OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Wanaoulizaga Legacy aliyoacha jiwe ni ipi. Ndio hii sasa ya kina Makonda na Sabaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani we acha tu.Wanaoulizaga Legacy aliyoacha jiwe ni ipi. Ndio hii sasa ya kina Makonda na Sabaya
Makonda alikuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ambao GSM anafanya biashara kama leo makonda atasema GSM anafanya maovu wakati alishawahi kuwa mkuu wa ulinzi katika mkoa huu na hakumchukulia hatua itakuwa anajifedhehesha mwenyeweKwenye hili sakata la aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Dar na GSM yataibuka mengi Leo Makonda katishia kusema maovu ya GSM hii inaonesha wazi kuwa wote Wawili ni Matapeli wanajuana jinsi walivuokubaliana kufanya maovu yao.
Huenda GSM anafanya biashara za magendo ambazo Makonda anazijua ila alikuwa kamfichia madhambi yake. Acheni vyuma viumane[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli ila aiunajua Makonda ni akili ndogo? Yeye anadhani atapata unafuu kwa kuanika uozo wa GSM.Makonda alikuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ambao GSM anafanya biashara kama leo makonda atasema GSM anafanya maovu wakati alishawahi kuwa mkuu wa ulinzi katika mkoa huu na hakumchukulia hatua itakuwa anajifedhehesha mwenyewe
Hakuweza kimuajibisha pale alipokuwa na nguvu hivyo ni bora akae kimya
Kutishia kusema maovu ya mtu ni blackmail.Kwenye hili sakata la aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Dar na GSM yataibuka mengi Leo Makonda katishia kusema maovu ya GSM hii inaonesha wazi kuwa wote Wawili ni Matapeli wanajuana jinsi walivuokubaliana kufanya maovu yao.
Huenda GSM anafanya biashara za magendo ambazo Makonda anazijua ila alikuwa kamfichia madhambi yake. Acheni vyuma viumane[emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli kibao kimegeuka. Sasa Makonda kaishia kuwa mtu wa “kutishia kuanika uozo” wa mbaya wake!Bashite bana..
Sasa "uozo" wa GSM unahusiana nini na kiwanja tajwa? 😀😀
Asichofahamu kutisha (coercison ama blackmail) pia ni kosa kisheria, tena kubwa zaidi...