Adverse Effect
JF-Expert Member
- Oct 8, 2017
- 2,049
- 5,449
Jamaa amewekwa kama tairi ya spea, kuna wakati unaofaa watamtumia tu hilo lipo wazi pia mahaba na mahuba hayaishi bali hupoa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika kwa jazba bila ku justfy lolote katika hayo uliyoandika,kifupi hujaeleweka ni kama tu umesukumwa na chuki binafsiHuyo mama sasa hivi amechanganyikiwa, hana hili wala lile, imebaki kutapatapa tu na kuendeshwa kama gari bovu.
Hana lolote la maana analoamua sasa hivi kwa utashi wake kama kiongozi.
Na kwa kweli nisimpe sifa bure, kwa sababu hiyo sifa ya uongozi hana. Hili linajulikana kitambo sasa.
Basi pia raisi wa zanzibar ni wa dar.na mbowe ni wa darKwani Bashite ni wa kanda ya ziwa? Pamoja na kuwa anatokea Misungwi, lakini kisiasa yeye ni wa kanda ya pwani. To be straight, Dar es Salaam.
Kumbe unahisi tu kuwa kwa kuwa mnyeti karudishwa basi na makonda nae atarudishwa.. unachotakiwa ujue katika siasa haramu yako halali ya mwenzio.Mtoa taarifa wangu amethibitisha , kwanza atateuliwa ccm halafu baadaye serikalini
Mtoa taarifa huyu alinidokeza wiki moja kabla kwamba cheo cha Naibu Waziri Mkuu kinarejeshwa , nikabisha
Ikiwa kama Mnyeti amerejeshwa pamoja na uchafu wake wote , basi huenda Makonda naye akarudi
sawaKumbe unahisi tu kuwa kwa kuwa mnyeti karudishwa basi na makonda nae atarudishwa.. unachotakiwa ujue katika siasa haramu yako halali ya mwenzio.
Hata sabaya nayeye amrudishe tu. Hili li chama liondolewe hata kwa kuiga gabonMtoa taarifa wangu amethibitisha , kwanza atateuliwa ccm halafu baadaye serikalini
Mtoa taarifa huyu alinidokeza wiki moja kabla kwamba cheo cha Naibu Waziri Mkuu kinarejeshwa , nikabisha
Ikiwa kama Mnyeti amerejeshwa pamoja na uchafu wake wote , basi huenda Makonda naye akarudi
Mnataka mkali au mpole???ladha zote zipo ni ninyi tu na chaguo lenuKama Bashite atarejeshwa na Le general Lengai ole Sabaya naye arudishwe ili utatu mtakatifu wa mnyeti Makonda Sabaya ukamilike. Maana nchi imekuwa nyoro nyoro sana.
Ongezea naibu katibu, wahasira etc. Ukiwa na madudu au umezeheka yaani over 75 unaweza kuteuliwa muda wowote. Ukiwa kijana utasubiri Sana.Ngoja tuone , kwa sasa ccm imechanganyikiwa , Mnyeti , Kingai
Tunataka dikteta hasa na siyo dikteta uchwara kama yule kiongozi wa malaikaMnataka mkali au mpole???ladha zote zipo ni ninyi tu na chaguo lenu
Aiseee !!Mbona waafrica wenzetu wanafanya mabadiliko sisi tumepatwa na ujinga gani?
Kama wewe ni 'chawa' wake (mnavyojitambulisha wenyewe siku hizi), ni lazima uchukulie hivyo ulivyoandika hapa, kwani huwezi kuona vinginevyo.Umeandika kwa jazba bila ku justfy lolote katika hayo uliyoandika,kifupi hujaeleweka ni kama tu umesukumwa na chuki binafsi
SwadaktaKama wewe ni 'chawa' wake (mnavyojitambulisha wenyewe siku hizi), ni lazima uchukulie hivyo ulivyoandika hapa, kwani huwezi kuona vinginevyo.
Inahitaji 'justification' gani kujua kuwa mama hana karama ya uongozi? Muda aliokaa madarakani hakutoshi kukuonyesha upungufu mkubwa alionao? Unahitaji 'justification' ya namna gani?
Kama itakuwa ni "msukumo wa chuki" ya kutopenda inakoelekzwa nchi hii chini ya uongozi wa huyu mama, sina lolote la kujutia kuhusu chuki hiyo.