Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Inaonekana ni Bashite maana watu wanasema Bashite alikabidhiwa ili ampe dingi yake lakini hakumpaHivi hiyo nyumba ni nani anaitumia kwa muda huu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana ni Bashite maana watu wanasema Bashite alikabidhiwa ili ampe dingi yake lakini hakumpaHivi hiyo nyumba ni nani anaitumia kwa muda huu?
Kwa sahivi hakuna wa kumsikiliza Bashite.Kwa mazingira yalivyo huenda hii 'black mail' ikafanya kazi na wakaacha kumsumbua.
Huyu Mama bado ni makamu wa rais, maamuzi yote anafanya JK, si unaona hata wale viongozi vilaza waliofukuzwa awamu iliyopita kwa kutojuwa kazi na unafki wamerudishwa.Rais Samia Suluhu Hassan
Leta ushahidi.Huyu Mama bado ni makamu wa rais,
Walinyoosha vijinjia alafu barabara zikabakia.Wakati awamu ya 5 wananyoosha nchi kuna sehemu waliziacha zimepinda?
Maamuzi yake ya hajabu, unarudishaje vilaza serikalini?Leta ushahidi.
Ndi ushahidi?Maamuzi yake ya hajabu, unarudishaje vilaza serikalini?
Naam Uozo Usemwe na walio nyuma yake wasemwe na wote waliokosea hata ikiwemo wewe (Makonda) sheria ifuate mkondo wake muwajibike..., Huenda kufichiana Uozo ndio kulipelekea wewe kupewa hicho kiwanja
Hii nchi haipaswi kuendeshwa kimafioso
The biggest looser hapa ni Tanzania kama nchi, yaani hii nchi imekuwa kama Teleno
Hapo nyuma Kuna akili ndogo ya Msoga Gang.Yaan Msoga gang wanafikili nchi hii ni yao.Huyo kijana mswahili ,amewekwa pale wizara ya nyumba,sio kusaidia Taifa bali kuleta ujinga ujinga.Itafika mwisho tu.Siku yaja.Naam Uozo Usemwe na walio nyuma yake wasemwe na wote waliokosea hata ikiwemo wewe (Makonda) sheria ifuate mkondo wake muwajibike..., Huenda kufichiana Uozo ndio kulipelekea wewe kupewa hicho kiwanja
Hii nchi haipaswi kuendeshwa kimafioso
The biggest looser hapa ni Tanzania kama nchi, yaani hii nchi imekuwa kama Telenovella
Mbona Kilaza namba moja enzi za JPM alibakia na ukilaza wake aka Bashite. Sasa katika kipindi chenye vilaza wengi ambao walitumia akili kisoda nguvu kubwa ni enzi za JpmHuyu Mama bado ni makamu wa rais, maamuzi yote anafanya JK, si unaona hata wale viongozi vilaza waliofukuzwa awamu iliyopita kwa kutojuwa kazi na unafki wamerudishwa.
Bashite ni kilaza ila alikuwa anatumiwa na JPM kwa shughuli maalum!Mbona Kilaza namba moja enzi za JPM alibakia na ukilaza wake aka Bashite. Sasa katika kipindi chenye vilaza wengi ambao walitumia akili kisoda nguvu kubwa ni enzi za Jpm
Hilo ndiyo swali la msingi.Alipata wapi mali
Ccm inawalinda wahalifuHilo ndiyo swali la msingi.
Hii nji imejaa hata Waandishi wa Habari makajanja tu!
Hivi media zetu zinashindwaje kuandika investigative article itakayohoji huyu X-rc Makonda alipataje kuwanja kile? Alinunua? Nani alimuuzia, Alipewa na nani kwa maxingira gani? Hongo, rushwa, zawadi au alipora?
Makonda from Division Zero Bashite mpaka kumiliki kiwanja eneo la watu wenye Fedha how possible? Aulizwe.
Sasahiv anatumiwa na mama?Bashite ni kilaza ila alikuwa anatumiwa na JPM kwa shughuli maalum!
siasa bwana? jamaa ni mwenezi una taarifa hzo?GSM sio mtumishi wa umma, sisi umma tuliokupa ukuu wa wilaya na mkoa ndio tunakuhoji, ulipataje Mali hiyo? Tume ya Maadili wanalijua?
Kama wewe kidume wataje hao watu tukumalizie, hapo nyumbani umejaza magari ya kudhulumu na ya wizi, umejengea wazazi wako maghorofa huko mwanza, mkweo Ngara, umeghushi vyeti vya elimu.
Huna pa kutokea na wananchi Wana hamu sana kukuona mahakamani.
Na siku Samia anakupeleka mahakamani ndiyo siku anazoa asilimia 95 ya kura za uraisi, hajajua tu kwamba taifa linaizungukia nyumba yako kama mbwa wenye njaa wanavyomwona sungura ndani ya banda
Uliona tofauti, unaijua siasa weye?Nimeamini jamaa ni "Zero Brain", vyote kwa jinsi alivyomilikishwa mali na GSM pamoja na anavyolihandle hili suala..
Kama sheria ipo upande wake, haina haja ya "kupiga mikwara" au "kutunishiana misuli" handarani sababu mahakama ipo..
Nauona mwisho mbaya sana kwake utakaosababishwa na "ukilaza" wake..