Makonda ni kiongozi mzuri ila mfumo unamkataa. Ni hatari kwake

Makonda ni kiongozi mzuri ila mfumo unamkataa. Ni hatari kwake

Kwani mwenzetu toka ulione jua, umwefanya dhuluma mara ngapi? Jitathmini ndugu. Hakuna mkamilifu chini ya jua.Muache kijana Paige kazi. Mengine ni stori tu.
Hakuna utetezi wa dhuluma katika maisha. Kama niliishafanya dhuluma natakiwa kuhukumiwa.
 
Mungu hajawahi na hatakaa ambariki muuaji mnafiki kuwa kiongozi mzuri.
Kumbuka Kaini alivyo mwaga damu ya ndugu yake Munvu bila kupepesa macho alimwambia Kaini, Damu ya ndugu yako ina kulilia.
Sasa Makonda mikono yake ina nuka damu.
Huo uzuri wa uongozi wake una toka wapi wakati mikono yake ina nuka damu?
Na mamlaka zote hutoka kwa Mungu. Acheni usanii kwenye jumba la sanaa
Kwenda zako huko!! unamchukia Makonda bila sababu, kwani unamwita muuaji, alimuua mama yako???
 
Hivi Kwa nini tunapenda kusifia viongozi makatili, mauaji na madhulumaji. Mtu anawaambia kavamia kituo cha redio hapendi kabisa Uhuru wa vyombo vya habari. Mtu hataki watu waende mahakamani viongozi wawe mahakimu( totalitarian). Tuwakosoe hawa viongozi. Ubabe mwingi wakati kajilimbikizia Mali tu. Kama wanapenda Nchi hii waache demokrasia itembee, na wapige vita rushwa Kwa dhati.
Demokrasia imekupa nini toka Samia aiachie? Taja mradi mkubwa wa kimkakati uliokamilikamilika mpaka sasa? Taja mradi mkubwa alioanzisha Samia na unaendelea vizuri? Demokrasia kwa Afrika haitufai labda 2100 ndio tutaiweza
 
Nisiwe mnafiki, huyu kijana nilimchukia sana enzi za Magufuli. Baada ya Magufuli kutangulia na uongozi dhaifu wa Samia asee Makonda bo bonge la kiongozi. Nimegundua hilo kupitia ziara zake mikoani. Hata kama ni kisiasa lakini asemayo mtu yanatoka moyoni mwake.

Kwa spidi ya huyu kijana mapapa hayawezi kumwachia kamwe, lazma yamnyofoe kichwa tu labda aongezewe ulinzi. Makonda anafaa kuwa rais ila kwa mfumo wa CCM haiwezekani kabisa, washajifunza toka kwa hayati Magufuli.

Makonda ili atoboe aendee hivyo ikiwezekana ajiunge na chama kingine ila wakati ambapo uchaguzi ni huru.

Makonda ni Magufuli wa pili.
Haya ni mawazo yako tunayapokea! Ila hana ubavu wa Magu huyu ni muigizaji na awali ni vyema akaondoa yale makandokando ya mauaji na utekaji sivyo usidhani ni kiongozi mzuri ana kariho tofauti udhaniavyo.
Haya anayoyafanya usidhani atayafanya akiwa juu!
Anatafuta umaarufu!
 
Mungu hajawahi na hatakaa ambariki muuaji mnafiki kuwa kiongozi mzuri.
Kumbuka Kaini alivyo mwaga damu ya ndugu yake Munvu bila kupepesa macho alimwambia Kaini, Damu ya ndugu yako ina kulilia.
Sasa Makonda mikono yake ina nuka damu.
Huo uzuri wa uongozi wake una toka wapi wakati mikono yake ina nuka damu?
Na mamlaka zote hutoka kwa Mungu. Acheni usanii kwenye jumba la sanaa


Una ushahidi wa hiyo damu aliyomwaga? Ilikua ya nani hiyo damu?


Kwamba hizi mamlaka zinazopitisha miswada ya kuwalipa mpaka wake wa wastaafu na kununua ndege mpya special kwa viongozi ndio zimetoka kwa Mungu? Please!
 
Hivi Kwa nini tunapenda kusifia viongozi makatili, mauaji na madhulumaji. Mtu anawaambia kavamia kituo cha redio hapendi kabisa Uhuru wa vyombo vya habari. Mtu hataki watu waende mahakamani viongozi wawe mahakimu( totalitarian). Tuwakosoe hawa viongozi. Ubabe mwingi wakati kajilimbikizia Mali tu. Kama wanapenda Nchi hii waache demokrasia itembee, na wapige vita rushwa Kwa dhati.


Demokrasia unaijua ndugu mtanzania?

Au ndio unaimba nyimbo ulizokaririshwa?!
 
Watu walihusuka kuengua majina ya wagombea wa upinzani mtawapeje kura Hali walirudisha nchi nyuma hadi Leo.
 
Watu walihusuka kuengua majina ya wagombea wa upinzani mtawapeje kura Hali walirudisha nchi nyuma hadi Leo.
Imerudi nyuma kwenye nini?
 
Nisiwe mnafiki, huyu kijana nilimchukia sana enzi za Magufuli. Baada ya Magufuli kutangulia na uongozi dhaifu wa Samia asee Makonda bo bonge la kiongozi. Nimegundua hilo kupitia ziara zake mikoani. Hata kama ni kisiasa lakini asemayo mtu yanatoka moyoni mwake.

Kwa spidi ya huyu kijana mapapa hayawezi kumwachia kamwe, lazma yamnyofoe kichwa tu labda aongezewe ulinzi. Makonda anafaa kuwa rais ila kwa mfumo wa CCM haiwezekani kabisa, washajifunza toka kwa hayati Magufuli.

Makonda ili atoboe aendee hivyo ikiwezekana ajiunge na chama kingine ila wakati ambapo uchaguzi ni huru.

Makonda ni Magufuli wa pili.
Atawafuata wenzake kina Jiwe,Sokoine,Kafume and cos
 
How comes MTU anajiita great thinker kabisa Kisha anakuja kuleta mada ya kuona Bashite anadeserve kuwa Prezoo wa hii Nchi.?MTU dull ambae hawezi hata kuendesha kata ikaenda unamtamani vipi awe kiongozi wako wa Nchi??very astonishing....
 
Umemuona akizungumzia umeme au kupanda kwa sukari? Au hayo maigizo ya kuandaliwa akina mama na watoto wenye shida kama anavyofanya Mwamposa? Unafikiri wakuu wa mikoa na wilaya wangekuwa wanachaguliwa na wananchi hizo changamoto zisingeisha?
 
Nisiwe mnafiki, huyu kijana nilimchukia sana enzi za Magufuli. Baada ya Magufuli kutangulia na uongozi dhaifu wa Samia asee Makonda bo bonge la kiongozi. Nimegundua hilo kupitia ziara zake mikoani. Hata kama ni kisiasa lakini asemayo mtu yanatoka moyoni mwake.

Kwa spidi ya huyu kijana mapapa hayawezi kumwachia kamwe, lazma yamnyofoe kichwa tu labda aongezewe ulinzi. Makonda anafaa kuwa rais ila kwa mfumo wa CCM haiwezekani kabisa, washajifunza toka kwa hayati Magufuli.

Makonda ili atoboe aendee hivyo ikiwezekana ajiunge na chama kingine ila wakati ambapo uchaguzi ni huru.

Makonda ni Magufuli wa pili.
Hivi kumbe kuropoka na kupayuka ni sifa ya uongozi![emoji848][emoji2827]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha aue wazembe na wezi, huwez kuuawa bila sababu
Tundu lisu na ben saanane waliiba nini .afu wanao wakiwa mashoga unamuuliza mungu nilikosea wapi? Mpaka leo wazazi wa beni huwa wanachungulia dirishan kujiuliza kipenzi wetu atarudi lini.na makonda alishiriki .lisu leo hadi ndoa imevunjika na unaamini mungu ni mzembe hivo wa kuliacha lipite.marekan walimkataza asiende kwa kuwa walithibitisha mikono yake imejaa damu nyingi sana.ww tokea huko kasulu unasema alikuwa anaua wezi au hujui alikuwa akipewa mgao na wauza unga
 
Atoke CCM aende wapi?
Akienda kule CCM watampoteza! Jiulize kilichomkuta hayati ENL baada ya kuhamia CDM!
 
Back
Top Bottom