Makonda naye ametumwa na Rais Samia?

Makonda naye ametumwa na Rais Samia?

Sizani kama ametumwa ni vile anaishi ndani ya hulka yake ya kujiona bora zaidi na mwenye haki miliki ya nafasi zote mbele ya kusanyiko la watu, alichifanya si siasa ni kumdhalilisha Mh Raisi haswa Kwa uwepo wake hapo kama RC. Kufuatilia hili Jambo ni dhahiri kuna ombwe kubwa la wananchi hata hizo kauli za kutusiwa Mh Raisi hawajaziona na hata Kwa wachache waliziona wakapuuzia na kumpuuzia mtusi wake sasa kitendo cha mfia vyeo kuliongelea imekuwa gumzo la wengi wao kuona nini kipo ndani ya kauli chagua hizo na kutaka kujua ukweli wa yaliyo andikwa kwako.
Haina ya watu wanaomzunguka Raisi Samia wengi wao si wazuri kwake na hili linachangiwa na kutokuwa mzoefu Sana na siasa za bara hivyo anaingizwa kwenye shida kila mara ambazo hakukuwa na sababu ya kufikia huko abadani.
Nchimbi msaidie Raisi kunyoosha wapuuzu wote walio na nasaba za chama kwani aibu za namna hii hazikubaliki kamwe Kwa ustawi wa CCM.
 
NN kama unafuatilia kuna nyuzi moja ya Pascal Mayalla ikiuliza lini Magufuli alifariki. Swali hilo limezungumzwa sana bila majibu. Iwe kwamba Gen Mabeyo alitumwa na Rais au la sidhani kama ni hoja kubwa, muhimu ni kwamba kulikuwa na msukumo wa kujibu na kueleza nini kilichojiri kama sehemu ya 'damage control' kutokana na tukio lilivyokuwa handled.

Kwa upande wa Gavana ni habari tofauti kabisa. Huyu bwana ni 'attention seeker' lakini pia ilikuwa exagerated na JPM aliyependa sana 'stunt' zake na hivyo kumfanya awe alivyo, kwamba ana survive kwa hilo.

Unakumbuka alisema nini kifo cha Mengi na Bosi wake alisema nini. Ni mtu ambaye hata kwenye chama wanamjua yupovipi. Mjauzi aiport kabla haijaltulia ni huko Monduli . Haikuanza leo na si dhani kama anatumwa
Kama Gavana Makonda hakutumwa na Samia, basi atakuwa ni mmoja wa ass kissers bora kabisa kuwahi tokea nchi hii!

Halafu Samia wala hakemei hiyo excessive ass kissing tunayoiona.

Atakuwa anaifurahia.

Jana Makonda kamuita Samia kuwa ni ‘mama’ yake.
 
Wanasemaga eti wapumbafu ni muhimu kuwanao hata kwenye KIKAO cha ukoo kunasaa mnataka mtu wakuvuruga vuruga mambo hivi!! Mtu wakutisha-tisha hata waheshmiwa ili wasijione wanaogopwa!!
 
Mwezi uliopita, aliyekuwa mkuu wa majeshi ya ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo, aliongea na waandishi wa habari wa gazeti la serikali, Daily News, kuhusu siku za mwisho za Rais John Magufuli.

Wajuzi na wajuvi wa mambo wakadai kwamba ametumwa na Samia kuyasema hayo aliyoyasema.

Kwamba hakusema tu kwa bahati mbaya. Alipewa baraka zote na Samia, ili kutuma ujumbe kwa watu flani flani.

Sasa leo/ jana huko Arusha, Gavana wa mkoa huo, Paul Bashite Makonda, katishia kuwataja watu wanaowatuma baadhi ya watu kumtukana Rais Samia kwenye mitandao ya kijamii.

Gavana Makonda kasema anawajua watu hao ambao kati yao wapo na mawaziri wa serikali ya Samia.

Gavana Makonda kawapa watu hao mpaka Jumatatu ya wiki ijayo wawe wameacha mambo wanayoyafanya, la sivyo, atawataja kwa majina!

Sasa swali ibuka ni, je, Gavana Paul Makonda naye ametumwa na Rais Samia awafikishie ujumbe watu hao kama vile ambavyo ilidaiwa Jenerali Mabeyo alivyotumwa?

Wajuzi wa mambo tujuzeni basi na sie tusio na huo ujuzi na ujuvi wenu 🙏.
Wewe hujui ya Makonda na Samia?
 
Kawapa Ultimatum...! 🤣🤣

Mimi sio Mwanasaikolojia in such lakini nauelewa vizuri utofauti wa uongozi wa Hayati Magufuli na huu wa sasa

Paul Makonda anajua sana kuwasoma viongozi wake wa juu na anajua sana kujipendekeza kwao kwa maslahi yake, halafu amamejaliwa ujasiri no matter what

Inawezekana Samia hajamtuma, lakini pia SSH huwa anapenda sana kupata Mtu wa kumuongelea kwa niaba yake...hasa katika mambo mazito au magumu, mara nyingi humtumia PM wake

Na hili Makonda ameshaligundua, kwa Mfano tofauti na Magufuli...SSH hawezi kumtaja moja kwa moja Waziri anayevurunda au hata kuitaja wizara lakini Makonda anaweza

That's it,
.... lakini Makonda anaweza!

Mjadala Ufungwe, umemaliza kila kitu 🐼
 
Mwezi uliopita, aliyekuwa mkuu wa majeshi ya ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo, aliongea na waandishi wa habari wa gazeti la serikali, Daily News, kuhusu siku za mwisho za Rais John Magufuli.

Wajuzi na wajuvi wa mambo wakadai kwamba ametumwa na Samia kuyasema hayo aliyoyasema.

Kwamba hakusema tu kwa bahati mbaya. Alipewa baraka zote na Samia, ili kutuma ujumbe kwa watu flani flani.

Sasa leo/ jana huko Arusha, Gavana wa mkoa huo, Paul Bashite Makonda, katishia kuwataja watu wanaowatuma baadhi ya watu kumtukana Rais Samia kwenye mitandao ya kijamii.

Gavana Makonda kasema anawajua watu hao ambao kati yao wapo na mawaziri wa serikali ya Samia.

Gavana Makonda kawapa watu hao mpaka Jumatatu ya wiki ijayo wawe wameacha mambo wanayoyafanya, la sivyo, atawataja kwa majina!

Sasa swali ibuka ni, je, Gavana Paul Makonda naye ametumwa na Rais Samia awafikishie ujumbe watu hao kama vile ambavyo ilidaiwa Jenerali Mabeyo alivyotumwa?

Wajuzi wa mambo tujuzeni basi na sie tusio na huo ujuzi na ujuvi wenu 🙏.
Ngoja aje clone wake Lucas Mwashambwa atuelezee nini kinajiri kwenye ulimwengu wa Sa100
 
Inawezekana kweli kuna Mawaziri wanafanya hivyo.
Ila makonda kulisikia hivyo akaamua alisema ili abebe sifa kwa mama.
Jamaa anajua kujipendekeza.

Ila mimi naiona katika upande mwingine.

Inaonekana kuna kikundi cha watu wakiwemo baadhi ya mawaziri kinataka kumsabotage nguvu mama.
Kwa kugundua hivyo upande wa mama wameamua kukipaka kinyesi hicho kikundi.
 
Mwezi uliopita, aliyekuwa mkuu wa majeshi ya ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo, aliongea na waandishi wa habari wa gazeti la serikali, Daily News, kuhusu siku za mwisho za Rais John Magufuli.

Wajuzi na wajuvi wa mambo wakadai kwamba ametumwa na Samia kuyasema hayo aliyoyasema.

Kwamba hakusema tu kwa bahati mbaya. Alipewa baraka zote na Samia, ili kutuma ujumbe kwa watu flani flani.

Sasa leo/ jana huko Arusha, Gavana wa mkoa huo, Paul Bashite Makonda, katishia kuwataja watu wanaowatuma baadhi ya watu kumtukana Rais Samia kwenye mitandao ya kijamii.

Gavana Makonda kasema anawajua watu hao ambao kati yao wapo na mawaziri wa serikali ya Samia.

Gavana Makonda kawapa watu hao mpaka Jumatatu ya wiki ijayo wawe wameacha mambo wanayoyafanya, la sivyo, atawataja kwa majina!

Sasa swali ibuka ni, je, Gavana Paul Makonda naye ametumwa na Rais Samia awafikishie ujumbe watu hao kama vile ambavyo ilidaiwa Jenerali Mabeyo alivyotumwa?

Wajuzi wa mambo tujuzeni basi na sie tusio na huo ujuzi na ujuvi wenu 🙏.
Minong'ono inasema ametumwa na Lema baada ya kufika Arusha

 
NN kama unafuatilia kuna nyuzi moja ya Pascal Mayalla ikiuliza lini Magufuli alifariki. Swali hilo limezungumzwa sana bila majibu. Iwe kwamba Gen Mabeyo alitumwa na Rais au la sidhani kama ni hoja kubwa, muhimu ni kwamba kulikuwa na msukumo wa kujibu na kueleza nini kilichojiri kama sehemu ya 'damage control' kutokana na tukio lilivyokuwa handled.

Kwa upande wa Gavana ni habari tofauti kabisa. Huyu bwana ni 'attention seeker' lakini pia ilikuwa exagerated na JPM aliyependa sana 'stunt' zake na hivyo kumfanya awe alivyo, kwamba ana survive kwa hilo.

Unakumbuka alisema nini kifo cha Mengi na Bosi wake alisema nini. Ni mtu ambaye hata kwenye chama wanamjua yupovipi. Mjauzi aiport kabla haijaltulia ni huko Monduli . Haikuanza leo na si dhani kama anatumwa
Ni kweli, huenda jamaa alisema hayo Ili awe mjadala.....kwa viongozi aina hii tuna hali ngumu Sana.
 
Nimekumbuka maneno ya Sheikh Kundecha... Nadha SHH ndo anachotumia kwasasa ili kuondoa baadhi ya mijadala mdano katiba, Tume Huru, DP word nk nk... Sheikh Kundecha aliwahi kusema nadhan clip yake mwenye nayo anaweza i share umu kua kwenye mijadala km hiyo inafaa muwe na mpuuzi mmoja basi mtafanikiaa sana... Nimemaliza
 
Nimekumbuka maneno ya Sheikh Kundecha... Nadha SHH ndo anachotumia kwasasa ili kuondoa baadhi ya mijadala mdano katiba, Tume Huru, DP word nk nk... Sheikh Kundecha aliwahi kusema nadhan clip yake mwenye nayo anaweza i share umu kua kwenye mijadala km hiyo inafaa muwe na mpuuzi mmoja basi mtafanikiaa sana... Nimemaliza
Yupo sahihi
 
Mwezi uliopita, aliyekuwa mkuu wa majeshi ya ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo, aliongea na waandishi wa habari wa gazeti la serikali, Daily News, kuhusu siku za mwisho za Rais John Magufuli.

Wajuzi na wajuvi wa mambo wakadai kwamba ametumwa na Samia kuyasema hayo aliyoyasema.

Kwamba hakusema tu kwa bahati mbaya. Alipewa baraka zote na Samia, ili kutuma ujumbe kwa watu flani flani.

Sasa leo/ jana huko Arusha, Gavana wa mkoa huo, Paul Bashite Makonda, katishia kuwataja watu wanaowatuma baadhi ya watu kumtukana Rais Samia kwenye mitandao ya kijamii.

Gavana Makonda kasema anawajua watu hao ambao kati yao wapo na mawaziri wa serikali ya Samia.

Gavana Makonda kawapa watu hao mpaka Jumatatu ya wiki ijayo wawe wameacha mambo wanayoyafanya, la sivyo, atawataja kwa majina!

Sasa swali ibuka ni, je, Gavana Paul Makonda naye ametumwa na Rais Samia awafikishie ujumbe watu hao kama vile ambavyo ilidaiwa Jenerali Mabeyo alivyotumwa?

Wajuzi wa mambo tujuzeni basi na sie tusio na huo ujuzi na ujuvi wenu 🙏.
Kama unaifahan ccm vizur, kuna possibility kubwa hatowataja, ataishia kutishia tu
 
Back
Top Bottom