Makonda ni kiongozi mzuri ila mfumo unamkataa. Ni hatari kwake

Tatizo la muaji hayajali hao wezi na wazembe, Bali ni wasiokubaliana na falsafa zao hao wauaji.
Kama vile mfalme alivyomwondosha Chacha Wangwe baada ya kutokubaliana naye na kutaka kugombea uenyekiti!
 
Takataka
 
Makonda ni kiongozi mbaya ila mfumo unamkubali.
 
Vp marekani kwako ni wasafi
 
Umemuona akizungumzia umeme au kupanda kwa sukari? Au hayo maigizo ya kuandaliwa akina mama na watoto wenye shida kama anavyofanya Mwamposa? Unafikiri wakuu wa mikoa na wilaya wangekuwa wanachaguliwa na wananchi hizo changamoto zisingeisha?
Yeye sio waziri
 
Kwani yeye ndio aliwapoteza na kuwapiga risasi?
 
USA wanamtafuta kama kipusa huyo katili
 
USA inamsaka hadi sasa wacha ajichanganye tu Angie Amerika
 
Ccm wameamua kufanya maigizo the whole country ,Kwa watu wenye akili zetu tunaelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…