Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Umemjibu vizuri sana 😂😂Njaa mbaya Ndugu, anaweza kukubali kuwa hata balozi wa nyumba kumi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemjibu vizuri sana 😂😂Njaa mbaya Ndugu, anaweza kukubali kuwa hata balozi wa nyumba kumi
Haya ndio mambo ya kijinga hayatakiwi kuletwa hapa JF, Ndugai alishatangaza hatagombea tena ubunge wewe umetoa wapi taarifa za kijinga hizi?Habari zenu wanaJF wenzangu,
Kama ilivyo ada, leo nimekuja na katetesi fulan kutoka kwa mtu anaehusika na pilika pilika huko ukubwani.
Mng'ata sikio huyo amenambia kwamba "juzi kati" wakati wa kufanya tathmini ya kuteuwa wale walioteuliwa, majina haya ya uncle Job (aliewahi kuwa mkuu wa mhimili namba 2 nchini) na brother Paul (aliewahi kuwa mkuu mkoa wa wenye pilika pilika nyingi na uchumi mkubwa nchini) yalikuwa mwao.
Lakini mmiliki wa nchi ambae ndio mwenye uamuzi wa kuchagua, kuteuwa na kutengua, aliyaweka pembeni majina hayo na kuomba yarudishwe tena mezani kwake mwaka 2026, wakati wa kuunda serikali yake ya kipindi cha pili cha uongozi wake.
Inasemekana uncle Job amekuwa wakiomba msahama kimya kimya kupitia kwa watu waliokaribu na mmiliki huyo wa nchini, ili angalau asiwe miongoni mwa watakaokatwa katika kinyang'anyiro cha kupitishwa na chama kugombea ubunge jimboni kwake.
Mnong'onezaji huyo amenambia kuwa mmiliki huyo wa nchi, na mkuu namba 1 wa chama ameshaonesha kumsamehe uncle Job, na anafikiria kumpa wizara ya mambo ya ndani hapo baadae, huku brother Paul ambae amekuwa kimya, na kujiweka mbali na skendo zozote za kumhujumu mkuu akiwa na chance kubwa ya kurudishiwa mkoa wake aliouzoea wa Dar es salaam, na aliepo Dar kupelekwa mkoa mungine.
Lets wait to see before hatujaanza kubisha, maana kuna msemo unaosema "lisemwalo lipo, na kama halipo basi linakuja".
Mwenyekiti wa Bodi Fulani,hii ni very likelyMtu ambaye ameshakuwa spika kupewa uwaziri mbona having haiingii akilini.
Huu ni uzushi wa hali ya juu.Habari zenu wanaJF wenzangu,
Kama ilivyo ada, leo nimekuja na katetesi fulan kutoka kwa mtu anaehusika na pilika pilika huko ukubwani.
Mng'ata sikio huyo amenambia kwamba "juzi kati" wakati wa kufanya tathmini ya kuteuwa wale walioteuliwa, majina haya ya uncle Job (aliewahi kuwa mkuu wa mhimili namba 2 nchini) na brother Paul (aliewahi kuwa mkuu mkoa wa wenye pilika pilika nyingi na uchumi mkubwa nchini) yalikuwa mwao.
Lakini mmiliki wa nchi ambae ndio mwenye uamuzi wa kuchagua, kuteuwa na kutengua, aliyaweka pembeni majina hayo na kuomba yarudishwe tena mezani kwake mwaka 2026, wakati wa kuunda serikali yake ya kipindi cha pili cha uongozi wake.
Inasemekana uncle Job amekuwa wakiomba msahama kimya kimya kupitia kwa watu waliokaribu na mmiliki huyo wa nchini, ili angalau asiwe miongoni mwa watakaokatwa katika kinyang'anyiro cha kupitishwa na chama kugombea ubunge jimboni kwake.
Mnong'onezaji huyo amenambia kuwa mmiliki huyo wa nchi, na mkuu namba 1 wa chama ameshaonesha kumsamehe uncle Job, na anafikiria kumpa wizara ya mambo ya ndani hapo baadae, huku brother Paul ambae amekuwa kimya, na kujiweka mbali na skendo zozote za kumhujumu mkuu akiwa na chance kubwa ya kurudishiwa mkoa wake aliouzoea wa Dar es salaam, na aliepo Dar kupelekwa mkoa mungine.
Lets wait to see before hatujaanza kubisha, maana kuna msemo unaosema "lisemwalo lipo, na kama halipo basi linakuja".
Jamaa kuzi sana.Haya ndio mambo ya kijinga hayatakiwi kuletwa hapa JF, Ndugai alishatangaza hatagombea tena ubunge wewe umetoa wapi taarifa za kijinga hizi?
Labda awe mkuu wa ChuoMwenyekiti wa Bodi Fulani,hii ni very likely
Sasa wasiokuwemo wamefika je hapa🏃🏃Hata mwenyekiti wa chama fulani kikuu cha upinzani alitangaza kuachia uenyekiti wa chama hicho mwanzoni mwa mwaka huu wa 2023, lkn cha kushangaza hadi leo tunaelekea 2024 bado hajaachia kiti.
Je na yeye ni kanjanja?
Kama nakumbuka vizuri Mzee Sitta baada ya kutokuwa spika alipelekwa wizara ya Ushirikiano wa Afrika mashariki ( kipindi cha pili cha JK).Huu ni uzushi wa hali ya juu.
Cheo cha Uspika wa bunge ni kikubwa kuliko hata Waziri mkuu, utampa cheo gani tena?
Pili Job alishatangaza muda mrefu kuwa 2025 hagombei ubunge haya yametoka wspi?.
Kumbuka: ukifikia cheo cha;
Jaji mkuu
Waziri mkuu
Spika wa bunge;
Huwezi kugombea ubunge wala kupewa uwaziri...hiyo ni dimosheni.
Danganya mengine lskini haya bora ukacheze REDE
Hiyo ni dimosheniKama nakumbuka vizuri Mzee Sitta baada ya kutokuwa spika alipelekwa wizara ya Ushirikiano wa Afrika mashariki ( kipindi cha pili cha JK).
Kuna mke wa rais mstaafu ni mbunge.Mtu ambaye ameshakuwa spika kupewa uwaziri mbona having haiingii akilini.
Aliondoka Lowasa na akasahaulika Huyo job na paul ni akina nani?Mnong'onezaji huyo amenambia kuwa mmiliki huyo wa nchi, na mkuu namba 1 wa chama ameshaonesha kumsamehe uncle Job, na anafikiria kumpa wizara ya mambo ya ndani hapo baadae, huku brother Paul ambae amekuwa kimya, na kujiweka mbali na skendo zozote za kumhujumu mkuu akiwa na chance kubwa ya kurudishiwa mkoa wake aliouzoea wa Dar es salaam, na aliepo Dar kupelekwa mkoa mungine.
Je hayo malipo anayopewa kila mwezi hayamtoshi!!Habari zenu wanaJF wenzangu,
Kama ilivyo ada, leo nimekuja na katetesi fulan kutoka kwa mtu anaehusika na pilika pilika huko ukubwani.
Mng'ata sikio huyo amenambia kwamba "juzi kati" wakati wa kufanya tathmini ya kuteuwa wale walioteuliwa, majina haya ya uncle Job (aliewahi kuwa mkuu wa mhimili namba 2 nchini) na brother Paul (aliewahi kuwa mkuu mkoa wa wenye pilika pilika nyingi na uchumi mkubwa nchini) yalikuwa mwao.
Lakini mmiliki wa nchi ambae ndio mwenye uamuzi wa kuchagua, kuteuwa na kutengua, aliyaweka pembeni majina hayo na kuomba yarudishwe tena mezani kwake mwaka 2026, wakati wa kuunda serikali yake ya kipindi cha pili cha uongozi wake.
Inasemekana uncle Job amekuwa wakiomba msahama kimya kimya kupitia kwa watu waliokaribu na mmiliki huyo wa nchini, ili angalau asiwe miongoni mwa watakaokatwa katika kinyang'anyiro cha kupitishwa na chama kugombea ubunge jimboni kwake.
Mnong'onezaji huyo amenambia kuwa mmiliki huyo wa nchi, na mkuu namba 1 wa chama ameshaonesha kumsamehe uncle Job, na anafikiria kumpa wizara ya mambo ya ndani hapo baadae, huku brother Paul ambae amekuwa kimya, na kujiweka mbali na skendo zozote za kumhujumu mkuu akiwa na chance kubwa ya kurudishiwa mkoa wake aliouzoea wa Dar es salaam, na aliepo Dar kupelekwa mkoa mungine.
Lets wait to see before hatujaanza kubisha, maana kuna msemo unaosema "lisemwalo lipo, na kama halipo basi linakuja".
Unaijua siasa vizuri?Haya ndio mambo ya kijinga hayatakiwi kuletwa hapa JF, Ndugai alishatangaza hatagombea tena ubunge wewe umetoa wapi taarifa za kijinga hizi?
Kusema hatogombea ubunge ilikuwa ni kauli ya kisiasa, wala sio ya kuiamini kwa 100%Huu ni uzushi wa hali ya juu.
Cheo cha Uspika wa bunge ni kikubwa kuliko hata Waziri mkuu, utampa cheo gani tena?
Pili Job alishatangaza muda mrefu kuwa 2025 hagombei ubunge haya yametoka wspi?.
Kumbuka: ukifikia cheo cha;
Jaji mkuu
Waziri mkuu
Spika wa bunge;
Huwezi kugombea ubunge wala kupewa uwaziri...hiyo ni dimosheni.
Danganya mengine lskini haya bora ukacheze REDE
Soma comment namb #27 utaelewa tu mkuu.Jamaa kuzi sana.
Nimemjibu post ya hapo juu kuwa Ndugai hata uwaziri amevuka hawezi pewa ni sawa na kushushwa ssna