Makonda kupata teuzi wakati wowote kutoka sasa

Makonda kupata teuzi wakati wowote kutoka sasa

Kama wewe ni 'chawa' wake (mnavyojitambulisha wenyewe siku hizi), ni lazima uchukulie hivyo ulivyoandika hapa, kwani huwezi kuona vinginevyo.

Inahitaji 'justification' gani kujua kuwa mama hana karama ya uongozi? Muda aliokaa madarakani hakutoshi kukuonyesha upungufu mkubwa alionao? Unahitaji 'justification' ya namna gani?

Kama itakuwa ni "msukumo wa chuki" ya kutopenda inakoelekzwa nchi hii chini ya uongozi wa huyu mama, sina lolote la kujutia kuhusu chuki hiyo.
Hata hapa hamna loloye uliloandika zaidi ya porojo tu ,yoyote atakayesoma ataona tu unaropokoa kwa chuki binafsi kwa mtu, maana hujaeleza lolote zaidi ya malalamiko
Kama wewe ni 'chawa' wake (mnavyojitambulisha wenyewe siku hizi), ni lazima uchukulie hivyo ulivyoandika hapa, kwani huwezi kuona vinginevyo.

Inahitaji 'justification' gani kujua kuwa mama hana karama ya uongozi? Muda aliokaa madarakani hakutoshi kukuonyesha upungufu mkubwa alionao? Unahitaji 'justification' ya namna gani?

Kama itakuwa ni "msukumo wa chuki" ya kutopenda inakoelekzwa nchi hii chini ya uongozi wa huyu mama, sina lolote la kujutia kuhusu chuki hiyo.
 
Hata hapa hamna loloye uliloandika zaidi ya porojo tu ,yoyote atakayesoma ataona tu unaropokoa kwa chuki binafsi kwa mtu, maana hujaeleza lolote zaidi ya malalamiko
Haya ngoja nikupe nafasi.
Wewe unayetetea umeeleza nini?
 
Hasira za mamaa kuwakomoa aakinaa Mbowe..
Mwenye picha ya bashite na mama aitupie
 
Mtoa taarifa wangu amethibitisha , kwanza atateuliwa ccm halafu baadaye serikalini

Mtoa taarifa huyu alinidokeza wiki moja kabla kwamba cheo cha Naibu Waziri Mkuu kinarejeshwa , nikabisha

Ikiwa kama Mnyeti amerejeshwa pamoja na uchafu wake wote , basi huenda Makonda naye akarudi
Ila kwa suala la Mnyeti Mama Abdul kazingua sana
 
Kama nchi, tumefikia hatua mbaya sana iwapo hata watu wa aina ya huyu Bashite na wao wanaonekana kuwa ni viongozi wa kuwatumikia wananchi kwa ufanisi.

Nchi imeshuka viwango kwelikweli.
Bashite hawezi kurudishwa labda Kinana,Nape na Makamba waondoke
 
Mtoa taarifa wangu amethibitisha , kwanza atateuliwa ccm halafu baadaye serikalini

Mtoa taarifa huyu alinidokeza wiki moja kabla kwamba cheo cha Naibu Waziri Mkuu kinarejeshwa , nikabisha

Ikiwa kama Mnyeti amerejeshwa pamoja na uchafu wake wote , basi huenda Makonda naye akarudi
Kwani huyo makonda ni nani?
 
Tuwekeeni Ile picha Bashite na Maza ya kale wakiwa kwenye pozi IPO humu
Hasira za mamaa kuwakomoa aakinaa Mbowe..
Mwenye picha ya bashite na mama aitupie

cx.png
 
Makonda Unahangaika sana kwani usitafte kazi ufanye?? Umeumiza sana watu sasa unahaha uteuliwe ili iweje???
 
Mtoa taarifa wangu amethibitisha , kwanza atateuliwa ccm halafu baadaye serikalini

Mtoa taarifa huyu alinidokeza wiki moja kabla kwamba cheo cha Naibu Waziri Mkuu kinarejeshwa , nikabisha

Ikiwa kama Mnyeti amerejeshwa pamoja na uchafu wake wote , basi huenda Makonda naye akarudi
Makonda Bado anatufaa sana kama Watz tumpe nafasi nyingine hakuna mkamilifu duniani
 
Mtoa taarifa wangu amethibitisha , kwanza atateuliwa ccm halafu baadaye serikalini

Mtoa taarifa huyu alinidokeza wiki moja kabla kwamba cheo cha Naibu Waziri Mkuu kinarejeshwa , nikabisha

Ikiwa kama Mnyeti amerejeshwa pamoja na uchafu wake wote , basi huenda Makonda naye akarudi
Nani alikuambia magufuri anaungwa mkono kanda ya ziwa.Magufuri haungwi mkono na yeyote kanda ya ziwa..Owte huku walikuwa wanamnanga Kwa ukorofi
 
Mtoa taarifa wangu amethibitisha , kwanza atateuliwa ccm halafu baadaye serikalini

Mtoa taarifa huyu alinidokeza wiki moja kabla kwamba cheo cha Naibu Waziri Mkuu kinarejeshwa , nikabisha

Ikiwa kama Mnyeti amerejeshwa pamoja na uchafu wake wote , basi huenda Makonda naye akarudi
Hata Sabaya Ole Lengai ateuliwe tu
 
Mtoa taarifa wangu amethibitisha , kwanza atateuliwa ccm halafu baadaye serikalini

Mtoa taarifa huyu alinidokeza wiki moja kabla kwamba cheo cha Naibu Waziri Mkuu kinarejeshwa , nikabisha

Ikiwa kama Mnyeti amerejeshwa pamoja na uchafu wake wote , basi huenda Makonda naye akarudi
Biteko ....ana kazi sana dodoki kuwasafisha mioyo wasukuma woote kanda ziwa....wamkubali mama.....ilirakiwa apewe kalemani lakini Dotto ndio wa kumvusha mama kanda ziwa...
 
Back
Top Bottom