Makonda: Kuna UJINGA unaendelea wa kumtofautisha Hayati Magufuli na Rais Samia

Eti huwezi kumtenganisha Magufuli na Samia,hivi kala maharage ya wapi huyu mshamba? Kifo kilishawatenganisha. Akapimwe akili huyu bashite
 
Unatumia nguvu kubwa kumuelewesha chawa ambaye hajui miaka yake 5 atakuwa wapi
 
Hizo "marufuku na onyo kali" zingefuatwa na hatua mahsusi zozote zitakazochukuliwa kwa yeyote atakayekiuka. Vinginevyo tutafsiri kuwa kauli yake ni "empty threat" aka mkwara.
 
Upuuuzi huna akili kma ulega eti BBT imeleta faida Mil 100+ umeweka bill 66 kwa miaka mingapi unaleta vi hoja vya ujinga ujinga hapa ngoja CAG REPORT HALAFU TUJUE
We punguani,Toka Magufuli amekuwa Rais umewahi sikia CAG akisema Rushwa imepungua? Sana sana iliongezeka ndio maana alimtimua CAG Assad baada ya kumuumbua.

Samia ni level zingine,amewaongezea Bajeti CAG,ameajiri Watumishi wengine wa CAG zaidi ya 2000 na Amewapa vote Yao ya hela Ili akakague na taasisi ambazo Magufuli alizuia ikiwemo TanRoads na ATCL.

Usifananishe Samia na wajinga walioshindwa.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C4sfzEHtFU1/?igsh=MXY1OTRxY3Fmb2t2MQ==
 
Unatumia nguvu kubwa kumuelewesha chawa ambaye hajui miaka yake 5 atakuwa wapi
Inaonekana hawa watu wengi ni bendera fuata upepo, anachosema kiongozi hata kama ni uongo wanapokea tu kwa ule utamaduni wao wa huyu ni mwenzetu... Wanalindana sana na wanahitaji kuelimishwa.
 
Bila shaka huelewi hoja ya Mheshimiwa Makonda.
Nimeelewa sana ila wewe unajitia hamnazo kwa vile ni mmoja wa waliolengwa na kombora hilo. Mnapomsifia Samia bila kumtaja yule dhalim mwenzenu anakereka,kila unapomsifia Samia lazima useme anayoyafanya ni maono ya Magufuli. Sasa jitie wazimu umsifie Samia tena tu bila kumtaja Magufuli uone atakachokufanya.
 
Ameanza kuwa mkosefu wa adabu . Hakuna mfanano wowote wa kimawazo, kifikra, kimatendo na kimaamuzi kati JPM (Simba) na SSH (Chui)
 
Ameanza kuwa mkosefu wa adabu . Hakuna mfanano wowote wa kimawazo, kifikra, kimatendo na kimaamuzi kati JPM (Simba) na SSH (Chui)
Rais anajuta kumrudisha Makonda kwenye mfumo. Magufuli ambaye alimuamini na kumtumia makonda kwenye kazi zake chafu ifika wakati akamchoka akamuacha kimtindo kwani alikuwa habebeki. Asipodhibitiwa atawavuruga sana CCM kwani ni mtu wa visasi na ubabe wa kishamba.
 
Unahangaika sana na Makonda na kutunga vi uzushi vyako
 
Daktari Magufuli aliwaachia madaktari waamue kuhusu chanjo ya Corona lakini Dkt. Samia alihamasisha tena kwa kuchoma hadharani.

Dkt. Magufuli hakusafiri sana nje ya nchi na kuwaachia mabalozi wa wakilishe Watanzania, lakini Rais Samia hawaamini mabalozi na anaenda mwenyewe nje ya nchi.

Magufuli alipinga mikataba ya bandari kupewa wageni Rais Samia kawapa wageni.

*Makonda ajieheshimu kwa kusema ukweli, aache unafiki. Sisi watanzania wa leo tunasikia ukweli na uongo, tunaona mazuri na mabaya, tunatembea Kusini na Kaskazini hata Mashariki na Magharibi.

Watanzania tunapendana kuliko viongozi wanavyofikiri. Watanzania sasa wanajiongoza kuliko uongozi unavyowaongoza wananchi.* Kifupi sasa hivi viongozi wakiwa katika kofia ya uongozi wanafanya sanaa, wakiwa maisha ya kawaida (wakiwa nje ya kofia ya uongozi) ndipo wanapoongoza watanzania.

Hatuwezi kusema uongo, kama Rais Dr. SSH atenganishwi na Rais Dr. JPM basi ni kwa maneno tu.
Kwa matendo Samia anaenda kinyume na Magufuli.
 
japo si muhimu, ila itoshe tu kusema,
kila zama na kitabu chake 🐒

popote duniani, mitindo ya uongozi baina ya kiongozi moja na mwingine hutofautiana kulingana na falsafa na vipaumbele vya kiongozi husika. Na kwahivyo hayupo kiongozi wa kurithi kila kitu kutoka kwa mwingine alietangulia 🐒

by the way God Bless Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…