukae kimya.uongozi mzuri ni pamoja na kuchagua maneno na kauli za kuzungumza mbele za watu.sasa alikuwa anatunishiana na nani misuli? Kwamba katibu mkuu wa chama ni mdogo kwake na hawezi mwambia chochote? Kwamba makamu mwenyekiti wetu wa chama ni mdogo kwake na hawezi mwambia chochote? Hii ni dharau na kujisahau ulikotokea.
Unasubiri makonda aje umweleze. maana hao machadema ndo wamesababisha hizi shida zote kwa wananchi.Migogoro mikubwa nchi hii inahusu ardhi. Polisi, Mahakama.
Ni hivi, kigogo anachukua ardhi yako, ardhi ya mama yako, ardhi ya yatima, mjane, analindwa na polisi, mahakama.
Unafanyaje?
Kama yakoElimu yako?
oooh..... sidhani ingekuwa kama yangu ungewaza kama navyowaza mimiKama yako
Sasa Bashe Godfather wake Lowasa yupo hoi bin taabani,atashindana na Makonda mtonyaji maalumu wa Msoga gang kimkakati ambaye alijifanya Mwandani wa Magufuli.View attachment 2888158View attachment 2888159
Imekuwa wiki ya kutupiana vijembe kati ya mahasimu wa muda mrefu Husein Mohamed Bashe na Paulo Christian Makonda, mahasimu hao wa muda mrefu toka 2014 wakiwa katika makundi ya kuusaka urais wa 2015, Makonda ambae ni kijana wa Sitta adui mkubwa wa Mzee Lowasa walianza kutupiana maneno makali muda mrefu.
Makonda akiwa ziarani siku ya jana amemjibu waziri wa kilimo Bashe kuwa atamhoji tu kwasababu yeye ndio anakitafutia kura chama hicho.
Bashe alinukuliwa mwisho wa wikii hii akiwajia juu wafanyabiashara wa sukari kwa kufanya lobbying kwa Paul Makonda ili aondoe bei elekezi.
Rai Yangu: Ni vyema vyombo vya maamuzi visiingilie ugomvi huu kwasababu ni kutunishiana misuli kwa vijana wala hakuna jambo serios sana, asitokee wa kuonewa maana wote wanaviziana muda mrefu tu, asionewe mtu.
Kama unge
KAMA ungejua serkali inatekeleza ilani ya chama ambacho ni ccm ungekaa kimya.
Bashe yuko hapo kwa mgongo wa chama asilete usanii ataliwa kichwa na wanamjua ni timu Lowasa na Msomali
Mwambie Basi Bashe kama hataki kuulizwa na chama na kutoa ufafanuzi wa masuala mbalimbali yanayogusa wizara yake basi ajiuzulu hataleo tu ili Mheshimiwa Rais wetu mpendwa ateue mtu mwingine.
Sasa Bashe ana madaraka gani ya kupambana na Makonda,Makonda ana network pana sana mpaka TISS.
Bashe ni akili kubwa, ni mtu makini anayejua kusimamia anachoamini, kubwa zaidi sio mnafiki.
Makonda ni akili ndogo, mtu anayeweza kutumika vizuri na baada ya matumizi akatupwa mbali. Yeye hajali, yeyote mwenye madaraka anaweza kumtumia kwa kazi yoyote.
Hakuwezi kuwa na vita kati ya akili kubwa na akili ndogo, hapo ni mmoja anaanika ujinga wake na mwingine anaanika ubora wake.
Sijui ni uzito wa uelewa wako au tatizo ni uelewa mdogo?
Kabla ya hicho unachoita ilani, kuna sheria za nchi na kanuni mbalimbali za utumishi wa Umma.
Pili, narudia kwa mara nyingine ili hata kama uelewa wako ni mdogo uelewe hapa. Chama kina kazi ya kuisimamia serikali kwa kupitia vikao. Makonda hana mamlaka yoyote ya kuwasimamisha majukwaani au kuwapigia simu watumishi wa umma na kuwahoji au kuwapa maagizo yoyote.
Acheni kulishan
Hatakusaidia kuandika kwa hasira. Kwa taarifa yako Waziri yuko hapo kisiasa. Ndio maana Makonda hadili na Makatibu wa wizara ambao hawako kisiasa. Huyo Bashe kama hujui ni Mbunge wa ccm. Ubunge na serkali wapi na wapi? Bora uje kambi yetu ya kudai katiba ili serkali na chama zitenganishwe. Kama hujui kuwa hujui kaa ukijua. Ndio maana tunawaambia suasa na serkali zikae tofauti lkn si kwa katiba hii. Makonda ni Bosi wa Bashe kwa chama chao. Juzi DED huko Tanga amesimamishwa kwa tamko la Makonda akumuomba Waziri mhusika naye amuondoe na waziri huyo ni mwanasiasa wa chama chao.Sijui ni uzito wa uelewa wako au tatizo ni uelewa mdogo?
Kabla ya hicho unachoita ilani, kuna sheria za nchi na kanuni mbalimbali za utumishi wa Umma.
Pili, narudia kwa mara nyingine ili hata kama uelewa wako ni mdogo uelewe hapa. Chama kina kazi ya kuisimamia serikali kwa kupitia vikao. Makonda hana mamlaka yoyote ya kuwasimamisha majukwaani au kuwapigia simu watumishi wa umma na kuwahoji au kuwapa maagizo yoyote.
Acheni kulishana ujinga.
Lakini humans are territorial in nature......Ila ukifuatilia watu tuna unyama fulani hivi.
Tabia zetu ni zlle zile za ku mark territory, ku establish dominance, kutaka kuonekana zaidi.
Yani it doesn't matter mtoto wa shule, waziri, silverback gorilla, deep down tuna hiyo violent and competitive streak.
Mimi najaribu sana kuikwepa hii siku hizi.
Hapa JF mpaka unashangaa, kitu kidogo tu watu wanalipuana.
Mambo ya kuonyana ni ya chama huko ndaniNaomba unijibu swali hili. Je katika wanaotakiwa kumuhoji au kumpa maagizo Mheshimiwa Bashe uliona mahali popote pale alipomtaja katibu mkuu? Huoni kuwa alimdharau na kuona hawezi kumpa maagizo yoyote yale? Unaona ni sawa hiyo? Huoni ni dharau kwa chama na viongozi wa chama?
Sasa Bashe ana madaraka gani ya kupambana na Makonda,Makonda ana network pana sana mpaka TISS.
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app