UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Kama vile mfalme alivyomwondosha Chacha Wangwe baada ya kutokubaliana naye na kutaka kugombea uenyekiti!Tatizo la muaji hayajali hao wezi na wazembe, Bali ni wasiokubaliana na falsafa zao hao wauaji.
Kesi iliendeshwa kwenye mahakama za CCM, ungeenda kuweka ushahidi wa hayo.Kama vile mfalme alivyomwondosha Chacha Wangwe baada ya kutokubaliana naye na kutaka kugombea uenyekiti!
TakatakaNisiwe mnafiki, huyu kijana nilimchukia sana enzi za Magufuli. Baada ya Magufuli kutangulia na uongozi dhaifu wa Samia asee Makonda bo bonge la kiongozi. Nimegundua hilo kupitia ziara zake mikoani. Hata kama ni kisiasa lakini asemayo mtu yanatoka moyoni mwake.
Kwa spidi ya huyu kijana mapapa hayawezi kumwachia kamwe, lazma yamnyofoe kichwa tu labda aongezewe ulinzi. Makonda anafaa kuwa rais ila kwa mfumo wa CCM haiwezekani kabisa, washajifunza toka kwa hayati Magufuli.
Makonda ili atoboe aendee hivyo ikiwezekana ajiunge na chama kingine ila wakati ambapo uchaguzi ni huru.
Makonda ni Magufuli wa pili.
Mahakama hizi hizi zinazopigiwa kelele na wananchi kila siku, au kuna nyingine?Kesi iliendeshwa kwenye mahakama za CCM, ungeenda kuweka ushahidi wa hayo.
Makonda ni kiongozi mbaya ila mfumo unamkubali.Nisiwe mnafiki, huyu kijana nilimchukia sana enzi za Magufuli. Baada ya Magufuli kutangulia na uongozi dhaifu wa Samia asee Makonda bo bonge la kiongozi. Nimegundua hilo kupitia ziara zake mikoani. Hata kama ni kisiasa lakini asemayo mtu yanatoka moyoni mwake.
Kwa spidi ya huyu kijana mapapa hayawezi kumwachia kamwe, lazma yamnyofoe kichwa tu labda aongezewe ulinzi. Makonda anafaa kuwa rais ila kwa mfumo wa CCM haiwezekani kabisa, washajifunza toka kwa hayati Magufuli.
Makonda ili atoboe aendee hivyo ikiwezekana ajiunge na chama kingine ila wakati ambapo uchaguzi ni huru.
Makonda ni Magufuli wa pili.
Vp marekani kwako ni wasafiTundu lisu na ben saanane waliiba nini .afu wanao wakiwa mashoga unamuuliza mungu nilikosea wapi? Mpaka leo wazazi wa beni huwa wanachungulia dirishan kujiuliza kipenzi wetu atarudi lini.na makonda alishiriki .lisu leo hadi ndoa imevunjika na unaamini mungu ni mzembe hivo wa kuliacha lipite.marekan walimkataza asiende kwa kuwa walithibitisha mikono yake imejaa damu nyingi sana.ww tokea huko kasulu unasema alikuwa anaua wezi au hujui alikuwa akipewa mgao na wauza unga
Yeye sio waziriUmemuona akizungumzia umeme au kupanda kwa sukari? Au hayo maigizo ya kuandaliwa akina mama na watoto wenye shida kama anavyofanya Mwamposa? Unafikiri wakuu wa mikoa na wilaya wangekuwa wanachaguliwa na wananchi hizo changamoto zisingeisha?
Kwani yeye ndio aliwapoteza na kuwapiga risasi?Tundu lisu na ben saanane waliiba nini .afu wanao wakiwa mashoga unamuuliza mungu nilikosea wapi? Mpaka leo wazazi wa beni huwa wanachungulia dirishan kujiuliza kipenzi wetu atarudi lini.na makonda alishiriki .lisu leo hadi ndoa imevunjika na unaamini mungu ni mzembe hivo wa kuliacha lipite.marekan walimkataza asiende kwa kuwa walithibitisha mikono yake imejaa damu nyingi sana.ww tokea huko kasulu unasema alikuwa anaua wezi au hujui alikuwa akipewa mgao na wauza unga
USA wanamtafuta kama kipusa huyo katiliNisiwe mnafiki, huyu kijana nilimchukia sana enzi za Magufuli. Baada ya Magufuli kutangulia na uongozi dhaifu wa Samia asee Makonda bo bonge la kiongozi. Nimegundua hilo kupitia ziara zake mikoani. Hata kama ni kisiasa lakini asemayo mtu yanatoka moyoni mwake.
Kwa spidi ya huyu kijana mapapa hayawezi kumwachia kamwe, lazma yamnyofoe kichwa tu labda aongezewe ulinzi. Makonda anafaa kuwa rais ila kwa mfumo wa CCM haiwezekani kabisa, washajifunza toka kwa hayati Magufuli.
Makonda ili atoboe aendee hivyo ikiwezekana ajiunge na chama kingine ila wakati ambapo uchaguzi ni huru.
Makonda ni Magufuli wa pili.
USA wapo macho usiku kuchaHuyu kijana Ni hatari akipata nafasi ataua watu tena
Muuaji ipo siku atauawa piaAcha aue wazembe na wezi, huwez kuuawa bila sababu
Labda president wa KoromijeMagamba matatu Kesha sema huyu ni president 2030-2040,
Tusubiri!
USA inamsaka hadi sasa wacha ajichanganye tu Angie AmerikaMungu hajawahi na hatakaa ambariki muuaji mnafiki kuwa kiongozi mzuri.
Kumbuka Kaini alivyo mwaga damu ya ndugu yake Munvu bila kupepesa macho alimwambia Kaini, Damu ya ndugu yako ina kulilia.
Sasa Makonda mikono yake ina nuka damu.
Huo uzuri wa uongozi wake una toka wapi wakati mikono yake ina nuka damu?
Na mamlaka zote hutoka kwa Mungu. Acheni usanii kwenye jumba la sanaa
Pipa na funiko kwenye ubora wenuUmeongea kitu kikubwa sana mkuu.
Atakwambia anawakamata wauza madawaWeka CV ya Bashite hapa kwanza tumsome!
Alimuua mamakoTueleze na aliyemuua chacha wangwe, inaonekana wewe una taarifa nyeti. [emoji38]
MTU hatari SanaMakonda ni njia ya kuzimu, imepambwa kwa maua na nia njema(the road to hell is paved with good intentions)
Ili kugombea urais kuna vigezo lazima uwe navyo. Kigezo cha elimu hana. Hata akinunua vyeti vya shule na vyuo sasa atashtukiwa tuMakonda anafaa kuwa rais