Makonda: Kwa taarifa yenu sifi! Mtege sumu kwenye vyumba mnapoteza muda tu

Uthibitisho gani?. Si ni juzi alisema ingekiwa kipindi Cha nyuma CHADEMA wangemtambua.
 
Kama kawaida yako. Mnafiki wa taifa
 
Amuulize Magufuli, hapo cha muhimu awe makini tu. Akipuuzia watamuondoa CCM wauaji wakubwa. Tena huyo Nchimbi ndo balaa kabisa. Huyo Nchimbi ndo mmoja wa wanaomiliki account ya Kigogo kule twitter.
Duh
 
Sasa mkuu, kipindi yupo benchi alikuwa na madhara gani kwao. Think hata JPM kwanini alikuja kupata maadui baada ya kuingia uwanjani wakati yupo benchi kama waziri hawakumuona?
 
SIR- 100 kama ana akili asikilizee maneno.
Your browser is not able to display this video.
 
Nani anataka kutoboa mtumbwi😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…