Halafu wajuba nao wameweka like!Kwenda zako huko!! unamchukia Makonda bila sababu, kwani unamwita muuaji, alimuua mama yako???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu wajuba nao wameweka like!Kwenda zako huko!! unamchukia Makonda bila sababu, kwani unamwita muuaji, alimuua mama yako???
Nchi imejaa wasomi wenye uwezo mkubwa kiutendaji lakini cha ajabu wanang'ang'a akina bashite! Mambo ya hovyo Sana hayaAtakwambia anawakamata wauza madawa
Mahakama hizi hizi zinazopigiwa kelele na wananchi kila siku, au kuna nyingine?
PCM anawakilisha mnyama SIMBA/NYEGERE huku akiwa amezungukwa na kundi kubwa la CHUI/NYOKA na FISI/MBWEHA.Nisiwe mnafiki, huyu kijana nilimchukia sana enzi za Magufuli. Baada ya Magufuli kutangulia na uongozi dhaifu wa Samia asee Makonda bo bonge la kiongozi. Nimegundua hilo kupitia ziara zake mikoani. Hata kama ni kisiasa lakini asemayo mtu yanatoka moyoni mwake.
Kwa spidi ya huyu kijana mapapa hayawezi kumwachia kamwe, lazma yamnyofoe kichwa tu labda aongezewe ulinzi. Makonda anafaa kuwa rais ila kwa mfumo wa CCM haiwezekani kabisa, washajifunza toka kwa hayati Magufuli.
Makonda ili atoboe aendee hivyo ikiwezekana ajiunge na chama kingine ila wakati ambapo uchaguzi ni huru.
Makonda ni Magufuli wa pili.
Kumbe una ushahidi wa Makonda kuhusika kwenye mauji alafu unakuja usemea huku mtandaoni, peleka ushahidi wako police ili uchunguzi uaanze mara moja!!Mungu hajawahi na hatakaa ambariki muuaji mnafiki kuwa kiongozi mzuri.
Kumbuka Kaini alivyo mwaga damu ya ndugu yake Munvu bila kupepesa macho alimwambia Kaini, Damu ya ndugu yako ina kulilia.
Sasa Makonda mikono yake ina nuka damu.
Huo uzuri wa uongozi wake una toka wapi wakati mikono yake ina nuka damu?
Na mamlaka zote hutoka kwa Mungu. Acheni usanii kwenye jumba la sanaa
Kuna kiongoz wa nchi ambaye hajawahi kuua watu hapa nchini ?Mungu hajawahi na hatakaa ambariki muuaji mnafiki kuwa kiongozi mzuri.
Kumbuka Kaini alivyo mwaga damu ya ndugu yake Munvu bila kupepesa macho alimwambia Kaini, Damu ya ndugu yako ina kulilia.
Sasa Makonda mikono yake ina nuka damu.
Huo uzuri wa uongozi wake una toka wapi wakati mikono yake ina nuka damu?
Na mamlaka zote hutoka kwa Mungu. Acheni usanii kwenye jumba la sanaa
How comes MTU anajiita great thinker kabisa Kisha anakuja kuleta mada ya kuona Bashite anadeserve kuwa Prezoo wa hii Nchi.?MTU dull ambae hawezi hata kuendesha kata ikaenda unamtamani vipi awe kiongozi wako wa Nchi??very astonishing....
Tundu lisu na ben saanane waliiba nini .afu wanao wakiwa mashoga unamuuliza mungu nilikosea wapi? Mpaka leo wazazi wa beni huwa wanachungulia dirishan kujiuliza kipenzi wetu atarudi lini.na makonda alishiriki .lisu leo hadi ndoa imevunjika na unaamini mungu ni mzembe hivo wa kuliacha lipite.marekan walimkataza asiende kwa kuwa walithibitisha mikono yake imejaa damu nyingi sana.ww tokea huko kasulu unasema alikuwa anaua wezi au hujui alikuwa akipewa mgao na wauza unga
Wewe mdengereko ndio leo unabana pua na kulonga Kama watu wa Nairobi?
Ni njaa??
Shida yake ni Moja tu, amekosa BUSARA na HEKIMA.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Makonda anastahili kuwa jela sasa hivi kusubiri kunyongwa hadi afeHow comes MTU anajiita great thinker kabisa Kisha anakuja kuleta mada ya kuona Bashite anadeserve kuwa Prezoo wa hii Nchi.?MTU dull ambae hawezi hata kuendesha kata ikaenda unamtamani vipi awe kiongozi wako wa Nchi??very astonishing....
Kati ya wananchi wanaolalamika kwa Makonda unadhani wanaccm hawamo?Hizi mahakama zinawasikiliza nyie ccm, na tuhuma inapokuwa ya mpinzani wanahakikisha wanamfunga. Nashangaa una ushahidi wa Mbowe kuhusika hupeleki, Hadi mnaishia kumbambikia kesi ya ugaidi.
Wanalalamika kuonewa na wapinzani?Kati ya wananchi wanaolalamika kwa Makonda unadhani wanaccm hawamo?
Hakuna kosa ku ua,kama anaye uawa anastahiri kuuliwa,ndio maana daud alimuua goriati.Huyu kijana Ni hatari akipata nafasi ataua watu tena
Usiwe mpumbavu ndugu yangu,hakuna kosa ku ua,na hakuna dhambi ku ua,kama una ua kwa sababu za msingi,hivi jambazi mwenye bunduki ukimu ua utahebiwa dhambi?, kwa nn daudi alimuua goliati? Na mpk leo daud ana hesabiwa ushujaa?!.Mungu hajawahi na hatakaa ambariki muuaji mnafiki kuwa kiongozi mzuri.
Kumbuka Kaini alivyo mwaga damu ya ndugu yake Munvu bila kupepesa macho alimwambia Kaini, Damu ya ndugu yako ina kulilia.
Sasa Makonda mikono yake ina nuka damu.
Huo uzuri wa uongozi wake una toka wapi wakati mikono yake ina nuka damu?
Na mamlaka zote hutoka kwa Mungu. Acheni usanii kwenye jumba la sanaa
Porojo!Wanalalamika kuonewa na wapinzani?
Anaua mafisadi sio tatizo kama na wewe ni mmojawapo fresh tuHuyu kijana Ni hatari akipata nafasi ataua watu tena
CV ya nini, nchi hii CV zimetufikisha umeme Hakuna na Sukari 6000/=. Tunataka matokeo ya haraka hata kama yataletwa na darasa la SabaWeka CV ya Bashite hapa kwanza tumsome!
Wa kupigana na rushwa wapo wapi, unajua kwa nini wimbo wa bandari umekufa ghafla kwa wote?Hivi Kwa nini tunapenda kusifia viongozi makatili, mauaji na madhulumaji. Mtu anawaambia kavamia kituo cha redio hapendi kabisa Uhuru wa vyombo vya habari. Mtu hataki watu waende mahakamani viongozi wawe mahakimu( totalitarian). Tuwakosoe hawa viongozi. Ubabe mwingi wakati kajilimbikizia Mali tu. Kama wanapenda Nchi hii waache demokrasia itembee, na wapige vita rushwa Kwa dhati.