Punguza ujinga,huyu ni mpuuzi kama wapuuzi wengine.Mkuu huyu hakuna kikao cha CCM asichoshiriki kwa ngazi yoyote ile...yaani mauchafu yote ya CCM yanayopangwa kuhusu nchi hii yeye yumo na anahusika...
Hivyo anachokiongea anakijua na anajua mamlaka yake... sasa hivi yupo jikoni kabisa.
Unakumbuka Nape akiwa kwenye nafasi hiyo aliwahi kusema kuna Mawaziri mizigo, na baadhi ya mawaziri wakatumbuliwa.
😁😁😁😁 i was expecting this type repliesMchukue aongoze ukoo wenu
Siku ataongea ukweli kuwa mama anabutua ndio yatamkuta yaliyomkuta Ndugai, ama uchunguzi wa tuhuma zake za kuua watu kipindi Cha dhalimu magu utaanza rasmi. Muulize yaliyomkuta Sabaya.Sikumbali Ila kaongea fact katika hiyo video kuwa hayuko tayari kuongeea uongo. Kuwa Mama anaupiga mwingi kumbe anabutua
Halafu kumbuka Makonda majukumu yake yake yako kwenye katiba YA CCM..hata kama ataingilia majukumu ya Katibu Mkuu CCM bado ni maswala yao ya ndani.Punguza ujinga,huyu ni mpuuzi kama wapuuzi wengine.
Msemaji mkuu wa CCM ni Katibu Mkuu.Makonda ni mtoa taarifa wa vikao vya Halmashauri Kuu ya CCM.Kazi nyingine anajipachika kwakuwa CCM ilishajifia siku nyingi.
Sasa kama ulikua hujui huyu ndio mwokozi wa chama...Lile jumba bovu la CCM sasa ndiyo limepata mtu wa kuanguka nalo. Hamna namna Samia ataweza kupindua kura za wananchi kama alivyofanya Dikteta Magufuli. Wakati wa UPINZANI kuchukua nchi unarejea
Kilio au watu wanapaza sauti kuwa muovu wa utawala wa magufuli karudishwa kwenye madaraka?Vilio ni vingi sana ma jamaa ndio kwanza karejea leo... kila mahali yalaah yalaaaaah....
Mpaka mseme dadeki zenu...
Alichoongea makonda yuko sahihi na sijaona ubaya wa hotuba yake, kimsingi chama kinatakiwa kisimamie serikali ikiwemo na mwenyekiti wao, akivurunda chama kinakaa na kumtoa au kutoa onyo kali.Mkuu huyu hakuna kikao cha CCM asichoshiriki kwa ngazi yoyote ile...yaani mauchafu yote ya CCM yanayopangwa kuhusu nchi hii yeye yumo na anahusika...
Hivyo anachokiongea anakijua na anajua mamlaka yake... sasa hivi yupo jikoni kabisa.
Unakumbuka Nape akiwa kwenye nafasi hiyo aliwahi kusema kuna Mawaziri mizigo, na baadhi ya mawaziri wakatumbuliwa.
Utakuwa na kichaa ila hufahamu kama una kichaaIla i don't know why nafurahi sana nikianza kumsikia huyu jamaa akiongea... He, deserve to lead hata kama anaweza kuwa na mapungufu yake ila kiti kinamuenea vyema
Chama kinachotegemea mtu muovu kukiokoa hicho hakiwezi kuwa chama.Sasa kama ulikua hujui huyu ndio mwokozi wa chama...
Siku ataongea ukweli kuwa mama anabutua ndio yatamkuta yaliyomkuta Ndugai, ama uchunguzi wa tuhuma zake za kuua watu kipindi Cha dhalimu magu utaanza rasmi. Muulize yaliyomkuta Sabaya.
sawa, nitaenda kucheki mkuuUtakuwa na kichaa ila hufahamu kama una kichaa
Hajui anacho ongea huyu, atakuwa shabiki wasiasa pasipo kujua chama kinanguvu mbele ya serikaliAcha ujinga wewe unajua cheo cha katibu wa halmashauri kuu ya taifa itikadi na uenez??
NapitaKamaRadi