Makonda: Ghalib usinilazimishe kusema uozo wako, achia mali yangu. Walioko nyuma yako nawajua

Muulize wakili wake Alex Mgongolwa ambae anadai mteja wake amemtuma aje public kueleza dhamira yao ya kwenda mahakamani.
Kwenda mahakamani kwa ajili ya umiliki au kuchafuliwa jina?
 
Duh kama ameionesha hii hati hadharani , hajitambui
 
Mimi pamoja na kusota shule( chuo)miaka mitano nnamiliki Subaru( Forester) halafu kenge tu aliyefoji vyeti nakusomea uvuvi uwani kwake amejaza magari ya kifahariπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€!Asante sana Mungu kwa tarehe 17/3/2021
 
Huyu akamatwe na kunyongwa tu, hana faida na nchi....aliumiza sana wananchi.
Mie naona akamatwe afungwe miaka 30 halafu ndio afunguliwe kesi za makosa yake yote.

Hata akipata wakili mzuri na kushinda kesi, basi awe ameshaonja kunyea kwenye ndoo.
 
Mimi pamoja na kusota shule( chuo)miaka mitano nnamiliki Subaru( Forester) halafu kenge tu aliyefoji vyeti nakusomea uvuvi uwani kwake amejaza magari ya kifahariπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€!Asante sana Mungu kwa tarehe 17/3/2021

Hii tarehe wengi kwa kweli hatutakaa tuisahau, hatimaye tanzania ikapumua
 
Mie naona akamatwe afungwe miaka 30 halafu ndio afunguliwe kesi za makosa yake yote.

Hata akipata wakili mzuri na kushinda kesi, basi awe ameshaonja kunyea kwenye ndoo.
Pumbavu zako
 
HUENDA NGUVU ZA KICHAWI ZIKATUMIKA HAPA PANDE ZOTE MBILI KAENI IMARA /FREQ ZINAONYESHA YUPO MMOJA HAPO ATAKWENDA MALAWI VERY SOON.
 
Mbona Magufuli aliwahenyesha? Sasa ndio wanapumua

Sema kwa vile kafariki ndo wanae wanateseka ila wakati wake hao miamba walitafutana
 
Makonda mbona unabwekea mbali?

Umetakiwa kupeleka vielelezo na sio kutaja majina ya watu walio nyuma au mbele...πŸ˜‚
Hivi huyu Paulo Makonda Bashite anafikiri bado tupo utawala wa kidikteta wa kakake R.I.P. John Joseph Pombe Magufuli?
Makonda aache kujificha nyuma ya kutishia watu@ KUFICHUA UOZA WA MTU. Nchi inaendeshwa kwa sheria na taratibu siyo vitisho. Tunajuwa Makonda akiwa RC alitishia watu na kuwabambikia kesi za Madawa ya Kulevya wakiwemo kina Manji, Askofu Gwajima n.k.
Iwapo anajua uoza wa GSM alikuwa wapi siku zote kuanika huo uoza? Yeye kama Makonda hiyo Plot aliipata katika mazingira gani? Je, alinunua/kuuziwa na nani na alilipa bei gani?
Vithibitisho hivo viko wapi?
 
Bashite bana..

Sasa "uozo" wa GSM unahusiana nini na kiwanja tajwa? πŸ˜€πŸ˜€

Asichofahamu kutisha (coercion ama blackmail) pia ni kosa kisheria, tena kubwa zaidi...
Bashite is a lunatic....anafikiri bado tiko utawala wa Mwenda zake...!!Shame on him!
Tunataka atuambie alivamia Clouds kwa maelekezo ya nani ?
Huyu anastahili kuwa lupango tu kama yule kichaa mwenzie Maasai Ole wa Sabaya!!
 
Wanajuana bora waumbuane ili sisi raia tujue kweli nyingi zilizojificha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…