MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Atakuwa nayo. Hata Dr Slaa wakati akiwa katibu mkuu CHADEMA alikuwa bado na kadi ya CCM. Erythrocyte akili yake yote iko CCM.Anatamani sana kupata kadi ya CCM Erythrocyte.muda wote yupo Bize na habari za CCM.kwa sasa ameshasahau hata habari za uchaguzi wa Sacco's yao.
Yaani nimeshangaa sana asee, jamaa kakomaa kabisa na story ya Makonda wakati CDM wana uchaguzi za kanda huko.Huyu bwana umtake usimtake utamripot tu habar zake hahaha nikiripoti kutoka jf mimi ni erythrocyte kutoka chadema kwasasa nikiwa mkoa wa arusha kulipoti taarifa za makonda kutoka ccm, ujumbe maendeleo hayana chama
Hii ilikua moshi siku ya mwenge moshi wanja ulipendeza sana hongereni wana moshi kwa ujumlaJamaa kashaona CCM wenzie hawataki hvyo ameamua kujilipua tu kwanza akuandikia mtu barua akaomba kazi alikuwa ametulia zake anajilia maishaa wakamleta wakampa uenezi labda Kwa kujua alivyokaa bench kajifunza kumbe walaaaa Hana habari akawawashia moto uko uenezi hata miezi haijakata wamemtoa Kwa spid ya 5G ,wamempeleka Arusha Ili iwe njia ya kumtoaa ,n muda tu utaongeaa
CCM ya ss sitaki watu wa aina ya makonda ,inatka watu wa kusifia mama anaupigaa mwingi nakuvaa nguo zenye picha ya mama mbeleeView attachment 2958149
Kabisa.Anatengeneza mazingira ya kuzulumu Nyumba za Wafanyabiasha wa Arusha.
Hizi ni miongoni mwa kauli zilizotolewa na Mkuu mpya wa Mkoa wa Arusha katika hotuba kabambe ya Utambulisho aliyoitoa Mjini humo alipokuwa anakabidhiwa ofisi .
Hapa akikuwa akiwapa makavu waliokuwa wanamsengenya kwamba hajajifunza pamoja na kuwekwa benchi muda mrefu.
---
Makonda: Hamna nilichojifunza zaidi ya kuwashughulikia wazembe, wavivu na Wala RushwaAkitoa hotuba baada ya utambulisho wake Mkuu wa Mkoa mpya wa Arusha Paul Makonda amesisitiza Viongozi wote kuwajibika na kutoa tahadhari kwa Wazembe. Akiongea mbele ya watu waliojitokeza kumpokea Paul Makonda amesema:
View attachment 2958155
Mmenifurahia sana ila tutageukana muda sio mrefu. Sitajali wewe ni nani, baba yako ni nani, ulipataje hicho cheo, aidha ulipata kwa kuhonga, kwa rushwa au kwa uganga nitakula sahani moja na wewe. Lazima kila mtu awajibike kwenye nafasi yake. Msiseme huyu alikuwa Mwenezi sasa katoka kwenye Uenezi atakuja amepoa. Wengine wanasema eti saivi labla atakuwa amejifunza, hamna nilichojifunza zaidi ya kuwashughulikia wazembe wavivu na Wala rushwa. Sina elimu yoyote mimi hata niwe Mkuu wa Mkoa wa siku moja inatosha lakini awepo mtu mmoja tu ajue kuna mwanaume amepita hapa. Kwahiyo kila mtu kwenye nafasi yake, kama ni Mkuu wa Wilaya shika Wilaya yako barabara kama ni Mkurugenzi ishike Halmashauri yako kikamilifu.
Makonda: Majengo yaliyopauka yaliyo katikati ya mji lazima yapakwe rangi kama hawataki tutabomoaMkuu mpya wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amewataka wamiliki wa nyumba zilizopo katikati ya jiji hilo kuzipaka rangi ili ziwe na mwonekano mzuri vinginevyo nyumba hizo zitabomolewa.
View attachment 2958158
Makonda amesisitiza kwamba Arusha lazima iwe na mwonekano na mandhari ya kuvutia watalii kwani mkoa huo ndiyo kitovu cha utalii nchini. Katika kueleza jambo hilo Makonda amesema
Tunataka Arusha iwe salama salimini tunapata watalii wengi sana haitapendeza wakija wakute hapapo salama. Usalama namaanisha wa kila kitu pamoja na kufanya biashara usiku. Hatutaki Arusha iwe mji mkubwa uliolala. Hao Watalii wakija hapa halafu baadaye wanaenda kulala hiyo hela tunaipata lini? Wametoka kwao hawajaja kulala huku wamekuja kushangaa. Lazima tuhakikishe usalama pamoja na usafi wa mji wetu.Nilikuwa namdokeza RAS siku moja inabidi akae na wale watu wenye hizi daladala za hapa mjini angalau nasisi tuwe na mabasi ya ghorofa katikati ya mji. Na wenye majengo yao katikati ya mji Wapake rangi kama hawawezi tutabomoa, hatuwezi kuwa na mji umejaa uchafu rangi zinachanganyikana tu. Kamji kazuri haka, kana mandhari nzuri ni sisi wenyewe kukapanga
Hata ufisadi wa Richmond wajinga kama ninyi mulituaminisha kuna backup ya systemWatz tuna tatizo IQ !
Hivi unafikiri makonda anafanya haya yote bila backup ya system!!?
Arusha ni jiji la kitalii kivutio Cha wazungu mji was kitalii lazima uendane na hadhi yake!!
Ngojeni muone!!
Makonda 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥!!
Shetani anayetajwa kila mahali naye anatangazwa ?Wewe ni mwanaCCM kwa sababu kila habari ya CCM unafuatilia na kupost. Unakitangaza Chama Cha Mapunduzi kuliko CHADEMA
SwadaktaNakubaliana naye kwenye kupafanya Arusha pavutie kwa watalii.Vitu vinne vikubwa kwa utaliii ni 1) USALAMA 2) USALAMA 3)USALAMA 4)Miundombinu rafiki.
Nashauri makonda afanye study tour hapo kwa Kagame.atapata cha kujifunza cha kumsaidia kufanya mageuzi ya jiji la Arusha.
Hayo ya Makonda, ngoja Erythrocyte wa CHADEMA aendelee kufanya u MC.Jamaa kashaona CCM wenzie hawataki hvyo ameamua kujilipua tu kwanza akuandikia mtu barua akaomba kazi alikuwa ametulia zake anajilia maishaa wakamleta wakampa uenezi labda Kwa kujua alivyokaa bench kajifunza kumbe walaaaa Hana habari akawawashia moto uko uenezi hata miezi haijakata wamemtoa Kwa spid ya 5G ,wamempeleka Arusha Ili iwe njia ya kumtoaa ,n muda tu utaongeaa
CCM ya ss sitaki watu wa aina ya makonda ,inatka watu wa kusifia mama anaupigaa mwingi nakuvaa nguo zenye picha ya mama mbeleeView attachment 2958149
Mapokezi ya kishindoArusha wamewadharau sana wamewaletea mwehu awe mkuu wa mkoa!!!
Ndege wanaofanana mbawa huruka pamoja.Hizi ni miongoni mwa kauli zilizotolewa na Mkuu mpya wa Mkoa wa Arusha katika hotuba kabambe ya Utambulisho aliyoitoa Mjini humo alipokuwa anakabidhiwa ofisi .
Hapa akikuwa akiwapa makavu waliokuwa wanamsengenya kwamba hajajifunza pamoja na kuwekwa benchi muda mrefu.
---
Makonda: Hamna nilichojifunza zaidi ya kuwashughulikia wazembe, wavivu na Wala RushwaAkitoa hotuba baada ya utambulisho wake Mkuu wa Mkoa mpya wa Arusha Paul Makonda amesisitiza Viongozi wote kuwajibika na kutoa tahadhari kwa Wazembe. Akiongea mbele ya watu waliojitokeza kumpokea Paul Makonda amesema:
View attachment 2958155
Mmenifurahia sana ila tutageukana muda sio mrefu. Sitajali wewe ni nani, baba yako ni nani, ulipataje hicho cheo, aidha ulipata kwa kuhonga, kwa rushwa au kwa uganga nitakula sahani moja na wewe. Lazima kila mtu awajibike kwenye nafasi yake. Msiseme huyu alikuwa Mwenezi sasa katoka kwenye Uenezi atakuja amepoa. Wengine wanasema eti saivi labla atakuwa amejifunza, hamna nilichojifunza zaidi ya kuwashughulikia wazembe wavivu na Wala rushwa. Sina elimu yoyote mimi hata niwe Mkuu wa Mkoa wa siku moja inatosha lakini awepo mtu mmoja tu ajue kuna mwanaume amepita hapa. Kwahiyo kila mtu kwenye nafasi yake, kama ni Mkuu wa Wilaya shika Wilaya yako barabara kama ni Mkurugenzi ishike Halmashauri yako kikamilifu.
Makonda: Majengo yaliyopauka yaliyo katikati ya mji lazima yapakwe rangi kama hawataki tutabomoaMkuu mpya wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amewataka wamiliki wa nyumba zilizopo katikati ya jiji hilo kuzipaka rangi ili ziwe na mwonekano mzuri vinginevyo nyumba hizo zitabomolewa.
View attachment 2958158
Makonda amesisitiza kwamba Arusha lazima iwe na mwonekano na mandhari ya kuvutia watalii kwani mkoa huo ndiyo kitovu cha utalii nchini. Katika kueleza jambo hilo Makonda amesema
Tunataka Arusha iwe salama salimini tunapata watalii wengi sana haitapendeza wakija wakute hapapo salama. Usalama namaanisha wa kila kitu pamoja na kufanya biashara usiku. Hatutaki Arusha iwe mji mkubwa uliolala. Hao Watalii wakija hapa halafu baadaye wanaenda kulala hiyo hela tunaipata lini? Wametoka kwao hawajaja kulala huku wamekuja kushangaa. Lazima tuhakikishe usalama pamoja na usafi wa mji wetu.Nilikuwa namdokeza RAS siku moja inabidi akae na wale watu wenye hizi daladala za hapa mjini angalau nasisi tuwe na mabasi ya ghorofa katikati ya mji. Na wenye majengo yao katikati ya mji Wapake rangi kama hawawezi tutabomoa, hatuwezi kuwa na mji umejaa uchafu rangi zinachanganyikana tu. Kamji kazuri haka, kana mandhari nzuri ni sisi wenyewe kukapanga