Makonda: Kwa taarifa yenu sifi! Mtege sumu kwenye vyumba mnapoteza muda tu

Ukiona mpaka kaongea jua kafanyiwa hilo jaribio
 
Ndio maana huwa sielewi kwa nini mtumishi wa Mungu anakuwa mwanasiasa
Mtumishi wa Mungu ni yule atendaye na kuhubiri KWELI iletayo wokovu. Aweza kuwa mkulima, mfugaji, seremala, ...., kiongozi na siyo lazima awe kanisani, msikitini au nyumba yoyote ya ibada.
Kuna tofauti kubwa kati ya kiongozi wa dini na mtumishi wa Mungu.
 
Kwa nini aweke mawazo yake kwenye kuwekewa sumu?Kuna nini huko CCM?Mlifikiri mpo salama wakati CDM wanafanyiwa ujahili?Mkasahau kwamba wakishamalizana na CDM watahamia kwenu.Kikombe mlichokiumba na mkinywe kwa ujazo wake.Amen...🙏🙏🙏🙏
 
Tuliwaambia mkishamaliza kuwaua wapinzani mtaanza kuuana wenyewe ndiyo haya sasa juzi tu wamemuua Thadei Ole Mushi sasa wamehamia kwa Makonda.
 
 
Sasa mkuu, kipindi yupo benchi alikuwa na madhara gani kwao. Think hata JPM kwanini alikuja kupata maadui baada ya kuingia uwanjani wakati yupo benchi kama waziri hawakumuona?
JPM tangu waziri wa Ujenzi alikua na wapinzani.

Makonda si alisema anawindwa na wauza dawa za kulevya ila alivyokua benchi hawakumtafuta.

Hata hivyo ni ngumu political figure akasuka mpango wa kumuua mtu ambaye yupo kwenye spotlight na asihisiwe
 
Makonda amefanywa Katibu mwenezi,itikadi, uenezi na mafunzo ili amalizwe?

Mtakumbuka Thadei Ole Mushi alijenga ccm ilijenga urafiki wa kinafiki na Ole Mushi wakafikia mahali Comred chongolo x general signatory of Ccm

Akaanza kuzunguka nae kuinadi Dp world kwenye ziara za ccm

Haikuchukuwa muda zikaja romours Ole Mushi amelishwa sumu

Baada ya muda yeye mwenyewe akajitokeza kwenye ukrasa wake wa mitandao ya kijamii na kukanusha.
Lakini wale walio ufahamu uandishi wa Mushi

Wakasema siyo yeye.

Haikuchukuwa muda tukaambiwa amefariki.

Paul Makonda acha unachokifanya
 

Pamoja na hayo, lakini ajiangalie sana. Maana wahuni siyo watu.
 
Ndio maana huwa sielewi kwa nini mtumishi wa Mungu anakuwa mwanasiasa
Uko sawa kabisa,

Mtumishi wa Mungu kuwa mwanasiasa ni ngumu sana,

Ukiona imetokea, jua wanasiasa wameshindwa kutenda HAKI Kwa wananchi, Daudi inabidi apewe special mission kurescue situation.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…