Moja kati ya kitunaamini kinamtesa Mbowe ni hiloLowassa alikuja kuharibu haiba ya cdm. Kama kweli aliwasaidia akiwa na miezi miwili, aliwasaidia Nini alipokaa miaka miwili? Acheni upotoshaji wa kijinga mkidhani hatujui ukweli. Alaaniwe Mbowe na genge lake kwa kumpokea huyo tapeli wa siasa.
Umeonaeeeeee?Huyu Kibaka anakuwaje sijui. Anawapangia chadema la kufanya?
Moja kati ya kitunaamini kinamtesa Mbowe ni hilo
Periooood🥹Atuondolee upuuzi wake hapa yeye ni mc tu wa CCM hana ubavu wa kuwaambia nini cha kufanya vyama vingine,akatulize kalio lake huko kama linamuwasha
Halijawahi kuongea pointLeo kidogo limeongea pointi, hebu wacha tutafakari.
Mnafiki huwaga hana soniHivi Makonda anaweza kuomboleza kifo cha Lowassa? Usanii huu!
Mnafiki mkubwa huyo kenge tuAnataka kujifanya ndio msemaji wa vyama vyote. Cdm wanafanya wanachoona kinawafaa, na sio wanachoagizwa na msemaji wa ccm. Isitoshe Lowassa ndio alirukia mafanikio ya cdm, na Wala sio aloyeisaidia sana cdm kwa kura walizopata. Kama kura zile angekuwa amepata akiwa TLP hapo sawa.
Chadema si genge la wahuni ,mzee Mbowe kawafanya msukule kwa hiyo ni lazima mambo ya msingi ya kitaifa wakummbushweHuyu Kibaka anakuwaje sijui. Anawapangia chadema la kufanya?
Lema ,Mdude na Mbowe wako kwenye hili kundi ?Yaani 0 brain awashauri ma genius?
Embua tuambieni agenda ya mzee Mbowe ni nini?Jamaa huwa hana ajenda siku zote...
Chadema kweli hamnazo hata kidogoMnafiki mkubwa huyo kenge tu
Tupe kenge mmoja tu wa chadema mwenye ufahamuHalijawahi kuongea point
Chadema ni kundi la wajinga hakuna namna lazima kuwaelekeza aiseeAtuondolee upuuzi wake hapa yeye ni mc tu wa CCM hana ubavu wa kuwaambia nini cha kufanya vyama vingine,akatulize kalio lake huko kama linamuwasha
Embua tuambieni agenda ya mzee Mbowe ni nini?
Mhuni mamako aliyebeba mimba yako kwenye mikesha ya mwenge kiasi hata baba yako halisi hajulikani ndiyo maana huna adabuChadema si genge la wahuni ,mzee Mbowe kawafanya msukule kwa hiyo ni lazima mambo ya msingi ya kitaifa wakummbushwe
Sawa ,umepata shahada baada ya kutukana ,tunaposema hiki chama ni cha wahuni angalia hata lugha wanazotumia hawa kenge kwenye mitandao ,sio ajabu na wewe unaitwa baba flani🙆♂️🙆♂️Mhuni mamako aliyebeba mimba yako kwenye mikesha ya mwenge kiasi hata baba yako halisi hajulikani ndiyo maana huna adabu