CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Kuiga dunia kivipi mbona sikusomi mama mdogo?Inaonesha wewe utakuwa wa mwisho kuiga Dunia
usisahau kuzima taa ku save luku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuiga dunia kivipi mbona sikusomi mama mdogo?Inaonesha wewe utakuwa wa mwisho kuiga Dunia
usisahau kuzima taa ku save luku
Yeye alishamalizana nao na wakampa nafasi ambayo chama chetu hakikumpa so hiyo sio hoja maana yeye amekwenda huku akiwa na amani nao Kwa heshima waliyompa .Mbona sisi kama ccm tulimdhihaki kuliko haoSitarajii kuona Lissu,Mbowe,Lema,Mnyika na sampuli zingine za. Wetu kama hawa wanapewà microphone Kutoa salamu za rambirambi kwenye Msiba wa Mzee wetu Mpendwa Lowassa kwani waliwahi kumchafua pakubwa sana
.
Acheni ukweli usemwe,mbona mkilengwa mnapaniki?Huyu jamaa apunguze ujuaji.
Nasikia JAKAYA KIKWETE hakuwahi kumjulia hali LowassaNi AIBU sana kwa chama TAWALA kuwa na Mwenezi wa kariba hii..
Hakuwahi kuwa rafiki wa karibu wa LowassaKwani yeye alienda lini kumuona ? Huyu bashite anaropoka sana nafikiri naye anakaribia kuiaga dunia
Naunga mkono hojaViongozi wa CCM ni kama huwa hawatumii akili
Nani kalengwa?Acheni ukweli usemwe,mbona mkilengwa mnapaniki?
NdioSwali langu mi alichosema makonda uongo au ukweli?? Jibu ni moja tu ndio au hapana hatutak maelezo
Mtapambana naeeee lakini kamwe hamtomuweza sababu analindwa na Mungu dhidi ya chuki yenu kwake na familia yake. Kubwa mtakaloambulia ni makasiriko tu kwenu msijue mnamkasirikia nani.
[emoji28][emoji28]Mdomo koma!
Na kuna watu walimhusisha na Richmond Leo wako kimyaKatibu mwenezi Wa CCM amewatolea uvivu watu wanafiki wanaojifanya kuwa walikuwa karibu na Lowassa huku wakati anaumwa hakuna aliyefika hata hospitali kumjulia Hali.
Amenena maneno hayo akiwa ziarani mkoani Mtwara katika shughuli za chama.
Amesema kwamba yeye hamungunyi maneno na kweli itakuweka huru kwamba badhi ya watanzania ni wanafiki hasa wale waliokuwa na ukaribu na kiongozi huyo enzi za uhai wake.
"Tuache unafiki kuna wengine wanajiita marafiki wa Lowassa na hawakwenda kumuona halafu baada ya kufariki wanajifanya wao marafiki zake lakini hawakujitokeza waache kumsemea mtu mazuri baada ya kufa"
View attachment 2901826