Makonda ni kiongozi mzuri ila mfumo unamkataa. Ni hatari kwake

Makonda ni kiongozi mzuri ila mfumo unamkataa. Ni hatari kwake

Huyo siyo kiongozi ni mchumia tumbo anayebebwa. Akiachwa pekeyake hawezi kufanya mkutano wowote.
 
Mungu hajawahi na hatakaa ambariki muuaji mnafiki kuwa kiongozi mzuri.
Kumbuka Kaini alivyo mwaga damu ya ndugu yake Munvu bila kupepesa macho alimwambia Kaini, Damu ya ndugu yako ina kulilia.
Sasa Makonda mikono yake ina nuka damu.
Huo uzuri wa uongozi wake una toka wapi wakati mikono yake ina nuka damu?
Na mamlaka zote hutoka kwa Mungu. Acheni usanii kwenye jumba la sanaa
Sasa Kama mamlaka zote hutoka kwa mungu huoni kua na yeye ni chaguo la mungu kwakua kateuliwa na mamlaka iliyotoka kwa mungu.
 
Nisiwe mnafiki, huyu kijana nilimchukia sana enzi za Magufuli. Baada ya Magufuli kutangulia na uongozi dhaifu wa Samia asee Makonda bo bonge la kiongozi. Nimegundua hilo kupitia ziara zake mikoani. Hata kama ni kisiasa lakini asemayo mtu yanatoka moyoni mwake.

Kwa spidi ya huyu kijana mapapa hayawezi kumwachia kamwe, lazma yamnyofoe kichwa tu labda aongezewe ulinzi. Makonda anafaa kuwa rais ila kwa mfumo wa CCM haiwezekani kabisa, washajifunza toka kwa hayati Magufuli.

Makonda ili atoboe aendee hivyo ikiwezekana ajiunge na chama kingine ila wakati ambapo uchaguzi ni huru.

Makonda ni Magufuli wa pili.
Kwani mwenzetu toka ulione jua, umwefanya dhuluma mara ngapi? Jitathmini ndugu. Hakuna mkamilifu chini ya jua.Muache kijana Paige kazi. Mengine ni stori tu.
Acheni dhulma sio mjifiche kwenye udhaifu wa wengine
 
Nisiwe mnafiki, huyu kijana nilimchukia sana enzi za Magufuli. Baada ya Magufuli kutangulia na uongozi dhaifu wa Samia asee Makonda bo bonge la kiongozi. Nimegundua hilo kupitia ziara zake mikoani. Hata kama ni kisiasa lakini asemayo mtu yanatoka moyoni mwake.

Kwa spidi ya huyu kijana mapapa hayawezi kumwachia kamwe, lazma yamnyofoe kichwa tu labda aongezewe ulinzi. Makonda anafaa kuwa rais ila kwa mfumo wa CCM haiwezekani kabisa, washajifunza toka kwa hayati Magufuli.

Makonda ili atoboe aendee hivyo ikiwezekana ajiunge na chama kingine ila wakati ambapo uchaguzi ni huru.

Makonda ni Magufuli wa pili.
Makonda awe rais? Hizi ni ndoto. Askofu Gwaja alishamfungia kwenye madhabahu hata fika popote.
 
Makonda ni mwanasiasa mzuri

Kabla hujamponda na kumsemea tafuta kujua maana ya siasa na wanasaiasa. Tafuta kujua historia za siasa na vile wanasiasa walifanyaga siasa yaani Mbwinu

Kama unataka kuelewa utaelewa😆

Hata Kama hutaki ndio Kazi inaendelea
 
Makonda ni mwanasiasa mzuri

Kabla hujamponda na kumsemea tafuta kujua maana ya siasa na wanasaiasa. Tafuta kujua historia za siasa na vile wanasiasa walifanyaga siasa yaani Mbwinu

Kama unataka kuelewa utaelewa😆

Hata Kama hutaki ndio Kazi inaendelea
Unampaka mafuta kwa mgongo wa Chupa hakuna siasa pale.
 
Unampaka mafuta kwa mgongo wa Chupa hakuna siasa pale.

Una haki ya kusema unachokijua na Mimi Nina haki ya kusema ninachokijua.

Mimi nasema na nimesema nilichokisema. Karudie kusoma
 
Nisiwe mnafiki, huyu kijana nilimchukia sana enzi za Magufuli. Baada ya Magufuli kutangulia na uongozi dhaifu wa Samia asee Makonda ni bonge la kiongozi.

Nimegundua hilo kupitia ziara zake mikoani. Hata kama ni kisiasa lakini asemayo mtu yanatoka moyoni mwake.

Kwa spidi ya huyu kijana mapapa hayawezi kumwachia kamwe, lazima yamnyofoe kichwa tu labda aongezewe ulinzi. Makonda anafaa kuwa rais ila kwa mfumo wa CCM haiwezekani kabisa, washajifunza toka kwa hayati Magufuli.

Makonda ili atoboe aendee hivyo ikiwezekana ajiunge na chama kingine ila wakati ambapo uchaguzi ni huru.

Makonda ni Magufuli wa pili.

Kwa wajinga jinga kila mtu anayependa masifa wanaona kiongozi mzuri. Unatakiwa kujua kuropoka tu.
 
Back
Top Bottom