Pre GE2025 Makonda: Harusi yoyote itakayofungiwa Arusha Serikali ya mkoa italipia ukumbi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hakuna fedha zetu! Hizi ni kodi za wananchi wa nchi hii wote!

Basi kama vipi kodi zote mnazolipa wapewe viongozi na watoto wao kama ni sawa tu kula hela
Asa na wanaofunga ndoa c wananchi pia mbona hutk walipiwe izo ela unataka kutumia kwenye barabara tuh mkuu
 
Asa na wanaofunga ndoa c wananchi pia mbona hutk walipiwe izo ela unataka kutumia kwenye barabara tuh mkuu
Wapi wananchi wamesema hela zetu zikalipie ndoa za watu? Kwenye bajeti iliyopitishwa bungeni ulisikia kuna fungu la kwenda kulipia ndoa za watu likipitishwa kwenye bajeti ya Tamisemi?
 
Kwa hiyo shida ya wananchi kwa sasa ni vijana kuoa?

Wananchi wamekubali fedha zao kwenda kushughulikia vijana kuoa?
Hana uwezo wa kulipia ndoa yoyote, bali alikuwa anapiga domo kutaka kiki za siasa za kitoto.
 
Ameanzisha huo mfuko?

Kwa nini asingesema nitaanzisha mfuko?

Kwa nini akasema kwa gharama za Ofisi ya Mkuu wa Mkoa?
Muulize mleta mada. Mimi nimeongelea tu njia za mkuu wamkoa anazoweza kufanya kuzalisha pesa, na napingana na hoja kuwa anatumia pesa za kodi kulipia watu gharama za harusi.

Akianzisha mfuko wakwepa kodi wengi watajipendekeza. Wana pesa hazina kazi.
 
Muulize mleta mada. Mimi nimeongelea tu njia za mkuu wamkoa anazoweza kufanya kuzalisha pesa, na napingana na hoja kuwa anatumia pesa za kodi kulipia watu gharama za harusi.

Akianzisha mfuko wakwepa kodi wengi watajipendekeza. Wana pesa hazina kazi.
Kwa nini unapingana na hoja wakati kwa maneno yake amesema zitagharamiwa na Ofisi yake?
 
Hana uwezo wa kulipia ndoa yoyote, bali alikuwa anapiga domo kutaka kiki za siasa za kitoto.
Accounting Officer wa Mkoa ni RAS. Mkuu wa Mkoa hana uwezo wa kuidhinisha malipo yeyote. RAS akiidhinisha itabidi aseme yalipwe kutoka fungu lipi! Na akifanya upuuzi huo Audit Querry zitamfuata. RAS anayejitambua atamtolea nje.

Amandla...
 
Vitu vingine ni vya kusoma na kuachana navyo kama vilivyo.
Ndio maana kila iitwapo leo wanasiasa wanaendelea kutawala fikra za watu,na watu nao pasipo kujua wanaingia King.
 
Nafikiri bora wangejenga Ukumbi wa serikali na anaetaka analipia gharama zake ila ukumbi bure
Kuelekea uchaguzi mtasikia mengi
Hata polisi wanaoshewa magari sasa
Nchi ina vituko
 
Punguza wivu.....,na makasiriko. Hiyo ni hatua mojawapo unaweza kumshauri nyingine unayoona inafaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…