Embu fafanua hapo kulamba asali kwa maana katiba hata yeye mwenyewe hajuia anachopigania ndio alidiriki kutaka kuwepo na wabunge wawili kila jimbo la uchanguziKulamba asali na kupigia debe katiba mpya...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Embu fafanua hapo kulamba asali kwa maana katiba hata yeye mwenyewe hajuia anachopigania ndio alidiriki kutaka kuwepo na wabunge wawili kila jimbo la uchanguziKulamba asali na kupigia debe katiba mpya...
Kundi lenyr wajinga wengi kama chadema ni lazima wasemeweAnaeasemea Chadema yeye kama nani?
Wewe kuwaita mamilioni ya watu wahuni hujaona kuwa ni tusi? Ndiyo naitwa baba fulani hata wewe kama mumeo hadi leo hajakutia mimba njoo nikupe usije ukafa bila kunyonyesha mtoto. Sawa sawa?Sawa ,umepata shahada baada ya kutukana ,tunaposema hiki chama ni cha wahuni angalia hata lugha wanazotumia hawa kenge kwenye mitandao ,sio ajabu na wewe unaitwa baba flani[emoji2297][emoji2297]
Embu fafanua hapo kulamba asali kwa maana katiba hata yeye mwenyewe hajuia anachopigania ndio alidiriki kutaka kuwepo na wabunge wawili kila jimbo la uchanguzi
Kalipeni Bilioni 300 za kitapeli. Si mnaakiliChadema kweli hamnazo hata kidogo
Katiba Mpya na Hali ngumu za maisha. Au hukuona maandamanoEmbua tuambieni agenda ya mzee Mbowe ni nini?
Hatutamsahau Mzee wetu, na tunajua CCM walifikia hatua ya kutaka kumfilisi ili arejee CCM na alirudi kwa shingo upande.Mkuu, Lowassa aliwasaidia sanaaa CHADEMA
Walitumia kesi ya mkwe wake na issue ya Rostam Aziz kumblack mail arudi CCM .Hatutamsahau Mzee wetu, na tunajua CCM walifikia hatua ya kutaka kumfilisi ili arejee CCM na alirudi kwa shingo upande.
Rest in Peace Ngoyai.
Na hilo linadhihirisha kuwa CCM ni kikundi cha Kimafia kilishaacha kuwa Chama cha Siasa siku nyingi.Walitumia kesi ya mkwe wake na issue ya Rostam Aziz kumblack mail arudi CCM .
YEYE KAMA NANI AWAAGIZE CHADEMA? MBONA ALIWAHI KUSEMA CHADEMA HAIPO HAKUNA CHAMA CHA UPINZANI Tanzania? Ukiwa muongo usiwe msahalifuKatibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM Paul Makonda amekiomba Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kusitisha shughuli zao za kisiasa ili kuungana na CCM kuombeleza msiba wa Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Ngoyayi Lowasa.
Makonda amesema mjini Songea Mkoani Ruvuma wakati akiahirisha ziara yake iliyobakiza mikoa miwili kuwa, Mzee Lowassa ametoa mchango mkubwa kwa Chadema hivyo ni wakati sasa wa kuenzi mema aliyokitendea chama hicho.
Lowassa ametoa mchango mkubwa kwenu hasa katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, hivyo naowaomba Chadema kusitisha shughuli zenu za kisiasa ili kushiriki mazishi ya Lowasa na msiba ukiisha tutarudi tena vitani.
Credit - CloudsTv
Wewe nae ni hauna jambo lingine ni Muislam Muislam Muislam umewazidi hadi wa Saudi Arabia 🇸🇦, sasa hivi wana promote mpira tuu.Muislam yeye msiba kwake siku 1 baada ya kuzika kila kitu Kama kawaida
Uislam ndio kila kituWewe nae ni hauna jambo lingine ni Muislam Muislam Muislam umewazidi hadi wa Saudi Arabia 🇸🇦, sasa hivi wana promote mpira tuu.
Mwambie aache kiherehere na pia kupenda kujipendekeza hovyo. Hao Chadema ni watu wazima na wanajua wanachokifanya.Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM Paul Makonda amekiomba Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kusitisha shughuli zao za kisiasa ili kuungana na CCM kuombeleza msiba wa Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Ngoyayi Lowasa.
Makonda amesema mjini Songea Mkoani Ruvuma wakati akiahirisha ziara yake iliyobakiza mikoa miwili kuwa, Mzee Lowassa ametoa mchango mkubwa kwa Chadema hivyo ni wakati sasa wa kuenzi mema aliyokitendea chama hicho.
Lowassa ametoa mchango mkubwa kwenu hasa katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, hivyo naowaomba Chadema kusitisha shughuli zenu za kisiasa ili kushiriki mazishi ya Lowasa na msiba ukiisha tutarudi tena vitani.
Credit - CloudsTv
Saudi Arabia huko ni football kwenda mbele we kalaghabhao tuu hapo.Uislam ndio kila kitu
Yeye kalisema kuikejeli Chadema, mikutano yake yote lazima aitaje Chadema,Mbowe na Lissu,nao viongozi wa Chadema wamempuuza hawamjibu sasa anajisikia vibaya kupuuzwa ndiyo maana anaweweseka. Chadema tangu jana kwenye ofisi zao bendera inapepea nusu mlingoti. Mzee Lowasa alikuja Chadema na kuondoka bila kuisema vibaya Chadema hivyo bado wanamheshimu tofauti na yule Mr. Zero Sumaye aliyeondoka baada kushindwa kwenye uchaguzi wa Kanda ya Mashariki. R I P [emoji992] Mzee Lowasa.Mie naona kazungumzia jambo la maana sana,Marehemu Lowassa amefanya makubwa nchi hii,aliwahi kugombea urais kupitia ticket ya Chadema,Bila shaka Chadema wanalijua hili na wataungana na taifa kuomboleza na kushiriki kikamilifu katika mazishi yake.
Maamuma ustaadh manyalia suguUislam ndio kila kitu