Katibu mwenezi Wa CCM amewatolea uvivu watu wanafiki wanaojifanya kuwa walikuwa karibu na Lowassa huku wakati anaumwa hakuna aliyefika hata hospitali kumjulia Hali.
Amenena maneno hayo akiwa ziarani mkoani Mtwara katika shughuli za chama.
Amesema kwamba yeye hamungunyi maneno na kweli itakuweka huru kwamba badhi ya watanzania ni wanafiki hasa wale waliokuwa na ukaribu na kiongozi huyo enzi za uhai wake. "Tuache unafiki kuna wengine wanajiita marafiki wa Lowassa na hawakwenda kumuona halafu baada ya kufariki wanajifanya wao marafiki zake lakini hawakujitokeza waache kumsemea mtu mazuri baada ya kufa"
Katibu mwenezi Wa ccm amewatolea uvivu watu wanafiki wanaojifanya kuwa walikuwa karibu na lowasa huku wakati anaumwa hakuna aliyefika hata hospitali kumjulia Hali .
Amenena maneno hayo akiwa ziarani mkoani mtwara katika shughuli za chama.
Amesema kwamba yeye hamungunyi maneno na kweli itakuweka huru kwamba badhi ya watanzania NI wanafiki hasa wale waliokuwa na ukaribu na kiongozi huyo enzi za uhai wake.
Katibu mwenezi Wa CCM amewatolea uvivu watu wanafiki wanaojifanya kuwa walikuwa karibu na Lowassa huku wakati anaumwa hakuna aliyefika hata hospitali kumjulia Hali.
Amenena maneno hayo akiwa ziarani mkoani Mtwara katika shughuli za chama.
Amesema kwamba yeye hamungunyi maneno na kweli itakuweka huru kwamba badhi ya watanzania ni wanafiki hasa wale waliokuwa na ukaribu na kiongozi huyo enzi za uhai wake. "Tuache unafiki kuna wengine wanajiita marafiki wa Lowassa na hawakwenda kumuona halafu baada ya kufariki wanajifanya wao marafiki zake lakini hawakujitokeza waache kumsemea mtu mazuri baada ya kufa"
Unakumbuka huyu mitrako ndiyo mwana ccm wa kwanza kumtuka marehemu lowasa pale dodoma? Unakumbuka wrwe na mazuzu wenzio wa lumumba mnaonunuliwa kwa t-shirt na kapero mlimsingizia kwamba amejinyea akiwa jukwaani??
Acheni unafiki wa kumsifu mtu mliyemfanyia kila aina ya figisu 2025
Unakumbuka huyu mitrako ndiyo mwana ccm wa kwanza kumtuka marehemu lowasa pale dodoma? Unakumbuka wrwe na mazuzu wenzio wa lumumba mnaonunuliwa kwa t-shirt na kapero mlimsingizia kwamba amejinyea akiwa jukwaani??
Acheni unafiki wa kumsifu mtu mliyemfanyia kila aina ya figisu 2025