saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
utakufa vibaya weweHii tabia ya kuongea kisukuma akiwa mikoa ya wasukuma ni hatari, ni kueneza ukabila. Kwani watanzania wengine hawana lugha yao? Kwanini wasikitumie? Samia unatengeneza bomu. Hilo jamaa halifai anapsua nchi.
Kisukuma kilivyo kibaya mi ningeona aibu kukitumia tena karne hii.
Kwa misingi hiyo hata kuzungumza Kizungu itakuwa hatari kwa Usalama wa Taifa. na Ushahidi upo kwamba Lugha hiyo imegawa TaifaHii tabia ya kuongea kisukuma akiwa mikoa ya wasukuma ni hatari, ni kueneza ukabila. Kwani watanzania wengine hawana lugha yao? Kwanini wasikitumie? Samia unatengeneza bomu. Hilo jamaa halifai anapsua nchi.
Kisukuma kilivyo kibaya mi ningeona aibu kukitumia tena karne hii.
Hapa tusiweke ukabila kwenye uongozi. Kikubwa tuangalie uwezo wa mtu. Wasukuma walishaongoza nchi na wameonyesha uwezo wao. Wazanaki walishafanya hivyo piaHii tabia ya kuongea kisukuma akiwa mikoa ya wasukuma ni hatari, ni kueneza ukabila. Kwani watanzania wengine hawana lugha yao? Kwanini wasikitumie? Samia unatengeneza bomu. Hilo jamaa halifai anapsua nchi.
Kisukuma kilivyo kibaya mi ningeona aibu kukitumia tena karne hii.
Wewe ongea nawe kisandawe Kwan umezuiliwaHii tabia ya kuongea kisukuma akiwa mikoa ya wasukuma ni hatari, ni kueneza ukabila. Kwani watanzania wengine hawana lugha yao? Kwanini wasikitumie? Samia unatengeneza bomu. Hilo jamaa halifai anapsua nchi.
Kisukuma kilivyo kibaya mi ningeona aibu kukitumia tena karne hii.
Na wewe kaongee kipare kule MachameHii tabia ya kuongea kisukuma akiwa mikoa ya wasukuma ni hatari, ni kueneza ukabila. Kwani watanzania wengine hawana lugha yao? Kwanini wasikitumie? Samia unatengeneza bomu. Hilo jamaa halifai anapsua nchi.
Kisukuma kilivyo kibaya mi ningeona aibu kukitumia tena karne hii.
Mimi Naweza kusema sikubalini na Makonda ila kwa hili kaka Sikubaliani na wewe 100%..Hii tabia ya kuongea kisukuma akiwa mikoa ya wasukuma ni hatari, ni kueneza ukabila. Kwani watanzania wengine hawana lugha yao? Kwanini wasikitumie? Samia unatengeneza bomu. Hilo jamaa halifai anapsua nchi.
Kisukuma kilivyo kibaya mi ningeona aibu kukitumia tena karne hii.
Kufa maana wasukuma ndiyo waamuzi nani awe raisHii tabia ya kuongea kisukuma akiwa mikoa ya wasukuma ni hatari, ni kueneza ukabila. Kwani watanzania wengine hawana lugha yao? Kwanini wasikitumie? Samia unatengeneza bomu. Hilo jamaa halifai anapsua nchi.
Kisukuma kilivyo kibaya mi ningeona aibu kukitumia tena karne hii.
Hii tabia ya kuongea kisukuma akiwa mikoa ya wasukuma ni hatari, ni kueneza ukabila. Kwani watanzania wengine hawana lugha yao? Kwanini wasikitumie? Samia unatengeneza bomu. Hilo jamaa halifai anapsua nchi.
Kisukuma kilivyo kibaya mi ningeona aibu kukitumia tena karne hii.
Mimi simchukii Mbowe na wala sijawahi kusema namchukiaMimi Naweza kusema sikubalini na Makonda ila kwa hili kaka Sikubaliani na wewe 100%..
Ulitaka aende Usukumani akaongee Kigogo?
Au aende akaongee kidigo au Kibondei au akaongee Kichaga?
Chuki zisizo na sababu Mpaka kwenye mambo ambayo hayapaswi chuki haya ni matumizi mabaya ya chuki..
Au unataka kuwa kama Lucas mwashambwa ambavyo anamchukia Mbowe?
Hii tabia ya kuongea kisukuma akiwa mikoa ya wasukuma ni hatari, ni kueneza ukabila. Kwani watanzania wengine hawana lugha yao? Kwanini wasikitumie? Samia unatengeneza bomu. Hilo jamaa halifai anapsua nchi.
Kisukuma kilivyo kibaya mi ningeona aibu kukitumia tena karne hii.
Ukiusoma huu uzi kwa umakini utagundua kua mleta mada ndio ana chuki ya ukabila na ubaguzi wa ukabila tribalism,
Amemkosoa makonda kisha hapo hapo yeye mwenyewe amewadhihaki wasukuma na kuwaita washamba kisha akasema kisukuma ni kibaya.