Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Nafikiri hii ndo comment bora zaidi kwenye huu uziTz ina bahati mbaya kwenye uongozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri hii ndo comment bora zaidi kwenye huu uziTz ina bahati mbaya kwenye uongozi
Mkuu Kalamu heshima sana. Hicho kitisho cha ''mpaka Jumatatu'' ni muujiza mwingine ambao hupatikana ndani ya CCM tu. Hakuna mantiki ndani ya hicho kitisho na muda aliotoa. Ila kwa taarifa ambazo hata mimi nimeshindwa kuzithibitisha ni kuwa kuna timbwili la ndani kwa ndani la siku nyingi kati ya Samia vs Kinana + Makamba Jr + Nape and co. Hili nililisikia siku nyingi lakini nikawa nimepuuza baada ya Makamba kupewa uwaziri wa Nje. Ila huyu mwehu Bashite ni mzuri sana kwenye kusoma migongano ndani ya CCM na kujitafutia ''ushujaa''. Inawezekana akawa hajajiropokea tu.Haya ya Makonda nayo yanawachukulia muda watu?
Chukulia tu hilo la kutoa muda hadi Jumatatu....!
Kuna kizuizi kipi cha kuwataja leo au kesho?
Haya ni mambo ya kitoto kweli kweli!
Haya basi, ni waziri gani, au mhusika yupi atajitokeza mbele afanye hayo anayo tishiwa na Bashite ili atajwe?
Nchi yetu imekuwa na mambo ya kitoto kweli kweli siku hizi. Kwa bahati mbaya siyo kwa Bashite pekee anayeonyesha utoto mwingi, hata bosi wake mambo ni yale yale ya kitoto kitoto hivyo hivyo.
Leo anasema wafanya biashara si waaminifu, anasahau yeye mwenyewe ndiye aliye wachochea wasiwe waaminifu na kulipa kodi stahiki.
Basi mama atakuwa na mtindio wa akili kama anamtegemea makonda ndio awe msemaji wake.Makonda ni spika ya Mama
Kila mtu ale kulingana na ulefu wa kamba yakeMakonda kamba KM 20 za barabara kwa Rais kwajili ya Arusha Mjini, sasa kazi ya Gambo kule Bungeni ni ipi?
Basi hao watakuwa wana nguvu sana hadi kusigana na Rais aliyepo madarakani na hii ina prove kuwa mama naye ni zero brain. Inakuwaje Rais utishwe na wasaidizi wako? Yaani Nape na Makamba wanamtisha na kuwa na Bifu na Amiri jeshi Mkuu wa Nchi? Aibu hii.Mkuu Kalamu heshima sana. Hicho kitisho cha ''mpaka Jumatatu'' ni muujiza mwingine ambao hupatikana ndani ya CCM tu. Hakuna mantiki ndani ya hicho kitisho na muda aliotoa. Ila kwa taarifa ambazo hata mimi nimeshindwa kuzithibitisha ni kuwa kuna timbwili la ndani kwa ndani la siku nyingi kati ya Samia vs Kinana + Makamba Jr + Nape and co. Hili nililisikia siku nyingi lakini nikawa nimepuuza baada ya Makamba kupewa uwaziri wa Nje. Ila huyu mwehu Bashite ni mzuri sana kwenye kusoma migongano ndani ya CCM na kujitafutia ''ushujaa''. Inawezekana akawa hajajiropokea tu.
sidhaniAtumwe au asitumwe bado Makonda hana akili timamu. Hajui aongee nini, wapi na mbele ya nani. Makonda ana ujasiri wa kujipendekeza (uchawa) na siasa za mifarakano.
Umama ni nyumbani siyo serikaliniBasi hao watakuwa wana nguvu sana hadi kusigana na Rais aliyepo madarakani na hii ina prove kuwa mama naye ni zero brain. Inakuwaje Rais utishwe na wasaidizi wako? Yaani Nape na Makamba wanamtisha na kuwa na Bifu na Amiri jeshi Mkuu wa Nchi? Aibu hii.
Kimsingi toka Makonda aropoke hayo, binafsi nilijua anawalenga hao tu. Inasikitisha sana Rais kutishwa na kuwaogopa vijana ambao wananukia maziwa ya mama yao. Maziwa walionyonyeshwa na mama yao bado hajajaisha mdomo mwao.
Sasa kwanini vijana wadogo tu waitishe taasisi?Umama ni nyumbani siyo serikalini
Serikalini tunasurvive kwa kutumia akili na kulegeza mikono ya wale walio juu yetu
Ndugu, hili hata wakati ule wa Magufuli diktekta lilifanyika. Unakumbuka siri za ndani zilivyokuwa zinatoka hadharani? Hivi vinakuwakuga ni vita vya chini kwa chini na siyo dhahiri. Halafu usisahau Samia alivyoingia madarakani. Halafu anatoka Zanzibar. Pamoja na uamirijeshi wake mkuu, bado anahitaji sana timu Msoga na timu Magufuli kwenye uchaguzi.Basi hao watakuwa wana nguvu sana hadi kusigana na Rais aliyepo madarakani na hii ina prove kuwa mama naye ni zero brain. Inakuwaje Rais utishwe na wasaidizi wako? Yaani Nape na Makamba wanamtisha na kuwa na Bifu na Amiri jeshi Mkuu wa Nchi? Aibu hii.
Kimsingi toka Makonda aropoke hayo, binafsi nilijua anawalenga hao tu. Inasikitisha sana Rais kutishwa na kuwaogopa vijana ambao wananukia maziwa ya mama yao. Maziwa walionyonyeshwa na mama yao bado hajajaisha mdomo mwao.
Ukiona hivyo ujue wana Godfather wao huku juu anayewapa kiburiSasa kwanini vijana wadogo tu waitishe taasisi?
Sijui kwa nini inanikumbusha mmiliki feki wa Tanzanite media.Mwezi uliopita, aliyekuwa mkuu wa majeshi ya ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo, aliongea na waandishi wa habari wa gazeti la serikali, Daily News, kuhusu siku za mwisho za Rais John Magufuli.
Wajuzi na wajuvi wa mambo wakadai kwamba ametumwa na Samia kuyasema hayo aliyoyasema.
Kwamba hakusema tu kwa bahati mbaya. Alipewa baraka zote na Samia, ili kutuma ujumbe kwa watu flani flani.
Sasa leo/ jana huko Arusha, Gavana wa mkoa huo, Paul Bashite Makonda, katishia kuwataja watu wanaowatuma baadhi ya watu kumtukana Rais Samia kwenye mitandao ya kijamii.
Gavana Makonda kasema anawajua watu hao ambao kati yao wapo na mawaziri wa serikali ya Samia.
Gavana Makonda kawapa watu hao mpaka Jumatatu ya wiki ijayo wawe wameacha mambo wanayoyafanya, la sivyo, atawataja kwa majina!
Sasa swali ibuka ni, je, Gavana Paul Makonda naye ametumwa na Rais Samia awafikishie ujumbe watu hao kama vile ambavyo ilidaiwa Jenerali Mabeyo alivyotumwa?
Wajuzi wa mambo tujuzeni basi na sie tusio na huo ujuzi na ujuvi wenu 🙏.
jambo muhimu zaidi sio kutumwa au kutokutunwa, ile ya maana zaidi ni kuchapa kazi ya kuwatumikia waTanzania kwa bidii na weledi wa viwango tajika 🐒Mwezi uliopita, aliyekuwa mkuu wa majeshi ya ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo, aliongea na waandishi wa habari wa gazeti la serikali, Daily News, kuhusu siku za mwisho za Rais John Magufuli.
Wajuzi na wajuvi wa mambo wakadai kwamba ametumwa na Samia kuyasema hayo aliyoyasema.
Kwamba hakusema tu kwa bahati mbaya. Alipewa baraka zote na Samia, ili kutuma ujumbe kwa watu flani flani.
Sasa leo/ jana huko Arusha, Gavana wa mkoa huo, Paul Bashite Makonda, katishia kuwataja watu wanaowatuma baadhi ya watu kumtukana Rais Samia kwenye mitandao ya kijamii.
Gavana Makonda kasema anawajua watu hao ambao kati yao wapo na mawaziri wa serikali ya Samia.
Gavana Makonda kawapa watu hao mpaka Jumatatu ya wiki ijayo wawe wameacha mambo wanayoyafanya, la sivyo, atawataja kwa majina!
Sasa swali ibuka ni, je, Gavana Paul Makonda naye ametumwa na Rais Samia awafikishie ujumbe watu hao kama vile ambavyo ilidaiwa Jenerali Mabeyo alivyotumwa?
Wajuzi wa mambo tujuzeni basi na sie tusio na huo ujuzi na ujuvi wenu 🙏.
Sasa leo/ jana huko Arusha, Gavana wa mkoa huo, Paul Bashite Makonda, katishia kuwataja watu wanaowatuma baadhi ya watu kumtukana Rais Samia kwenye mitandao ya kijamii.
Gavana Makonda kasema anawajua watu hao ambao kati yao wapo na mawaziri wa serikali ya Samia.
Emu nitajie Raia mmoja anayefaa kuwa Rais wetu akatufanya tuishi kama PeponiHafai kuwa rais. Tuungane aondoke
View attachment 2962083
Hili nalo jipya kwangu...🤔Delila alichomfanyia JPM, Malipo ni hapa hapa duniani