Makonda naye ametumwa na Rais Samia?

Makonda naye ametumwa na Rais Samia?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Mwezi uliopita, aliyekuwa mkuu wa majeshi ya ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo, aliongea na waandishi wa habari wa gazeti la serikali, Daily News, kuhusu siku za mwisho za Rais John Magufuli.

Wajuzi na wajuvi wa mambo wakadai kwamba ametumwa na Samia kuyasema hayo aliyoyasema.

Kwamba hakusema tu kwa bahati mbaya. Alipewa baraka zote na Samia, ili kutuma ujumbe kwa watu flani flani.

Sasa leo/ jana huko Arusha, Gavana wa mkoa huo, Paul Bashite Makonda, katishia kuwataja watu wanaowatuma baadhi ya watu kumtukana Rais Samia kwenye mitandao ya kijamii.

Gavana Makonda kasema anawajua watu hao ambao kati yao wapo na mawaziri wa serikali ya Samia.

Gavana Makonda kawapa watu hao mpaka Jumatatu ya wiki ijayo wawe wameacha mambo wanayoyafanya, la sivyo, atawataja kwa majina!

Sasa swali ibuka ni, je, Gavana Paul Makonda naye ametumwa na Rais Samia awafikishie ujumbe watu hao kama vile ambavyo ilidaiwa Jenerali Mabeyo alivyotumwa?

Wajuzi wa mambo tujuzeni basi na sie tusio na huo ujuzi na ujuvi wenu 🙏.
 
NN kama unafuatilia kuna nyuzi moja ya Pascal Mayalla ikiuliza lini Magufuli alifariki. Swali hilo limezungumzwa sana bila majibu. Iwe kwamba Gen Mabeyo alitumwa na Rais au la sidhani kama ni hoja kubwa, muhimu ni kwamba kulikuwa na msukumo wa kujibu na kueleza nini kilichojiri kama sehemu ya 'damage control' kutokana na tukio lilivyokuwa handled.

Kwa upande wa Gavana ni habari tofauti kabisa. Huyu bwana ni 'attention seeker' lakini pia ilikuwa exagerated na JPM aliyependa sana 'stunt' zake na hivyo kumfanya awe alivyo, kwamba ana survive kwa hilo.

Unakumbuka alisema nini kifo cha Mengi na Bosi wake alisema nini. Ni mtu ambaye hata kwenye chama wanamjua yupovipi. Mjauzi aiport kabla haijaltulia ni huko Monduli . Haikuanza leo na si dhani kama anatumwa
 
Binafsi sidhani kama anatumwa. Ni hana akili tu.

Mara eti watu wanajaribu kukupima kama wewe ni mama yangu kweli, aisee.

This time amerudi nilikua a little bit sympathetic kwake nikiamini watu wanamuonea na kumsema vibaya ila jana nikahitimisha kwamba this man is zero brain kweli.
 
Makonda anatafuta kuwa kwenye spotlight. Anataka SIASA sio uongozi wa kiserikali. Ukuu wa mkoa ni kama wamemnyima au kumpunguzia coverage, yeye anataka awe kwenye National issues, siyo kuwa confined kwenye mkoa.

Juzi tu alikuwa mwenezi hakuweza kuwataja leo anawezaje? Hana lolote.

Yani makonda ndiye wa kukaa nataarifa za siri? ili iweje?

Angekuwa na hayo majina angesema mapema ili wafukuzwe, kwa sababau yeye naye anatafuta ateuliwe kuwa waziri, bila kujali kwamba anatakiwa awe mbunge kwanza wakuchaguliwa au wakuteuliwa.

Muongo na ni mpuuzi, hana lolote anatafuta wa kujibizana naye, na kakosa.
 
Haya ya Makonda nayo yanawachukulia muda watu?
Chukulia tu hilo la kutoa muda hadi Jumatatu....!
Kuna kizuizi kipi cha kuwataja leo au kesho?

Haya ni mambo ya kitoto kweli kweli!

Haya basi, ni waziri gani, au mhusika yupi atajitokeza mbele afanye hayo anayo tishiwa na Bashite ili atajwe?

Nchi yetu imekuwa na mambo ya kitoto kweli kweli siku hizi. Kwa bahati mbaya siyo kwa Bashite pekee anayeonyesha utoto mwingi, hata bosi wake mambo ni yale yale ya kitoto kitoto hivyo hivyo.
Leo anasema wafanya biashara si waaminifu, anasahau yeye mwenyewe ndiye aliye wachochea wasiwe waaminifu na kulipa kodi stahiki.
 
Mwezi uliopita, aliyekuwa mkuu wa majeshi ya ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo, aliongea na waandishi wa habari wa gazeti la serikali, Daily News, kuhusu siku za mwisho za Rais John Magufuli.

Wajuzi na wajuvi wa mambo wakadai kwamba ametumwa na Samia kuyasema hayo aliyoyasema.

Kwamba hakusema tu kwa bahati mbaya. Alipewa baraka zote na Samia, ili kutuma ujumbe kwa watu flani flani.

Sasa leo/ jana huko Arusha, Gavana wa mkoa huo, Paul Bashite Makonda, katishia kuwataja watu wanaowatuma baadhi ya watu kumtukana Rais Samia kwenye mitandao ya kijamii.

Gavana Makonda kasema anawajua watu hao ambao kati yao wapo na mawaziri wa serikali ya Samia.

Gavana Makonda kawapa watu hao mpaka Jumatatu ya wiki ijayo wawe wameacha mambo wanayoyafanya, la sivyo, atawataja kwa majina!

Sasa swali ibuka ni, je, Gavana Paul Makonda naye ametumwa na Rais Samia awafikishie ujumbe watu hao kama vile ambavyo ilidaiwa Jenerali Mabeyo alivyotumwa?

Wajuzi wa mambo tujuzeni basi na sie tusio na huo ujuzi na ujuvi wenu 🙏.
Kawapa Ultimatum...! 🤣🤣

Mimi sio Mwanasaikolojia in such lakini nauelewa vizuri utofauti wa uongozi wa Hayati Magufuli na huu wa sasa

Paul Makonda anajua sana kuwasoma viongozi wake wa juu na anajua sana kujipendekeza kwao kwa maslahi yake, halafu amejaliwa ujasiri no matter what

Inawezekana Samia hajamtuma, lakini pia SSH huwa anapenda sana kupata Mtu wa kumuongelea kwa niaba yake...hasa katika mambo mazito au magumu, mara nyingi humtumia PM wake

Na hili Makonda ameshaligundua, kwa Mfano tofauti na Magufuli...SSH hawezi kumtaja moja kwa moja Waziri anayevurunda au hata kuitaja wizara lakini Makonda anaweza

That's it,
 
Mwezi uliopita, aliyekuwa mkuu wa majeshi ya ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo, aliongea na waandishi wa habari wa gazeti la serikali, Daily News, kuhusu siku za mwisho za Rais John Magufuli.

Wajuzi na wajuvi wa mambo wakadai kwamba ametumwa na Samia kuyasema hayo aliyoyasema.

Kwamba hakusema tu kwa bahati mbaya. Alipewa baraka zote na Samia, ili kutuma ujumbe kwa watu flani flani.

Sasa leo/ jana huko Arusha, Gavana wa mkoa huo, Paul Bashite Makonda, katishia kuwataja watu wanaowatuma baadhi ya watu kumtukana Rais Samia kwenye mitandao ya kijamii.

Gavana Makonda kasema anawajua watu hao ambao kati yao wapo na mawaziri wa serikali ya Samia.

Gavana Makonda kawapa watu hao mpaka Jumatatu ya wiki ijayo wawe wameacha mambo wanayoyafanya, la sivyo, atawataja kwa majina!

Sasa swali ibuka ni, je, Gavana Paul Makonda naye ametumwa na Rais Samia awafikishie ujumbe watu hao kama vile ambavyo ilidaiwa Jenerali Mabeyo alivyotumwa?

Wajuzi wa mambo tujuzeni basi na sie tusio na huo ujuzi na ujuvi wenu 🙏.
Delila alichomfanyia JPM, Malipo ni hapa hapa duniani
 
Mwezi uliopita, aliyekuwa mkuu wa majeshi ya ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo, aliongea na waandishi wa habari wa gazeti la serikali, Daily News, kuhusu siku za mwisho za Rais John Magufuli.

Wajuzi na wajuvi wa mambo wakadai kwamba ametumwa na Samia kuyasema hayo aliyoyasema.

Kwamba hakusema tu kwa bahati mbaya. Alipewa baraka zote na Samia, ili kutuma ujumbe kwa watu flani flani.

Sasa leo/ jana huko Arusha, Gavana wa mkoa huo, Paul Bashite Makonda, katishia kuwataja watu wanaowatuma baadhi ya watu kumtukana Rais Samia kwenye mitandao ya kijamii.

Gavana Makonda kasema anawajua watu hao ambao kati yao wapo na mawaziri wa serikali ya Samia.

Gavana Makonda kawapa watu hao mpaka Jumatatu ya wiki ijayo wawe wameacha mambo wanayoyafanya, la sivyo, atawataja kwa majina!

Sasa swali ibuka ni, je, Gavana Paul Makonda naye ametumwa na Rais Samia awafikishie ujumbe watu hao kama vile ambavyo ilidaiwa Jenerali Mabeyo alivyotumwa?

Wajuzi wa mambo tujuzeni basi na sie tusio na huo ujuzi na ujuvi wenu 🙏.
Hujaona video Mama ana direct movie action wapi, mpaka pale kwenye "cut"
 
Mwezi uliopita, aliyekuwa mkuu wa majeshi ya ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo, aliongea na waandishi wa habari wa gazeti la serikali, Daily News, kuhusu siku za mwisho za Rais John Magufuli.

Wajuzi na wajuvi wa mambo wakadai kwamba ametumwa na Samia kuyasema hayo aliyoyasema.

Kwamba hakusema tu kwa bahati mbaya. Alipewa baraka zote na Samia, ili kutuma ujumbe kwa watu flani flani.

Sasa leo/ jana huko Arusha, Gavana wa mkoa huo, Paul Bashite Makonda, katishia kuwataja watu wanaowatuma baadhi ya watu kumtukana Rais Samia kwenye mitandao ya kijamii.

Gavana Makonda kasema anawajua watu hao ambao kati yao wapo na mawaziri wa serikali ya Samia.

Gavana Makonda kawapa watu hao mpaka Jumatatu ya wiki ijayo wawe wameacha mambo wanayoyafanya, la sivyo, atawataja kwa majina!

Sasa swali ibuka ni, je, Gavana Paul Makonda naye ametumwa na Rais Samia awafikishie ujumbe watu hao kama vile ambavyo ilidaiwa Jenerali Mabeyo alivyotumwa?

Wajuzi wa mambo tujuzeni basi na sie tusio na huo ujuzi na ujuvi wenu [emoji120].
Unawajua binadamu wanaitwa LOPOLOPO? Makonda ndo Mwenyekiti wao.
 
Kawapa Ultimatum...! 🤣🤣

Mimi sio Mwanasaikolojia in such lakini nauelewa vizuri utofauti wa uongozi wa Hayati Magufuli na huu wa sasa

Paul Makonda anajua sana kuwasoma viongozi wake wa juu na anajua sana kujipendekeza kwao kwa maslahi yake, halafu amamejaliwa ujasiri no matter what

Inawezekana Samia hajamtuma, lakini pia SSH huwa anapenda sana kupata Mtu wa kumuongelea kwa niaba yake...hasa katika mambo mazito au magumu, mara nyingi humtumia PM wake

Na hili Makonda ameshaligundua, kwa Mfano tofauti na Magufuli...SSH hawezi kumtaja moja kwa moja Waziri anayevurunda au hata kuitaja wizara lakini Makonda anaweza

That's it,
Makonda ni spika ya Mama
 
Back
Top Bottom