Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Ndo huyo huyo, wala haujakosea sis wangu 😂😂Paul huyuhuyu wa kolomije? Wengi wamemzoea kwa jina la bashsheet
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo huyo huyo, wala haujakosea sis wangu 😂😂Paul huyuhuyu wa kolomije? Wengi wamemzoea kwa jina la bashsheet
Nimekusoma vizuri mkuu. Shukran kwa mchango 😂😂Job aliteleza, akasahau ana maadui CHADEMA, wakaungaunga maneno yake spichi tatu tofauti is ionekane anamtukana mwenye nchi kwa kutumia lugha yao. Hili linasahemeka.
Paulo mie nilimzeleu pale alipowaambia Wachagga ukweli wao, dunia haiko hivo. Kwake akili ndogo changanya na madaraka kulewa, angemtii Askofu (alimpa nafasi, twice!!) aombe radhi yangeisha na angepanda chati. Ni sikio la kufa.
Generally, he was/is out of his depth. I mean, utaendaje madhabahuni umevaa kapelo na bodyguards?
Akatubu kwa kumsingizia Bwana YesuInasemekana uncle Job amekuwa wakiomba msahama kimya kimya kupitia kwa watu waliokaribu na mmiliki huyo wa nchini, ili angalau asiwe miongoni mwa watakaokatwa katika kinyang'anyiro cha kupitishwa na chama kugombea ubunge jimboni kwake.
Swala la kutubu kwa Mungu ni la yeye binafsi. Huenda ameshatubu kimya kimya na kumalizana na Mungu wake.Akatubu kwa kumsingizia Bwana Yesu
Kwahiyo wewe na ujanja wako wote, bado tu unawaamini wanasiasa mia kwa mia?Mbona Ndugai ashatangaza toka mwaka 2020 kuwa 2025 hatogombea tena Ubunge kwahiyo stori yako inakuwa haina Mashiko.!
Job namfagilia sana,ila Paul hapana,ana tamaa mno, aachwe aendelee na shughuli zake,amepata sawa,hakupata sawa.Habari zenu wanaJF wenzangu,
Kama ilivyo ada, leo nimekuja na katetesi fulan kutoka kwa mtu anaehusika na pilika pilika huko ukubwani.
Mng'ata sikio huyo amenambia kwamba "juzi kati" wakati wa kufanya tathmini ya kuteuwa wale walioteuliwa, majina haya ya uncle Job (aliewahi kuwa mkuu wa mhimili namba 2 nchini) na brother Paul (aliewahi kuwa mkuu mkoa wa wenye pilika pilika nyingi na uchumi mkubwa nchini) yalikuwa miongoni mwao.
Lakini mmiliki wa nchi ambae ndio mwenye uamuzi wa kuchagua, kuteuwa na kutengua, aliyaweka pembeni majina hayo na kuomba yarudishwe tena mezani kwake mwaka 2026, wakati wa kuunda serikali yake ya kipindi cha pili cha uongozi wake.
Inasemekana uncle Job amekuwa akiomba msahama kimya kimya kupitia kwa watu waliokaribu na mmiliki huyo wa nchi, ili angalau asiwe miongoni mwa watakaokatwa katika kinyang'anyiro cha kupitishwa na chama kugombea ubunge jimboni kwake.
Mnong'onezaji huyo amenambia kuwa mmiliki huyo wa nchi, na mkuu namba 1 wa chama ameshaonesha kumsamehe uncle Job, na anafikiria kumpa wizara ya mambo ya ndani hapo baadae, huku brother Paul ambae amekuwa kimya, na kujiweka mbali na skendo zozote za kumhujumu mkuu akiwa na chance kubwa ya kurudishiwa mkoa wake aliouzoea wa Dar es salaam, na aliepo Dar kupelekwa mkoa mungine.
Lets wait to see before hatujaanza kubisha, maana kuna msemo unaosema "lisemwalo lipo, na kama halipo basi linakuja".
Hatari sanaNdo huyo huyo, wala haujakosea sis wangu 😂😂
Hakuna kitu KAMA HICHO NA HAKITAWEZEKANAHabari zenu wanaJF wenzangu,
Kama ilivyo ada, leo nimekuja na katetesi fulan kutoka kwa mtu anaehusika na pilika pilika huko ukubwani.
Mng'ata sikio huyo amenambia kwamba "juzi kati" wakati wa kufanya tathmini ya kuteuwa wale walioteuliwa, majina haya ya uncle Job (aliewahi kuwa mkuu wa mhimili namba 2 nchini) na brother Paul (aliewahi kuwa mkuu mkoa wa wenye pilika pilika nyingi na uchumi mkubwa nchini) yalikuwa miongoni mwao.
Lakini mmiliki wa nchi ambae ndio mwenye uamuzi wa kuchagua, kuteuwa na kutengua, aliyaweka pembeni majina hayo na kuomba yarudishwe tena mezani kwake mwaka 2026, wakati wa kuunda serikali yake ya kipindi cha pili cha uongozi wake.
Inasemekana uncle Job amekuwa akiomba msahama kimya kimya kupitia kwa watu waliokaribu na mmiliki huyo wa nchi, ili angalau asiwe miongoni mwa watakaokatwa katika kinyang'anyiro cha kupitishwa na chama kugombea ubunge jimboni kwake.
Mnong'onezaji huyo amenambia kuwa mmiliki huyo wa nchi, na mkuu namba 1 wa chama ameshaonesha kumsamehe uncle Job, na anafikiria kumpa wizara ya mambo ya ndani hapo baadae, huku brother Paul ambae amekuwa kimya, na kujiweka mbali na skendo zozote za kumhujumu mkuu akiwa na chance kubwa ya kurudishiwa mkoa wake aliouzoea wa Dar es salaam, na aliepo Dar kupelekwa mkoa mungine.
Lets wait to see before hatujaanza kubisha, maana kuna msemo unaosema "lisemwalo lipo, na kama halipo basi linakuja".
Naona Makonda anagundu, kila mtu anamlani 😂😂😂Job namfagilia sana,ila Paul hapana,ana tamaa mno, aachwe aendelee na shughuli zake,amepata sawa,hakupata sawa.
Ila nimecheka sana,kumbe uteuzi sio swala la weledi,ni swala la kujipendekeza.Dah,ni nchi ya kufikirika hii.
Why kisiwezekane mkuu?Hakuna kitu KAMA HICHO NA HAKITAWEZEKANA
Namkubali sana makondaHabari zenu wanaJF wenzangu,
Kama ilivyo ada, leo nimekuja na katetesi fulan kutoka kwa mtu anaehusika na pilika pilika huko ukubwani.
Mng'ata sikio huyo amenambia kwamba "juzi kati" wakati wa kufanya tathmini ya kuteuwa wale walioteuliwa, majina haya ya uncle Job (aliewahi kuwa mkuu wa mhimili namba 2 nchini) na brother Paul (aliewahi kuwa mkuu mkoa wa wenye pilika pilika nyingi na uchumi mkubwa nchini) yalikuwa miongoni mwao.
Lakini mmiliki wa nchi ambae ndio mwenye uamuzi wa kuchagua, kuteuwa na kutengua, aliyaweka pembeni majina hayo na kuomba yarudishwe tena mezani kwake mwaka 2026, wakati wa kuunda serikali yake ya kipindi cha pili cha uongozi wake.
Inasemekana uncle Job amekuwa akiomba msahama kimya kimya kupitia kwa watu waliokaribu na mmiliki huyo wa nchi, ili angalau asiwe miongoni mwa watakaokatwa katika kinyang'anyiro cha kupitishwa na chama kugombea ubunge jimboni kwake.
Mnong'onezaji huyo amenambia kuwa mmiliki huyo wa nchi, na mkuu namba 1 wa chama ameshaonesha kumsamehe uncle Job, na anafikiria kumpa wizara ya mambo ya ndani hapo baadae, huku brother Paul ambae amekuwa kimya, na kujiweka mbali na skendo zozote za kumhujumu mkuu akiwa na chance kubwa ya kurudishiwa mkoa wake aliouzoea wa Dar es salaam, na aliepo Dar kupelekwa mkoa mungine.
Lets wait to see before hatujaanza kubisha, maana kuna msemo unaosema "lisemwalo lipo, na kama halipo basi linakuja".
Makonda ni kiongozi mchapakazi na mpambanaji kweli kweli.Namkubali sana makonda
Mafao ya spika mstaafu unayajua, kumbuka pia bado ni mbunge na zaidi alikuwa mpiga dili so akaunti zake ni nono.Njaa kali na vijihela alivyonavyo sasa ivi haviwekeki mkuu.
Ndugai ameshatangaza kustaafu yaani kutogombea tena ubunge popote(Kongwa na Kawe). Ukiwa muongo, usiwe msahalifu.Habari zenu wanaJF wenzangu,
Kama ilivyo ada, leo nimekuja na katetesi fulan kutoka kwa mtu anaehusika na pilika pilika huko ukubwani.
Mng'ata sikio huyo amenambia kwamba "juzi kati" wakati wa kufanya tathmini ya kuteuwa wale walioteuliwa, majina haya ya uncle Job (aliewahi kuwa mkuu wa mhimili namba 2 nchini) na brother Paul (aliewahi kuwa mkuu mkoa wa wenye pilika pilika nyingi na uchumi mkubwa nchini) yalikuwa miongoni mwao.
Lakini mmiliki wa nchi ambae ndio mwenye uamuzi wa kuchagua, kuteuwa na kutengua, aliyaweka pembeni majina hayo na kuomba yarudishwe tena mezani kwake mwaka 2026, wakati wa kuunda serikali yake ya kipindi cha pili cha uongozi wake.
Inasemekana uncle Job amekuwa akiomba msahama kimya kimya kupitia kwa watu waliokaribu na mmiliki huyo wa nchi, ili angalau asiwe miongoni mwa watakaokatwa katika kinyang'anyiro cha kupitishwa na chama kugombea ubunge jimboni kwake.
Mnong'onezaji huyo amenambia kuwa mmiliki huyo wa nchi, na mkuu namba 1 wa chama ameshaonesha kumsamehe uncle Job, na anafikiria kumpa wizara ya mambo ya ndani hapo baadae, huku brother Paul ambae amekuwa kimya, na kujiweka mbali na skendo zozote za kumhujumu mkuu akiwa na chance kubwa ya kurudishiwa mkoa wake aliouzoea wa Dar es salaam, na aliepo Dar kupelekwa mkoa mungine.
Lets wait to see before hatujaanza kubisha, maana kuna msemo unaosema "lisemwalo lipo, na kama halipo basi linakuja".
Habari zenu wanaJF wenzangu,
Kama ilivyo ada, leo nimekuja na katetesi fulan kutoka kwa mtu anaehusika na pilika pilika huko ukubwani.
Mng'ata sikio huyo amenambia kwamba "juzi kati" wakati wa kufanya tathmini ya kuteuwa wale walioteuliwa, majina haya ya uncle Job (aliewahi kuwa mkuu wa mhimili namba 2 nchini) na brother Paul (aliewahi kuwa mkuu mkoa wa wenye pilika pilika nyingi na uchumi mkubwa nchini) yalikuwa miongoni mwao.
Lakini mmiliki wa nchi ambae ndio mwenye uamuzi wa kuchagua, kuteuwa na kutengua, aliyaweka pembeni majina hayo na kuomba yarudishwe tena mezani kwake mwaka 2026, wakati wa kuunda serikali yake ya kipindi cha pili cha uongozi wake.
Inasemekana uncle Job amekuwa akiomba msahama kimya kimya kupitia kwa watu waliokaribu na mmiliki huyo wa nchi, ili angalau asiwe miongoni mwa watakaokatwa katika kinyang'anyiro cha kupitishwa na chama kugombea ubunge jimboni kwake.
Mnong'onezaji huyo amenambia kuwa mmiliki huyo wa nchi, na mkuu namba 1 wa chama ameshaonesha kumsamehe uncle Job, na anafikiria kumpa wizara ya mambo ya ndani hapo baadae, huku brother Paul ambae amekuwa kimya, na kujiweka mbali na skendo zozote za kumhujumu mkuu akiwa na chance kubwa ya kurudishiwa mkoa wake aliouzoea wa Dar es salaam, na aliepo Dar kupelekwa mkoa mungine.
Lets wait to see before hatujaanza kubisha, maana kuna msemo unaosema "lisemwalo lipo, na kama halipo basi linakuja".
Unajua mkuu,unaweza ukasema watu wabaya kumbe sio ni wewe mwenyewe mwenye matatizo.Makonda ana ubabe,anajisikia,kiburi,utoto na tamaa nyingi sana.Kimsingi hawezi kuwafaa Watanzania kama kiongozi.Naona Makonda anagundu, kila mtu anamlani 😂😂😂
Kwa nini usisubiri mkuu,mbona njia ya mwongo fupi.Uongo mtupu, umbea utakuua, be serious