Unamtakia kheri kwenye majukumu yake ya kupanga na kuratibu wizi wa kura Ili CCM kuendelea kukaa madarakani isivyo HAKI?Vinginevyo namtakia heri Makonda kwenye majukumu yake.
Alishindwa dikteta Magufuli aliyekuwa CIC ataweza huyo nyamitako? Ajaribu kama hajafa yeye na kuiacha Chadema ikizidi kuchanua.Binafsi ningependa Paul Makonda apewe huu Mkoa wa Dar.
Ila kwa kuwa Mwenyekiti wetu wa Chama ameona kimkakati Paul Makonda akaivunjilie mbali Chadema na kuizika kabisa, tunaunga mkono uteuzi huu. Hata kama hakuna upinzani wowote nchini. Wapinzani wote wamepoteana. Siasa za rais SSH siyo za nchi hii.
Tunamuombea Mungu amlinde Paul Makonda na viongozi wengine wenye nia njema na nchi yetu.
Arusha imepata Mkuu wa Mkoa Chuma kweli kweli.
CHADEMA haina ngome ARUSHA bali Nchi nzima, sasa kujifariji namna hio ni Sawa na MTU aliyebanwa kisha anajizuia, think big little brotherBinafsi ningependa Paul Makonda apewe huu Mkoa wa Dar.
Ila kwa kuwa Mwenyekiti wetu wa Chama ameona kimkakati Paul Makonda akaivunjilie mbali Chadema na kuizika kabisa, tunaunga mkono uteuzi huu. Hata kama hakuna upinzani wowote nchini. Wapinzani wote wamepoteana. Siasa za rais SSH siyo za nchi hii.
Tunamuombea Mungu amlinde Paul Makonda na viongozi wengine wenye nia njema na nchi yetu.
Arusha imepata Mkuu wa Mkoa Chuma kweli kweli.
Usikute wewe ndio nyamitako jf kichaka Cha wahuniBiashara ya wizi wa magari imeota mbawa Arusha ndiyo maana wanaweweseka.
Makonda hatavumili huo ujinga
Wewe ni mchepuko?Binafsi ningependa Paul Makonda apewe huu Mkoa wa Dar.
Ila kwa kuwa Mwenyekiti wetu wa Chama ameona kimkakati Paul Makonda akaivunjilie mbali Chadema na kuizika kabisa, tunaunga mkono uteuzi huu. Hata kama hakuna upinzani wowote nchini. Wapinzani wote wamepoteana. Siasa za rais SSH siyo za nchi hii.
Tunamuombea Mungu amlinde Paul Makonda na viongozi wengine wenye nia njema na nchi yetu.
Arusha imepata Mkuu wa Mkoa Chuma kweli kweli.
Apewe PhD kwanzaKutokana na uzoefu wake ndani ya serikali. Mheshimiwa anafaa kuwa Mkurugenzi wa Tume HURU ya Uchaguzi.