Makonda kupata teuzi wakati wowote kutoka sasa

Makonda kupata teuzi wakati wowote kutoka sasa

Habari zenu wanaJF wenzangu,

Kama ilivyo ada, leo nimekuja na katetesi fulan kutoka kwa mtu anaehusika na pilika pilika huko ukubwani.

Mng'ata sikio huyo amenambia kwamba "juzi kati" wakati wa kufanya tathmini ya kuteuwa wale walioteuliwa, majina haya ya uncle Job (aliewahi kuwa mkuu wa mhimili namba 2 nchini) na brother Paul (aliewahi kuwa mkuu mkoa wa wenye pilika pilika nyingi na uchumi mkubwa nchini) yalikuwa mwao.

Lakini mmiliki wa nchi ambae ndio mwenye uamuzi wa kuchagua, kuteuwa na kutengua, aliyaweka pembeni majina hayo na kuomba yarudishwe tena mezani kwake mwaka 2026, wakati wa kuunda serikali yake ya kipindi cha pili cha uongozi wake.

Inasemekana uncle Job amekuwa wakiomba msahama kimya kimya kupitia kwa watu waliokaribu na mmiliki huyo wa nchini, ili angalau asiwe miongoni mwa watakaokatwa katika kinyang'anyiro cha kupitishwa na chama kugombea ubunge jimboni kwake.

Mnong'onezaji huyo amenambia kuwa mmiliki huyo wa nchi, na mkuu namba 1 wa chama ameshaonesha kumsamehe uncle Job, na anafikiria kumpa wizara ya mambo ya ndani hapo baadae, huku brother Paul ambae amekuwa kimya, na kujiweka mbali na skendo zozote za kumhujumu mkuu akiwa na chance kubwa ya kurudishiwa mkoa wake aliouzoea wa Dar es salaam, na aliepo Dar kupelekwa mkoa mungine.

Lets wait to see before hatujaanza kubisha, maana kuna msemo unaosema "lisemwalo lipo, na kama halipo basi linakuja".
Haya ndio mambo ya kijinga hayatakiwi kuletwa hapa JF, Ndugai alishatangaza hatagombea tena ubunge wewe umetoa wapi taarifa za kijinga hizi?
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Kama ilivyo ada, leo nimekuja na katetesi fulan kutoka kwa mtu anaehusika na pilika pilika huko ukubwani.

Mng'ata sikio huyo amenambia kwamba "juzi kati" wakati wa kufanya tathmini ya kuteuwa wale walioteuliwa, majina haya ya uncle Job (aliewahi kuwa mkuu wa mhimili namba 2 nchini) na brother Paul (aliewahi kuwa mkuu mkoa wa wenye pilika pilika nyingi na uchumi mkubwa nchini) yalikuwa mwao.

Lakini mmiliki wa nchi ambae ndio mwenye uamuzi wa kuchagua, kuteuwa na kutengua, aliyaweka pembeni majina hayo na kuomba yarudishwe tena mezani kwake mwaka 2026, wakati wa kuunda serikali yake ya kipindi cha pili cha uongozi wake.

Inasemekana uncle Job amekuwa wakiomba msahama kimya kimya kupitia kwa watu waliokaribu na mmiliki huyo wa nchini, ili angalau asiwe miongoni mwa watakaokatwa katika kinyang'anyiro cha kupitishwa na chama kugombea ubunge jimboni kwake.

Mnong'onezaji huyo amenambia kuwa mmiliki huyo wa nchi, na mkuu namba 1 wa chama ameshaonesha kumsamehe uncle Job, na anafikiria kumpa wizara ya mambo ya ndani hapo baadae, huku brother Paul ambae amekuwa kimya, na kujiweka mbali na skendo zozote za kumhujumu mkuu akiwa na chance kubwa ya kurudishiwa mkoa wake aliouzoea wa Dar es salaam, na aliepo Dar kupelekwa mkoa mungine.

Lets wait to see before hatujaanza kubisha, maana kuna msemo unaosema "lisemwalo lipo, na kama halipo basi linakuja".
Huu ni uzushi wa hali ya juu.

Cheo cha Uspika wa bunge ni kikubwa kuliko hata Waziri mkuu, utampa cheo gani tena?
Pili Job alishatangaza muda mrefu kuwa 2025 hagombei ubunge haya yametoka wspi?.

Kumbuka: ukifikia cheo cha;
Jaji mkuu
Waziri mkuu
Spika wa bunge;
Huwezi kugombea ubunge wala kupewa uwaziri...hiyo ni dimosheni.
Danganya mengine lskini haya bora ukacheze REDE
 
Huu ni uzushi wa hali ya juu.

Cheo cha Uspika wa bunge ni kikubwa kuliko hata Waziri mkuu, utampa cheo gani tena?
Pili Job alishatangaza muda mrefu kuwa 2025 hagombei ubunge haya yametoka wspi?.

Kumbuka: ukifikia cheo cha;
Jaji mkuu
Waziri mkuu
Spika wa bunge;
Huwezi kugombea ubunge wala kupewa uwaziri...hiyo ni dimosheni.
Danganya mengine lskini haya bora ukacheze REDE
Kama nakumbuka vizuri Mzee Sitta baada ya kutokuwa spika alipelekwa wizara ya Ushirikiano wa Afrika mashariki ( kipindi cha pili cha JK).
 
Mnong'onezaji huyo amenambia kuwa mmiliki huyo wa nchi, na mkuu namba 1 wa chama ameshaonesha kumsamehe uncle Job, na anafikiria kumpa wizara ya mambo ya ndani hapo baadae, huku brother Paul ambae amekuwa kimya, na kujiweka mbali na skendo zozote za kumhujumu mkuu akiwa na chance kubwa ya kurudishiwa mkoa wake aliouzoea wa Dar es salaam, na aliepo Dar kupelekwa mkoa mungine.
Aliondoka Lowasa na akasahaulika Huyo job na paul ni akina nani?

Labda kama wewe ndio Paul umeamua kujitabiria sawa.

Job na Paul sasa wamekuwa marafiki......wanakaa tenga moja😆😆😆
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Kama ilivyo ada, leo nimekuja na katetesi fulan kutoka kwa mtu anaehusika na pilika pilika huko ukubwani.

Mng'ata sikio huyo amenambia kwamba "juzi kati" wakati wa kufanya tathmini ya kuteuwa wale walioteuliwa, majina haya ya uncle Job (aliewahi kuwa mkuu wa mhimili namba 2 nchini) na brother Paul (aliewahi kuwa mkuu mkoa wa wenye pilika pilika nyingi na uchumi mkubwa nchini) yalikuwa mwao.

Lakini mmiliki wa nchi ambae ndio mwenye uamuzi wa kuchagua, kuteuwa na kutengua, aliyaweka pembeni majina hayo na kuomba yarudishwe tena mezani kwake mwaka 2026, wakati wa kuunda serikali yake ya kipindi cha pili cha uongozi wake.

Inasemekana uncle Job amekuwa wakiomba msahama kimya kimya kupitia kwa watu waliokaribu na mmiliki huyo wa nchini, ili angalau asiwe miongoni mwa watakaokatwa katika kinyang'anyiro cha kupitishwa na chama kugombea ubunge jimboni kwake.

Mnong'onezaji huyo amenambia kuwa mmiliki huyo wa nchi, na mkuu namba 1 wa chama ameshaonesha kumsamehe uncle Job, na anafikiria kumpa wizara ya mambo ya ndani hapo baadae, huku brother Paul ambae amekuwa kimya, na kujiweka mbali na skendo zozote za kumhujumu mkuu akiwa na chance kubwa ya kurudishiwa mkoa wake aliouzoea wa Dar es salaam, na aliepo Dar kupelekwa mkoa mungine.

Lets wait to see before hatujaanza kubisha, maana kuna msemo unaosema "lisemwalo lipo, na kama halipo basi linakuja".
Je hayo malipo anayopewa kila mwezi hayamtoshi!!
 
images (3).jpeg
Tyrannical government recalling dumped tryrants.
 
Huu ni uzushi wa hali ya juu.

Cheo cha Uspika wa bunge ni kikubwa kuliko hata Waziri mkuu, utampa cheo gani tena?
Pili Job alishatangaza muda mrefu kuwa 2025 hagombei ubunge haya yametoka wspi?.

Kumbuka: ukifikia cheo cha;
Jaji mkuu
Waziri mkuu
Spika wa bunge;
Huwezi kugombea ubunge wala kupewa uwaziri...hiyo ni dimosheni.
Danganya mengine lskini haya bora ukacheze REDE
Kusema hatogombea ubunge ilikuwa ni kauli ya kisiasa, wala sio ya kuiamini kwa 100%
 
Back
Top Bottom