saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Hii tabia ya kuongea kisukuma akiwa mikoa ya wasukuma ni hatari, ni kueneza ukabila. Kwani watanzania wengine hawana lugha yao? Kwanini wasikitumie? Samia unatengeneza bomu. Hilo jamaa halifai anapsua nchi.
Kisukuma kilivyo kibaya mi ningeona aibu kukitumia tena karne hii.
Kisukuma kilivyo kibaya mi ningeona aibu kukitumia tena karne hii.