Makonda: Ghalib usinilazimishe kusema uozo wako, achia mali yangu. Walioko nyuma yako nawajua

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eti Ningejua Mambo Ya Mahakamani, Mzee Niko Kwenye field ya Sheria zaidi ya 20yrs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi ilikua inaongozwa na cartels, sasa ndio tunaona madhara yake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eti Ningejua Mambo Ya Mahakamani, Mzee Niko Kwenye field ya Sheria zaidi ya 20yrs

Sent using Jamii Forums mobile app
kama upo kwenye field ya sheria, gsm anaenda mahakamani kudai nini hapo? kama kweli wewe ni mwanasheria. na bashite akiendelea kukaa hivyo umiliki atakuwa nao? kati ya bashite na gsm nani anatakiwa kwenda mahakamani, ongea kama mwanasheria. ukijibu hili swali nitakushukuru.
 
Mm Sio Mwanasheria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muulize wakili wake Alex Mgongolwa ambae anadai mteja wake amemtuma aje public kueleza dhamira yao ya kwenda mahakamani.
 
Muulize wakili wake Alex Mgongolwa ambae anadai mteja wake amemtuma aje public kueleza dhamira yao ya kwenda mahakamani.
hujamsikiliza vizuri, amesema ataend amahakamani kufungua defamation kwa wale watakao chafua jina la mteja wake, hawatarajii kwenda mahakamani kutafuta umiliki wa ardhi hiyo kwasababu inasoma kw ajina lao na kuna nyaraka zote za umiliki. sasa wakienda mahakamani wanaenda kutafuta nini? si hata mahakama itawashangaa? yule ambaye jina lake halisomi, na hana hati ndio anatakiwa kwenda mahakamani kueleza kama kuna sababu yeyote inayoweza kuifanya mahakama imtambue kama mmiliki. hata asiye mwanasheria anajua hili.
 
Watoto wa marehemu wameanza kuteswa.. anyway yatima hadeki. Na bado tunasubiri mwenye jina lake aje kulidai ili abaki kiwa Bashite.
 
Namshauri Makonda amtafute Lissu ili asimamie kesi la sivyo kwenye hii kesi hatoboi
 
Nae walioko nyuma yake ni akina nani?ni kwa nini hii serikali inawalinda majangili wanaotamba kama akina makonda?
 


Ujinga huwezi kushinda kesi kwa kupitia CCM wakati huna vibali vya umiliki . Raisi hataweza kuongilia maswala kama haya wakati inaelekea GSM wana vibali vyote, wamefuata sheria na kulipa kodi zote. Lakini wametumia mkandarasi! Raisi Samia hata weza kumbyanganya mtu haki zake ili tu amfurahishe Makonda! GSM smart wame weka wakili 🙏 sasa Makonda anatakiwa kujibu na wakili sio WhatApp na sasa Mtoto wa Kikwete ambaye ni rafiki wa GSM ni waziri🤔.

Wito kwa vijana fanyeni kazi siasa sio kazi ni wito na ule utamaduni wa kizamani wa kufikiria utapata pesa kwenye siasa kwa rushwa umepitwa na wakati. Mitandao, kili na uchawa sio biashara
 
Ni aina Gani ya Defamation Alex Mgongolwa anayozungumzia?
.
Je ni Defamation ya kudumu Kwa Maana ya libel-Defamation in permanent form
.
Au ni Defamation ya muda Kwa Maana ya slander-Defamation in temporary form?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu si ndo alifiwa juzi? Na makonda akaenda msibani? Kwahiyo walivyopeana pole akakumbuka kiwanja chake?
 
Na Makonda akiwa sehemu ya uozo huo. Kuna wakati maisha yanatuonyesha maajabu makubwa sana.
Kama ningelikuwa sijaona baadhi ya uozo....
 
Ni aina Gani ya Defamation Alex Mgongolwa anayozungumzia?
.
Je ni Defamation ya kudumu Kwa Maana ya libel-Defamation in permanent form
.
Au ni Defamation ya muda Kwa Maana ya slander-Defamation in temporary form?.

Sent using Jamii Forums mobile app
ametoa warning, kabla hujajadili tafadhali nenda youtube sikiliza ile clip ndio uje hapa. naona wewe ni mgeni. ametoa warning tu kwamba wapo macho kuangalia mtu yeyote atakayeadhiri reputation ya mteja wao wanaweza kuelekezwa waende mahakamani, na hiyo ndio kazi yao. lakini hadi sasa hawajaelekezwa kufanya hivyo. its just a warning.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…