Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mafao ya kifisadi wanayopeana yule hata asifanye kazi yoyote ana maisha mazuri hadi kufa kwake ,labda tamaa tu ya kuwa kwenye mfumo.Njaa mbaya Ndugu, anaweza kukubali kuwa hata balozi wa nyumba kumi
Utafikiri hakuna watu wengineWana hakika na kufika hiyo 2026?
Kwa shani ya Mungu si ajabu wote wakawa chini ardhi kabla hata ya 2024 achilia mbali 2026.
Ila kwa Tanzania hakuna la ajabu, teuzi huzunguka kwa majina yale yale.
Kumbuka huyu andunje alifukuzwa uspika tofauti na Sitta alimaliza kipindi chake.Mbona Samweli Sita alipewa uwaziri?
🤣🤣🤣Mafao ya spika mstaafu unayajua, kumbuka pia bado ni mbunge na zaidi alikuwa mpiga dili so akaunti zake ni nono.
🤣🤣🤣🤣Mafao ya spika mstaafu unayajua, kumbuka pia bado ni mbunge na zaidi alikuwa mpiga dili so akaunti zake ni nono.
😂😂😂Mafao ya spika mstaafu unayajua, kumbuka pia bado ni mbunge na zaidi alikuwa mpiga dili so akaunti zake ni nono.
Hii comment yako ni miongoni mwa comments bora chache katika uzi huu.Ni sawq tu maana Hata samweli Sitta naye alipewa Uwaziri na JK
Wewe endelea kuamini maneno ya wanasiasa.Ndugai ameshatangaza kustaafu yaani kutogombea tena ubunge popote(Kongwa na Kawe). Ukiwa muongo, usiwe msahalifu.
Ok mkuuUnajua mkuu,unaweza ukasema watu wabaya kumbe sio ni wewe mwenyewe mwenye matatizo.Makonda ana ubabe,anajisikia,kiburi,utoto na tamaa nyingi sana.Kimsingi hawezi kuwafaa Watanzania kama kiongozi.
Labda anahisi atakuwa ashakufa, ndomana anabisha mapema mkuu 😂😂Kwa nini usisubiri mkuu,mbona njia ya mwongo fupi.
Damu ni nzito kuliko maji..Wahisani na mikono michafu.....ya paulo itakuwaje mikono ina damu inayomlilia.....
Si anapata 80% ya maokoto ya aliyepo sasa hvNjaa kali na vijihela alivyonavyo sasa ivi haviwekeki mkuu.
Mwanasiasa akiongea maneno kumi, wewe chukua mawili tu, mengine muachie mwenyewe maana ni ya uongo.Mjomba "Kazi" kabla ya 2020 alisema asingegombea ubunge 2020 na baada ya kujiuzulu Usemaji " kwa hiari yake" alishasema hatagombea 2025.
Swadakta kabisa mkuu 👍Unapewa tu, hata Mzee Sitta (Rip) alipewa uwaziri baada ya kutoswa Uspika.
Siwezi kubishana na mtu asiejua siasa wala kufuatilia mambo ya uongozi nchini.Ndiyo uone uzwazwa wa mleta mada.
Kwa sasa haziwahusu, ila muda unakuja wa teuzi zitazowahusu mkuu.Yani mkuu nimekuja mbio nikijua teuzi zilizotoka kutangazwa zinawahusu 😀😀😀
Sawa kama tutakuwa hai. Basi ngoja tusubiri kuona kama hichi ulichoandika kitatokeaKwa sasa haziwahusu, ila muda unakuja wa teuzi zitazowahusu mkuu.
Hapo kikubwa uhai tu.