Necromancer
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 3,187
- 3,138
Wewe kila kitu unakiangalia katika miwani ya uislamu.Kazi kwelikweli.Wewe ndo unasema una PhD wewe?Labda PhD ya uharo!Muislam yeye msiba kwake siku 1 baada ya kuzika kila kitu Kama kawaida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kila kitu unakiangalia katika miwani ya uislamu.Kazi kwelikweli.Wewe ndo unasema una PhD wewe?Labda PhD ya uharo!Muislam yeye msiba kwake siku 1 baada ya kuzika kila kitu Kama kawaida
Anayo PhD ya kukamua maviWewe kila kitu unakiangalia katika miwani ya uislamu.Kazi kwelikweli.Wewe ndo unasema una PhD wewe?Labda PhD ya uharo!
Atuondolee upuuzi wake hapa yeye ni mc tu wa CCM hana ubavu wa kuwaambia nini cha kufanya vyama vingine,akatulize kalio lake huko kama linamuwasha
Jamaa script yake ya kukera baadhi ya watu iko njema
Yanamhusu nini?Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM Paul Makonda amekiomba Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kusitisha shughuli zao za kisiasa ili kuungana na CCM kuombeleza msiba wa Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Ngoyayi Lowasa.
Makonda amesema mjini Songea Mkoani Ruvuma wakati akiahirisha ziara yake iliyobakiza mikoa miwili kuwa, Mzee Lowassa ametoa mchango mkubwa kwa Chadema hivyo ni wakati sasa wa kuenzi mema aliyokitendea chama hicho.
Lowassa ametoa mchango mkubwa kwenu hasa katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, hivyo naowaomba Chadema kusitisha shughuli zenu za kisiasa ili kushiriki mazishi ya Lowasa na msiba ukiisha tutarudi tena vitani.
Credit - CloudsTv
Anataka kujifanya ndio msemaji wa vyama vyote. Cdm wanafanya wanachoona kinawafaa, na sio wanachoagizwa na msemaji wa ccm. Isitoshe Lowassa ndio alirukia mafanikio ya cdm, na Wala sio aloyeisaidia sana cdm kwa kura walizopata. Kama kura zile angekuwa amepata akiwa TLP hapo sawa.
[emoji1787]
Kweli shukrani ya Punda …..
Lowassa alikuja kuharibu haiba ya cdm. Kama kweli aliwasaidia akiwa na miezi miwili, aliwasaidia Nini alipokaa miaka miwili? Acheni upotoshaji wa kijinga mkidhani hatujui ukweli. Alaaniwe Mbowe na genge lake kwa kumpokea huyo tapeli wa siasa.
Moja kati ya kitunaamini kinamtesa Mbowe ni hilo
Hakuna hata mkutano wake mmoja ambao hajawataja Chadema, Mbowe na Tundu Lissu lakini wao hawajawahi kumjibu. Wamempuuza na hilo jambo linampa shida sana nyamitako ndiyo maana haishi kuwachokoza. Kukaa kimya ni jibu zuri sana kwa mpumbavu kama makonda.Sanaaaa. [emoji1787]
Anajua kuwajaza.
Tunayakumbuka sana aliyoyasema mmoja wa watangulizi wake huyu jamaa kuhusu hayati Lowassa. Sasa eti wanaombeleza kifo chake. Wenzetu wana msemo wao, "these guys are shedding crocodile tears".Hivi Makonda anaweza kuomboleza kifo cha Lowassa? Usanii huu!
Shukrani kwenye Nini boss, ama unadhani hatujui uhalisia?
Hakuna hata mkutano wake mmoja ambao hajawataja Chadema, Mbowe na Tundu Lissu lakini wao hawajawahi kumjibu. Wamempuuza na hilo jambo linampa shida sana nyamitako ndiyo maana haishi kuwachokoza. Kukaa kimya ni jibu zuri sana kwa mpumbavu kama makonda.
Ulitaka tufanyeje boss, au ulitaka tufanye kwa hisia zako?The fact that mnaujua uhalisia na hamtaki/hamna la kufanya ndio inanifanya niseme shukrani ya punda mateke “boss.
Wewe unaamini kweli vijembe vya kijiweni anavyotoa zero brain vinastahili kujibiwa na watu wazima? Mbona hoja alizotoa Mzee Kinana Lissu alizijibu tena kifupi na zikamletea shida mzee Kinana mbele ya wenzake hadi wakaingilia interview ya Wasafi isifanyike. Watu kaliba ya Lissu na Mbowe kujibu upuuzi wa makonda ni kumpa hadhi asiyostahili. Huyu tunamalizana naye huku huku kitaa.Uko sahihi.
Lakini wakati mwingine Ukimya Una maana kwamba huna majibu na hujui ujibu nini ama unaogopa kujibu.
Mpe basi alale nayoLakini ndio kashawaambia and words once spoken can never be reversed.
Nimependa uthubutu wake.
Nyie CHADEMA bila kualikwa mnaweza changisha watu Hela za kwenda Monduli.Huyu Kibaka anakuwaje sijui. Anawapangia chadema la kufanya?