Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,856
- 2,417
Hii michezo dereva alijifunzia wapi ?
Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.
My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Tuendelee kunywa mtori, nyama ziko chini.
Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.
My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Like faza like son
Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.
My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Hiyo nyama choma aliyotembea nayo jana Arusha, hela kaomba kwa owner wa Grumeti na Sasakwa Hotels zilizopo SerengetiAache ujinga bashite, ni yeye aliyekuwa ana harass watu kwa kuomba fedha kwa madai kuwa JPM kamtuma.
Si yeye huyu alimwomba hela Mengi ali aandae futari sijui nini?
Huyu jamaa ana akili ndogo sana.Hehehe alichukua hatua gani maana wezi wa kuku mtaani wanafungwa
Kumbe Ben Saanane alifariki?
Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.
My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Mzee wa drama
Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.
My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Mengi alikua anaenda front peke yakeUsijidanganye kuwa eti sijui uhalisia, ninafahamu kuliko uliyohadithiwa. Kwa kifupi huyo Makonda wajinga ndiyo wanakao buy hizo story zake. Makinda anajulikana kwa matukio yake ya hovyo na uzuri alikuwa anakwenda front mwenyewe.
Yule aliyefoji dicuments akawa anang’ang’ania ghorifa la GSM pale Masaki alikuwa ni dereva wake?
Na kea kuwa ameitoa hiyo kauli hadharani, subiri majibu yake, mtaipenda show
Ila makonda ni muongo sanaHata Clouds alivamia derevea ila SISITIVII ikamuonyesha Makonda.
Hata Jumba la GSM alilipora Dereva ila kwenye mgogoro dereva akafanya "sajari" akawa kama makonda.
Nyumbu mnadanganyika kirahisi sanaMtu aliyewasiliana naye Ben Saanane mara ya mwisho ni Bashite. Baada ya kumtaiti ndipo akampeleka kwa Magufuli. Na Magufuli mwenyewe alim shoot kwa bastola yake baada ya mateso makali ya miezi sita toka akamatwe. Ben alikataa kubadili msimamo wake juu ya UFEKERO wa PhD ya Magufuli
Siyo lazima uzikubali, na usipozikubali hazikufanyi wewe uonekane wa maana, kumbe na wewe ni mjinga tuUsijidanganye kuwa eti sijui uhalisia, ninafahamu kuliko uliyohadithiwa. Kwa kifupi huyo Makonda wajinga ndiyo wanakao buy hizo story zake. Makinda anajulikana kwa matukio yake ya hovyo na uzuri alikuwa anakwenda front mwenyewe.
Yule aliyefoji dicuments akawa anang’ang’ania ghorifa la GSM pale Masaki alikuwa ni dereva wake?
Na kea kuwa ameitoa hiyo kauli hadharani, subiri majibu yake, mtaipenda show
Ndugu Lior je unayo elimu kidogo kuhusu sheria au umeandika kwa kuwa ulihitimu la Saba B? Kwenye jinai parties ni Republic ndiyo plaintiff na individual ndiyo defendant. Hakuna yeyote mwenye capacity ya kufungua shtaka la jinai dhidi ya Makonda mpaka kwa ruksa ya DPPUmeshindwa vipi kumfungulia kesi ili hali una ushahidi kama huu.?
Hivi unaandika hisia kama fact kweli? Kama ulichoandika ni kweli basi Tz ni nchi ya watu waoga sana. DAB ni mjinga mmoja anaetumika kutuonyesha ujinga tulionao wa Tz. Kama tuna ushahidi why hatumchukulii hatua?
Yule jambazi asiyejulikana amejiweka peupe peee bila chenga!Ndugu Lior je unayo elimu kidogo kuhusu sheria au umeandika kwa kuwa ulihitimu la Saba B? Kwenye jinai parties ni Republic ndiyo plaintiff na individual ndiyo defendant. Hakuna yeyote mwenye capacity ya kufungua shtaka la jinai dhidi ya Makonda mpaka kwa ruksa ya DPP