Makonda kupata teuzi wakati wowote kutoka sasa

Makonda kupata teuzi wakati wowote kutoka sasa

Sishangai maana huyu koromije boy ana historia kubwa sana na j mama... Inasemekana kuwa ndio aliye lichangia kusafishia njia after BKT
 
Sio kila aliepo JF ni mla TUNDA KIMASIHARA heshimuni kauli sa watu nilisema siku mimi,humu ndani ambae hayupo n mama samia tu tena (labda)
Maza alishasemaga yumo jf na anasoma mbona[emoji1][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kama Bashite atarejeshwa na Le general Lengai ole Sabaya naye arudishwe ili utatu mtakatifu wa mnyeti Makonda Sabaya ukamilike. Maana nchi imekuwa nyoro nyoro sana.
Ukisoma comments kama hizi halafu utegemee eti Tanzania siku moja itakuwa nchi ya viwanda basi ndiyo ujue kwamba tuna vijana wa hovyo kabisa kuwahi kutokea zama hizi...
 
Well said [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Labda niongezee tu kidogo kwenye hayo niliyoyasema mwanzo; kwa vile sasa yaliyotabiriwa yametimia.

Hatua hizi za uteuzi zinazofanyika siku hizi huko ndani ya chama cha Mapinduzi, na huko kwenye serikali yake; hizi ni dalili nzuri, ni ishara tosha kwamba huko ndani ya chama na serikalini hawana tena jipya la kuwafanyia waTanzania.

Teuzi hizi zina dalili zote zinazoonyesha kutapatapa. Siyo teuzi za kujiamini, au zenye lengo la kuleta ufanisi. Lengo kuu limekuwa "kubaki salama."
 
Mtoa taarifa wangu amethibitisha , kwanza atateuliwa ccm halafu baadaye serikalini

Mtoa taarifa huyu alinidokeza wiki moja kabla kwamba cheo cha Naibu Waziri Mkuu kinarejeshwa , nikabisha

Ikiwa kama Mnyeti amerejeshwa pamoja na uchafu wake wote , basi huenda Makonda naye akarudi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama wewe ni 'chawa' wake (mnavyojitambulisha wenyewe siku hizi), ni lazima uchukulie hivyo ulivyoandika hapa, kwani huwezi kuona vinginevyo.

Inahitaji 'justification' gani kujua kuwa mama hana karama ya uongozi? Muda aliokaa madarakani hakutoshi kukuonyesha upungufu mkubwa alionao? Unahitaji 'justification' ya namna gani?

Kama itakuwa ni "msukumo wa chuki" ya kutopenda inakoelekzwa nchi hii chini ya uongozi wa huyu mama, sina lolote la kujutia kuhusu chuki hiyo.
Ungeweka na vithibitisho vya mawazo yako sio kuongea tu hewani ni sawa mimi nitoke tu huko nmwambie mtu wewe ni mjinga wakati hata sisemi ujinga wako.
 
Kwa hali inayoendelea na kwa uzoefu wa mambo ya bongo yetu soon makonda atakula teuzi, naona kabisa kuna upande unamuhitaji kwa kudhani anaweza kuwa msaada kwao, haihitaji kuwa kwenye system kuijua bongo yetu.
Mkuu Sasa ungeleta matarajio atatusua au atachemka
 
Ungeweka na vithibitisho vya mawazo yako sio kuongea tu hewani ni sawa mimi nitoke tu huko nmwambie mtu wewe ni mjinga wakati hata sisemi ujinga wako.
kama wewe makazi yako siku zote ni ndani ya pango lenye kiza kikubwa, kusikofika na mwanga wowote, nipo tayari kukupa hiyo mifano unayoitaka wewe kwa vile hakuna lolote unalolifahamu.
Unachotakiwa hapa, nipe tu ushahidi wa kuonyesha kuwa makazi yako ni pangoni, nami nipo tayari kukupa shule kamili ili kuondoa ujinga wako.
 
Kwa hali inayoendelea na kwa uzoefu wa mambo ya bongo yetu soon makonda atakula teuzi, naona kabisa kuna upande unamuhitaji kwa kudhani anaweza kuwa msaada kwao, haihitaji kuwa kwenye system kuijua bongo yetu.
Mama amewapiga hata wasaidizi wake Suprise.
Hii ilikuwa siri yake pekee.
MAKONDA ni "mtoto pendwa" sasa tumeyakanyaga, yaani atakuwa anatembea na misafara huyu dogo.
 
Ukisoma comments kama hizi halafu utegemee eti Tanzania siku moja itakuwa nchi ya viwanda basi ndiyo ujue kwamba tuna vijana wa hovyo kabisa kuwahi kutokea zama hizi...
Ndiyo maana USA haijawahi kuchagua Rais mwanamke!
 
ImeDhihirisha kuwa anapuyanga tu! Eti Tanzania ya viwanda Kwa viongozi wa model hii!!?? Thubutu yake!!
Labda niongezee tu kidogo kwenye hayo niliyoyasema mwanzo; kwa vile sasa yaliyotabiriwa yametimia.

Hatua hizi za uteuzi zinazofanyika siku hizi huko ndani ya chama cha Mapinduzi, na huko kwenye serikali yake; hizi ni dalili nzuri, ni ishara tosha kwamba huko ndani ya chama na serikalini hawana tena jipya la kuwafanyia waTanzania.

Teuzi hizi zina dalili zote zinazoonyesha kutapatapa. Siyo teuzi za kujiamini, au zenye lengo la kuleta ufanisi. Lengo kuu limekuwa "kubaki salama."
 
Kama nchi, tumefikia hatua mbaya sana iwapo hata watu wa aina ya huyu Bashite na wao wanaonekana kuwa ni viongozi wa kuwatumikia wananchi kwa ufanisi.

Nchi imeshuka viwango kwelikweli.
Tena hali mbaya inayoogofya.
 
Mimi namkubali Makonda katika utendaji wake ila kwa aliyopitia sidhani kama tutakuwa na Makonda yule tuliyemzoea kaandamwa sana katengwa kadhalilishwa nadhani sasa ana inferiority complex kule kujiamini kama alivyokuwa mwanzoni na mbwembwe hazipo tena kiufupi amepoa just my opinion
 
Mtoa taarifa wangu amethibitisha , kwanza atateuliwa ccm halafu baadaye serikalini

Mtoa taarifa huyu alinidokeza wiki moja kabla kwamba cheo cha Naibu Waziri Mkuu kinarejeshwa , nikabisha

Ikiwa kama Mnyeti amerejeshwa pamoja na uchafu wake wote , basi huenda Makonda naye akarudi
Mkuu, mtoa taarifa wako anaaminika 100%!
Isee!
 
Mtoa taarifa wangu amethibitisha , kwanza atateuliwa ccm halafu baadaye serikalini

Mtoa taarifa huyu alinidokeza wiki moja kabla kwamba cheo cha Naibu Waziri Mkuu kinarejeshwa , nikabisha

Ikiwa kama Mnyeti amerejeshwa pamoja na uchafu wake wote , basi huenda Makonda naye akarudi
Salute
 
Back
Top Bottom