Makonda: Ghalib usinilazimishe kusema uozo wako, achia mali yangu. Walioko nyuma yako nawajua

Hivi huyu Makondakta si ndio alikuwa chawa wa Riz1 na hao Danube au wapo wawili tofauti?
 
Jamaa anajambia mbali halafu bado anaonekana kujisaha na huo uccm kwa ufupi wanaokupa kichwa ndio hao hao wanapanga kukuangusha bro ningekuwa mimi ndio wewe tangu Magu alivyodanja tu ningeuza kila kitu nikatimkia zangu canada kuomba hifadhi.
canada tena wakati alipigwa pini na Pompeo
 
Kwa sasa makonda ni ‘joka la kibisa’ lisilo kuwa na meno, ajiandae GSM kalianzisha wafanya biashara wengi wanakuja kummaliza
 
Sasa mbona mnatunziana uozo??
 
Wanaume wanajipigia pasi tu. Anatulizwa kifuani, anabinywa, anapewa mwanaume mwengine. Makonda alikua mtu flani wa Cheo, ila zaidi hakuweza kukaa na hawa mamafia. Hawa GSM ndio walimpa ujeuri, sasa anataka kushindana na wanaume. Wale GSM, GHARIB YULE SALAAH na Vichwa vingi sana vinavyowazunguka ni wajeuri. Hata mama Samia anajua hiki kikosi, hadi watoto wao mama samia anajua, hawa ni Miamba. Wamejitengeneza.
 
Sasa hapo nani ni bwege?yaani ulikuwa mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa mkoa, leo hii unaanza kutoa tuhuma kama mlina ulanzi?!!kama anafanya biashara hizo yeye kama kiongozi wa mkoa, alichukua hatua gani!!yaani kama mkubwa akimuacha makonda , ili sheria ichukue mkondo wake, ya jambazi sabaya yatakuwa na nafuu!!sasa hata akiyasema kwa sasa hayatakuwa na nguvu sana kwani itonekana hakuwa na nia njema na taifa, kwani hadi maslahi yake yameguswa ndio amesikia uchungu huo?!!!serikali ile ilikuwa imejaa genge la wahuni tu,
 
Makonda kichwa panzi hajui hata miiko ya kazi aliyokuwa nayo
 

Je, Makonda akiwa kama kiongozi wa mkoa na mwenyekiti wa usalama mkoa wa Dar kwa wakati huo, kuna hatua au jitihada zozote za kuzuia hayo maovu alifanya?
 
Hivi ule msikiti walipkuwa wanaujenga kwa pamoja ulikamilika?
 
Inaonesha kuwa hayo mabaya anayoyajua dhidi ya GSM ndio alitaka kuyatumia kum black mail ili amjengee nyumba ... kwa mamlaka aliyokuwa nayo kwanini hakumuwajibisha GSM?
very possible. unamkuta mtu ana kilema afu unakishikilia icho icho anakuwa mtumwa wako afanye chochote unachotaka akifanye. yule mtumwa huwa anafanya kujisafisha na kuondoa ushahidi wa kilema kile kwa siri bila wewe kujua akimaliza kujiimarisha anakuzingua na hauna ushahidi wa kilema kile.
 
Makontena ya furniture za walimu yalikua na nani nyuma yake? Usijitoe kuwa nyuma ya ghalib,tambua sasa huwezi mpigia mambosasa wala ikulu wacha dawa ikuingie

Sent from my TECNO S1 using JamiiForums mobile app
 
Hii issue ukimwangalia Baashite unaona wazi ana akili kama za wale madada wanaopewa funguo za gari bila kadi!!
 
Bashite kapoteza Pambano Dakika za Awali kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…